Tabia za Ajabu za Watoto

WATOTO WA WATU SIKU HIZI HAWAGUSWI UNAWEZA SINGIZIWA KESI UMEBAKA...NA MTOTO NAE AKAFUNDISHWA UONGO...HUO NI MTEGO...

SIO KAMA ZAMANI MWANA WA WA MWENZIO NI WAKO...SIKU HIZI MWANA WA MWENZIO HAKUHUSU YATAKUPATA YANAYOKUHUSU YAKUSHINDE...
 
Hasa wazazi wanawake, halaf wepesi wa kugombana na watu sababu ya kitu kidogo vha mtoto maybe kapigwa wamepigana nje mama ake atakavyouvagaa huo ugomvi utadhani wa mtu mzima, kuna vitu kama mzazi lazima uwe mkali mazoea hujenga tabia, mwisho wa siku mtoto anakua hashikiki, samaki mkunje angali mbichi

Huku kwetu kuna wale wa weee zaa wako umpige koma kunipigia mwanangu,
 
Wewe dada nimekupenda bure...wewe wajua kulea sanaa....wewe ndo mwanamke wa kuzaa nae sasa...mtoto wako atakuwa kwenye misingi inayotakiwa...

Wengi wa wazazi wa zama hizi wanajikuta wanawapenda sana watoto wao kuliko hata wao walivyokuwa wanapendwa na mama zao...sasa kinachofuata ni kuharibu watoto wao...mitoto inakuwa haina adabu...
 
Tabia za watoto bwana.... Binti yangu wa miaka miwili alimwabia mgeni *toka hapa*........ Oka apa kwa sauti yake ya kitoto...! Nilimgombeza hadi akaomba msamaha.
Kumgombeza haitoshi aisee...ningemnyong'onyea mapaja mpaka angejua kweli baba amechukia...
 
Wewe dada nimekupenda bure...wewe wajua kulea sanaa....wewe ndo mwanamke wa kuzaa nae sasa...mtoto wako atakuwa kwenye misingi inayotakiwa...
asante sana, aaamin inshallah

Wengi wa wazazi wa zama hizi wanajikuta wanawapenda sana watoto wao kuliko hata wao walivyokuwa wanapendwa na mama zao...sasa kinachofuata ni kuharibu watoto wao...mitoto inakuwa haina adabu...
na mtu anavyolea anaona ndoo analea, mwanae akicheza nje asiguswe akiguswa n shida, mtu anampenda mtoto mpaka mtoto anajua me napendwa
 
AISEE HUYO MAMA WA HUYO MTOTO MPAKA LEO MWAONGEA NAE VEMA KWELI?

HAJAKUWEKEA KISASI...?

MY FRIEND SIKU HIZI GUSA MTOTO WA MWENZIO UONE...ATAKWAMBIA ZAA WAKO UMCHAPE...
 
Wewe dada umeolewa kweli...yan wewe ndo wa kuzaa nae kbs...hayo ndio malezi ya mama...sio majongoo ya siku hizi...

Kuna wakati mtoto anaingia ht ndan kwa watu anachukua kitu bila kuomba anakula...aisee...kwanza kuanzia ndani mwanangu usichukue kitu mpaka uruhusiwe na mama...na hutakiwi kumuomba mtu mwingine zaidi ya baba na mama tu...
 
ohoo sasa mtu akikwambia zaa wako ndyo umpige duh basi inabidi uwe mpole tu, wazazi wengine bana , kuna dogo alikuja home sasa kuna kuku alikua ameatamia sasa ile ametoka eti huyo dogo kavunja mayai karibia yote eti anataka kuangalia kama kuna vitoto ndani jamani dah, nilimwambia tu aondoke kwao sitaki kumwona
 
Tunaongea vyema sana tu tena tunaheshimiana hatujawah kuvunjiana heshima, hajaniwekea kisasi hata hivo sipendi kuishi kwa visasi hatujafika huko
AISEE HUYO MAMA WA HUYO MTOTO MPAKA LEO MWAONGEA NAE VEMA KWELI?

HAJAKUWEKEA KISASI...?

MY FRIEND SIKU HIZI GUSA MTOTO WA MWENZIO UONE...ATAKWAMBIA ZAA WAKO UMCHAPE...
 
YAANI WEWE MWANAMKE NI MIONGONI MWA WANAWAKE BORA WALIO HATARINI KUTOWEKA...

KUNA MTOTO HUYO HASALIMIAGI KABISA...NAMWAMBIA URAFIKI NA MIMI SINA...NA ZAWADI SIKUPI NA KWANGU USIJE...NA USICHEZE NA MWANANGU...SIPENDI WATOTO WATUKUTU...
 
Nataka nikuoe tuzae...
 
Wanaanzaga kama mchezo kukujaribu...akiona unamchekea...ety oooh yan wewe e mtoto mtunduuu...

Anaona kumbe mwapenda eeh..sasa ndo anaendelea...
 
YAANI WANAJIKUTA WENGINE KAMA KUZAA NDIO WAMEANZA KUANZA WAO...NA UCHUNGU NDIO WAMEUPATA WAO TU...KWAHIYO MTOTO ANALELEWA KAMA YAI...MBONA MAMA ZETU HAWAKUTULEA HIVYO...
 
Me mtu akishanambia hivo hua sitak hata kumkaribia mtoto wake wala kumtuma chochote sipendi bugdha na watu kabisa, hahaha huyo at least alikua ana make sense japo kavunja mayai yote huyo unamwambia tu siku nyingine usivunje s umeona hakuna mtoto alietoka? Watoto ni shida sana nina mama angu mdogo ana watoto wa kike wa tatu, wa kwanza ndio form two now yan chumba chao ukiingia utasema tuko karume au manzese hua nikienda wakijua naenda watafanya usafi mama yao hasemi nao tena hata kuwamabia labda mtoto wa kike anapaswa kua msafi hamna, wa mwisho anakojoaga kitandani sasa hafui nguo zake yuko la tatu u can imagine hiyo harufu huko chumbani kwao mama yao yupo nao 24/7 haongei kabisa napataga tabu sana
 
Hako kalitumwa na wazazi wake...hasa mama yake...my friend ondoka hapo hawakutaki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…