Tabia ya wazazi kukataa wachumba kisa ukabila ikomeshwe

Tabia ya wazazi kukataa wachumba kisa ukabila ikomeshwe

Hii tabia ya chafu ya kupeleka wenza nyumbani alafu wazazi wanamkataa mtu uliyempeleka imepelekea vijana wengi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa na watu ambao sio machaguo yao na ndio maana ndoa za sikuhizi hazidumu, unakuta mtu ni mchaga basi kisa wazazi wake wanataka wachaga wenzao anamuacha labda binti mzuri wa kabila lingine ambae ukute wamesota wote alafu anaskiliza wazazi anachagua mtu wa kabila lake mwishiwe ndoa zinakufa

Naongea haya sababu yametokea ndani ya familia yangu , niliwahi chumbiwa na mwanaume ambae nilitoka nae mbali sana, kipindi ambacho nimemaliza chuo akaleta barua nyumbani, mwanaume ni mtu wa Dodoma mgogo, wazazi wakamkataa kabisa kisa mkoa anaotoka, wakajakunyoosha mikono juu baada ya mimi kupata ujauzito wa huyo mwanaume, wakamuita haraka na Ndoa ikafungwa haraka haraka bila kupenda na leo ni mwaka wa 11 ndoa ina amani tele

Mdogo wangu wa kiume anaefuta hivyo hivyo akapeleka mwanamke wa kabila tofauti , wakakaa kikao wakamkataa eti hilo kabila halifai kuoa mwisho wa siku akalazimishwa kuowa mtu wa nyumbani, kweli akampata na kumpeleka but si mtu ambae alikuwa moyoni ni basi tu, ndoa ikafungwa , mimba ya kwanza ikakutwa mwanamke ana VVU, kaka akachanganyikiwa, akapimwa zaidi ya mara tatu kwa miezi tofauto akakutwa yupo salama, yule mwanamke ugonjwa alipoutoa haikujulikana

Kikawekwa kikao kiamue mustakabali wa ndoa, wale wale mashangazi waliomkataa mwanamke wa kwanza ndio hao hao wakalazimisha ndoa ivunjwe eti hawataki kaka afe mapema, wakapiga majungu ndoa ikavunjwa sasa hivi wametengana, kaka kuja kushtuka yule mwanamke aliyekataliwa nyumbani kashaolewa na mtu mwingine na maisha yanaendelea vizuri tu

Juzi tena mdogo wangu wa mwisho wa kiume kapeleka taarifa za kutaka kuowa binti wa singida huko nae vile vile ni mtu ambae wanafahamiana tokea shule hadi kutafuta maisha wamesaidiana, home wamemkataa , huyu mdogo wangu wa mwisho ndio kacharuka kabisa ,kawaambia anaowa yeye hawaowi ndugu kwa hasira akaondoka hajarudi tena

Sasa kwa tabia kama hzi vijana mnaotarajia kuowa or kuolewa kuweni makini sana na ndugu , usishinikizwe na mtu kuchagua mtu wa maisha yako, mwanamke au mwanume wa maisha yako ni wewe mwenyewe unamjua,

Ukiowa mwanamke mshenzi kisa ndugu wanamtaka,jua mabalaa yatakukuta wewe hao ndugu watakuwa wanaskia tu huko japo walikuwa mstari wa mbele kukushinikiza, oa au olewa na mtu ambaye umemuelewa na amekuelewa na unajua kumdhibiti na mnaweza kuishi kwa amani na upendo, usioe kabila kama kigezo mtakuja kulia
Ililetwaga hapa uzi wa makabila yenye tabia mbovu mkachanua kweli
 
Hii tabia ya chafu ya kupeleka wenza nyumbani alafu wazazi wanamkataa mtu uliyempeleka imepelekea vijana wengi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa na watu ambao sio machaguo yao na ndio maana ndoa za sikuhizi hazidumu, unakuta mtu ni mchaga basi kisa wazazi wake wanataka wachaga wenzao anamuacha labda binti mzuri wa kabila lingine ambae ukute wamesota wote alafu anaskiliza wazazi anachagua mtu wa kabila lake mwishiwe ndoa zinakufa

