cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Poleeee sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli mchungu ni kua Simba HATASHINDA....
Matokeo ni Wydad kushinda au droo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleeee sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli mchungu ni kua Simba HATASHINDA....
Matokeo ni Wydad kushinda au droo
TumechukuaaaaaaSimba tutashinda Kwa ushindi wowote ule, amini kuwa pointi 3 tutachukuwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hujasemaaaa, na utasemaaaSimba anakufa 3-1. Baada ya hapo yatasikika maneno " huyu benchika hafai" na "mo tuachie timu yetu"
Na wengine wataanza usiku, usiku wa manane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa kaweka matokeo yote yaani 1 X 2 jambo linalofanya aonekane anabahatisha. mimi nasema simba anakufa haijarishi atajipangaje
Babuuu kweli wee ni mkuu wa kilingee, naamini sasa.
Ndiwooooooh!!!! [emoji3581]Simba 2 Wydad 0
Amen!!!!!Madema 2-0 Yanga
Moja tayari umetiki, tunangoja kesho 😀Simba 2 - 0 ft
Yanga 1 - 2 ft
👀👀🙆🏿♂️Moja tayari umetiki, tunangoja kesho 😀
Hongereni watani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hujasemaaaa, na utasemaaa
Ahsanteeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni watani
Mlale sasaAhsanteeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TunakeshaaaMlale sasa
Mkifungwa mkeshe kwa kukosa usingizi na mkishinda pia?Tunakeshaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una gubu Sana mtaniPoleeee sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu timu yake ikishinda tu basi mtatafuta kwa kujificha. Maana huwa anakera mpaka anapitiliza. Cha kushangaza hiyo timu ikifungwa, anajificha uvunguni mwa kitanda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una gubu Sana mtani