Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

Mbaga uko vizuri, sisi tulilazimisha matangazo ya Kila siku ( yaliyozoeleka) yawekwe kwenye ubao wa matangazo, lakini hali kuwa jambo dogo! Tuitwa wasaliti. Hio ilikuwa Moro usharika wa kora.
Kuna wale wafia ibada hawawezi kuelewa, ukisema hayo wanakuona una mapepo
 
Sio mpaka unywe, harufu tu vibe kama lote.
Hiyo ya Wasabato ndiyo ninayoimaanisha
Kuna Jamaa Alinunua Wine Akawa Anaendesha Boda Barabara Kuu
Akajikuta Kadondoka Ghafla, Sababu Anasema Wine 🍷 Ilimpa Vibe
 
Yaan mpaka saa 5 Katoliki tushasali ibada nne hapo πŸ˜‚πŸ˜‚ !
Aah wapi mambo ni yale yale. Kuna kipindi mtu alinambia wako smart sana kwenye muda. Sasa nikaja kuishi naye siku ya J2 nampeleka na kumfata yaani kuna siku namsubiri nje 1hr, mara 30min mara 15min hakuna muda maalum haya makanisa yote viongozi kuna namna wanapaswa kujirekebisha uhuru wao umezidi.
 
Saaa 1hr utafananisha na kushinda kanisani kama mnavyofanya? Na hilo hutokea mara chache sana labda kuna ugeni n.k...
Kuzidisha 15 mnt au 30 kuna ubaya gani...
 
Mimi ni RC, nilidhani hili ni tatizo huku kwetu tu. Ukweli ibada ndefu ni chukizo kwa wakati huu. Jumapili ni mapumziko kwa alie jitosheleza (yupo? Hata yesu alifanya kazi siku ya sabato). Nyimbo, maombi kwa marehemu na matangazo zinachukua muda mrefu sana. Mabadiliko ni muhimu.
 
Hapo hujataja kushiriki Sakrameti ya chakula cha bwana (Ekaristi)...Ibada inaweza enda mpaka saa 8
 
Wakatoliki wajanja. Matangazo na michango tele vipo kwenye jumuiya. Ukileta malalamiko unasemwa kwa paroko na unaweza tengwa kabisa. Yaani nidhamu ya pale ni sawa na ile ya mkutano mkuu wa ccm awamu ya kumteua samia
 
Wakatoliki wajanja. Matangazo na michango tele vipo kwenye jumuiya. Ukileta malalamiko unasemwa kwa paroko na unaweza tengwa kabisa. Yaani nidhamu ya pale ni sawa na ile ya mkutano mkuu wa ccm awamu ya kumteua samia
Parokia gani iyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…