Naongea haya sababu yametokea ndani ya familia yangu , niliwahi chumbiwa na mwanaume ambae nilitoka nae mbali sana, kipindi ambacho nimemaliza chuo akaleta barua nyumbani, mwanaume ni mtu wa Dodoma mgogo, wazazi wakamkataa kabisa kisa mkoa anaotoka, wakajakunyoosha mikono juu baada ya mimi kupata ujauzito wa huyo mwanaume, wakamuita haraka na Ndoa ikafungwa haraka haraka bila kupenda na leo ni mwaka wa 11 ndoa ina amani tele

Mdogo wangu wa kiume anaefuta hivyo hivyo akapeleka mwanamke wa kabila tofauti , wakakaa kikao wakamkataa eti hilo kabila halifai kuoa mwisho wa siku akalazimishwa kuowa mtu wa nyumbani, kweli akampata na kumpeleka but si mtu ambae alikuwa moyoni ni basi tu, ndoa ikafungwa , mimba ya kwanza ikakutwa mwanamke ana VVU, kaka akachanganyikiwa, akapimwa zaidi ya mara tatu kwa miezi tofauto akakutwa yupo salama, yule mwanamke ugonjwa alipoutoa haikujulikana

Kikawekwa kikao kiamue mustakabali wa ndoa, wale wale mashangazi waliomkataa mwanamke wa kwanza ndio hao hao wakalazimisha ndoa ivunjwe eti hawataki kaka afe mapema, wakapiga majungu ndoa ikavunjwa sasa hivi wametengana, kaka kuja kushtuka yule mwanamke aliyekataliwa nyumbani kashaolewa na mtu mwingine na maisha yanaendelea vizuri tu

Juzi tena mdogo wangu wa mwisho wa kiume kapeleka taarifa za kutaka kuowa binti wa singida huko nae vile vile ni mtu ambae wanafahamiana tokea shule hadi kutafuta maisha wamesaidiana, home wamemkataa , huyu mdogo wangu wa mwisho ndio kacharuka kabisa ,kawaambia anaowa yeye hawaowi ndugu kwa hasira akaondoka hajarudi tena

Sasa kwa tabia kama hzi vijana mnaotarajia kuowa or kuolewa kuweni makini sana na ndugu , usishinikizwe na mtu kuchagua mtu wa maisha yako, mwanamke au mwanume wa maisha yako ni wewe mwenyewe unamjua,

Ukiowa mwanamke mshenzi kisa ndugu wanamtaka,jua mabalaa yatakukuta wewe hao ndugu watakuwa wanaskia tu huko japo walikuwa mstari wa mbele kukushinikiza, oa au olewa na mtu ambaye umemuelewa na amekuelewa na unajua kumdhibiti na mnaweza kuishi kwa amani na upendo, usioe kabila kama kigezo mtakuja kulia
Sidhani kama una hoja ya msingi. Wazazi hawakusudii mabaya kwako. Ila wewe unaupigia chapuo uzinzi na uasi. Eti umesota nae ndio uende ukapose/ aje akakupose. Aliyewapa ruhusa ya kusota pamoja kabla kuoana ni nani kama sio uzinzi na uasi? Andiko lako ni la kupotosha wanaochipukia kwa kuwa halina hata chembe ya uadilifu. Bali ni migogoro na uasi. Eti akutie mimba ili wazazi wasizuie. Shame on you
 
Hii tabia ya chafu ya kupeleka wenza nyumbani alafu wazazi wanamkataa mtu uliyempeleka imepelekea vijana wengi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa na watu ambao sio machaguo yao na ndio maana ndoa za sikuhizi hazidumu, unakuta mtu ni mchaga basi kisa wazazi wake wanataka wachaga wenzao anamuacha labda binti mzuri wa kabila lingine ambae ukute wamesota wote alafu anaskiliza wazazi anachagua mtu wa kabila lake mwishiwe ndoa zinakufa

Naongea haya sababu yametokea ndani ya familia yangu , niliwahi chumbiwa na mwanaume ambae nilitoka nae mbali sana, kipindi ambacho nimemaliza chuo akaleta barua nyumbani, mwanaume ni mtu wa Dodoma mgogo, wazazi wakamkataa kabisa kisa mkoa anaotoka, wakajakunyoosha mikono juu baada ya mimi kupata ujauzito wa huyo mwanaume, wakamuita haraka na Ndoa ikafungwa haraka haraka bila kupenda na leo ni mwaka wa 11 ndoa ina amani tele

Mdogo wangu wa kiume anaefuta hivyo hivyo akapeleka mwanamke wa kabila tofauti , wakakaa kikao wakamkataa eti hilo kabila halifai kuoa mwisho wa siku akalazimishwa kuowa mtu wa nyumbani, kweli akampata na kumpeleka but si mtu ambae alikuwa moyoni ni basi tu, ndoa ikafungwa , mimba ya kwanza ikakutwa mwanamke ana VVU, kaka akachanganyikiwa, akapimwa zaidi ya mara tatu kwa miezi tofauto akakutwa yupo salama, yule mwanamke ugonjwa alipoutoa haikujulikana

Kikawekwa kikao kiamue mustakabali wa ndoa, wale wale mashangazi waliomkataa mwanamke wa kwanza ndio hao hao wakalazimisha ndoa ivunjwe eti hawataki kaka afe mapema, wakapiga majungu ndoa ikavunjwa sasa hivi wametengana, kaka kuja kushtuka yule mwanamke aliyekataliwa nyumbani kashaolewa na mtu mwingine na maisha yanaendelea vizuri tu

Juzi tena mdogo wangu wa mwisho wa kiume kapeleka taarifa za kutaka kuowa binti wa singida huko nae vile vile ni mtu ambae wanafahamiana tokea shule hadi kutafuta maisha wamesaidiana, home wamemkataa , huyu mdogo wangu wa mwisho ndio kacharuka kabisa ,kawaambia anaowa yeye hawaowi ndugu kwa hasira akaondoka hajarudi tena

Sasa kwa tabia kama hzi vijana mnaotarajia kuowa or kuolewa kuweni makini sana na ndugu , usishinikizwe na mtu kuchagua mtu wa maisha yako, mwanamke au mwanume wa maisha yako ni wewe mwenyewe unamjua,

Ukiowa mwanamke mshenzi kisa ndugu wanamtaka,jua mabalaa yatakukuta wewe hao ndugu watakuwa wanaskia tu huko japo walikuwa mstari wa mbele kukushinikiza, oa au olewa na mtu ambaye umemuelewa na amekuelewa na unajua kumdhibiti na mnaweza kuishi kwa amani na upendo, usioe kabila kama kigezo mtakuja kulia
We nae wanaume wote dunia hii ndiyo uolewe na mgogo ?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahah kuna jamaa aliacha akaoa upya! Mwanamke alikuwa sala 5 yani jamaa bishop kuvaa vaa vipensi mwanamke akawa mtu wa risala tu! Mwishowe jamaa aliotea kigoli akakitia unyago kisha akakioa baada ya mtoto wa kwanza kuzaliwa!
Huyu mmoja alimuachia mke nyumba alipata form six fresh from school alianza nae maisha. Alisamehe na ghorofa alilojenga na my wife wake wa kwanza.
 
Issue simple tu hapo, familia yako ndio inatatizo. Why wachague chague wakati sisi wote ni Watanzania?
 
Hii tabia ya chafu ya kupeleka wenza nyumbani alafu wazazi wanamkataa mtu uliyempeleka imepelekea vijana wengi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa na watu ambao sio machaguo yao na ndio maana ndoa za sikuhizi hazidumu, unakuta mtu ni mchaga basi kisa wazazi wake wanataka wachaga wenzao anamuacha labda binti mzuri wa kabila lingine ambae ukute wamesota wote alafu anaskiliza wazazi anachagua mtu wa kabila lake mwishiwe ndoa zinakufa

Naongea haya sababu yametokea ndani ya familia yangu , niliwahi chumbiwa na mwanaume ambae nilitoka nae mbali sana, kipindi ambacho nimemaliza chuo akaleta barua nyumbani, mwanaume ni mtu wa Dodoma mgogo, wazazi wakamkataa kabisa kisa mkoa anaotoka, wakajakunyoosha mikono juu baada ya mimi kupata ujauzito wa huyo mwanaume, wakamuita haraka na Ndoa ikafungwa haraka haraka bila kupenda na leo ni mwaka wa 11 ndoa ina amani tele

Mdogo wangu wa kiume anaefuta hivyo hivyo akapeleka mwanamke wa kabila tofauti , wakakaa kikao wakamkataa eti hilo kabila halifai kuoa mwisho wa siku akalazimishwa kuowa mtu wa nyumbani, kweli akampata na kumpeleka but si mtu ambae alikuwa moyoni ni basi tu, ndoa ikafungwa , mimba ya kwanza ikakutwa mwanamke ana VVU, kaka akachanganyikiwa, akapimwa zaidi ya mara tatu kwa miezi tofauto akakutwa yupo salama, yule mwanamke ugonjwa alipoutoa haikujulikana

Kikawekwa kikao kiamue mustakabali wa ndoa, wale wale mashangazi waliomkataa mwanamke wa kwanza ndio hao hao wakalazimisha ndoa ivunjwe eti hawataki kaka afe mapema, wakapiga majungu ndoa ikavunjwa sasa hivi wametengana, kaka kuja kushtuka yule mwanamke aliyekataliwa nyumbani kashaolewa na mtu mwingine na maisha yanaendelea vizuri tu

Juzi tena mdogo wangu wa mwisho wa kiume kapeleka taarifa za kutaka kuowa binti wa singida huko nae vile vile ni mtu ambae wanafahamiana tokea shule hadi kutafuta maisha wamesaidiana, home wamemkataa , huyu mdogo wangu wa mwisho ndio kacharuka kabisa ,kawaambia anaowa yeye hawaowi ndugu kwa hasira akaondoka hajarudi tena

Sasa kwa tabia kama hzi vijana mnaotarajia kuowa or kuolewa kuweni makini sana na ndugu , usishinikizwe na mtu kuchagua mtu wa maisha yako, mwanamke au mwanume wa maisha yako ni wewe mwenyewe unamjua,

Ukiowa mwanamke mshenzi kisa ndugu wanamtaka,jua mabalaa yatakukuta wewe hao ndugu watakuwa wanaskia tu huko japo walikuwa mstari wa mbele kukushinikiza, oa au olewa na mtu ambaye umemuelewa na amekuelewa na unajua kumdhibiti na mnaweza kuishi kwa amani na upendo, usioe kabila kama kigezo mtakuja kulia
Kwani wazazi ndio wanaomuoa/kuolewa na huyo mchumba?

Ifike mahali vijana mjitambue namsimamie kile mnachokitaka sio mpaka uamuliwe na wazazi
 
Sidhani kama una hoja ya msingi. Wazazi hawakusudii mabaya kwako. Ila wewe unaupigia chapuo uzinzi na uasi. Eti umesota nae ndio uende ukapose/ aje akakupose. Aliyewapa ruhusa ya kusota pamoja kabla kuoana ni nani kama sio uzinzi na uasi? Andiko lako ni la kupotosha wanaochipukia kwa kuwa halina hata chembe ya uadilifu. Bali ni migogoro na uasi. Eti akutie mimba ili wazazi wasizuie. Shame on you
Huko ni kupigania penzi, hakuna cha ajabu..... Wakishindwa kuelewa mimba inafata wataelewa tu.
 
Back
Top Bottom