Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

Kwa hiyo kubet ni kazi? Mzima kweli wewe?
Kila unachokifanya kwenye Maisha Yako ni betting, as long as hujui hata dakika mbili zijazo nn kitatokea, hivyo Maisha yote yamejaa ubashiri mtupu sema mnakosea mnapo specify baadhi ya Mambo, waacheni vijana wabet, kama hamtaki waingie maofisini wawatoe kwa nguvu muwaachie hizo nafasi

Wapo bize na wengine wanaendesha Maisha yao kutwa kuwaimba kisa mnapo pa kujishikia huko siku mtajuta kwa kauli zenu hizo
 
Huyu jamaa kaweka matokeo yote yaani 1 X 2 jambo linalofanya aonekane anabahatisha. mimi nasema simba anakufa haijarishi atajipangaje
 
Kila unachokifanya kwenye Maisha Yako ni betting, as long as hujui hata dakika mbili zijazo nn kitatokea, hivyo Maisha yote yamejaa ubashiri mtupu sema mnakosea mnapo specify baadhi ya Mambo, waacheni vijana wabet, kama hamtaki waingie maofisini wawatoe kwa nguvu muwaachie hizo nafasi

Wapo bize na wengine wanaendesha Maisha yao kutwa kuwaimba kisa mnapo pa kujishikia huko siku mtajuta kwa kauli zenu hizo
Tantalila nyingi kama vile hujui tunachokataa ni kipi.
 
UTABIRI WA MECHI KATI SIMBA vs WYDAD CASABLANCA TAREHE 19/12/2023

Siku ya leo jua lipo katika nyota ya Mshale na mwezi upo katika nyota ya Samaki.


HALI ZA TIMU

Simba ina nyota ya Mizani na Wydad nyota ya Ndoo, timu zote zina bahati siku hii lakini nyota ya Ndoo itakuwa super star.

HALI ZA MAKOCHA

Kocha wa Wydad ana nyota ya Kaa na msaidizi wake ana nyota ya Mbuzi.
Kocha wa Simba ni Mshale na msaidizi wake ni Mbuzi,
Siku hii, nyota ya Mbuzi na Kaa zitakuwa na usaidizi wa MWEZI, sayari ya Mercury na Venus ilhali Mshale atakuwa na usaidizi wa jua na sayari ya Mars.


HALI ZA MAKIPA
Kipa wa Simba mwenye bahati siku hii ni Ayoub Lakred mwenye nyota ya Kaa.
Makipa wa Wydad siku hii watakuwa na nguvu ya vita pasipo bahati
1. Mehdi Maftah ana nyota ya Simba
2. Youssef El Motie ana nyota ya Mshale hivyo wana uwezekano mkubwa wa kufungika.


HALI ZA WACHEZAJI

Kitimu Wydad siku hii nyota yao itang'ara zaidi ya Simba, pia muundo wa kikosi Chao umezingatia nyota 12 kulinganisha na Simba, hivyo basi mpangilio mzuri wa wachezaji kulingana na nyota zao upande wa Simba unaweza kuleta msaada.


MATOKEO YA MCHEZO

Mchezo utakuwa mgumu Sana hivyo kulazimisha sare ya kufungana na iwapo kikosi kitapangwa ndivyo sivyo basi Simba watapoteza mchezo lakini kikipangwa kufuata maelekezo ya kinyota basi mpira utakuwa sare ya kufungana au Simba kupata ushindi wa bao Moja zaidi mbele ya Wydad.


NB:
Utabiri huu umezingatia mipangilio ya sayari kwa siku hiyo na utabiri hauangalii suala la uzalendo au ushabiki.
Kwahiyo wazee wa kubeti ngoma ni chini ya magoli mawili au zaidi ya hapo ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wewe sema kabisa kikosi cha simba kikiwa hivi ni droo na hivi na kipigo, kazi ya ubashiri Mungu alishaikataaga, hakuna mwanadamu ajuaye kesho zaidi ya Mungu.
 
Tantalila nyingi kama vile hujui tunachokataa ni kipi.
Isingekuwa ajira serikali yako tukufu ya CCM Isinge halalisha na kuwa kama chanzo chake cha mapato ikikusanya mabilioni yanayotumika kuwalipa posho na mishahara nyinyi,
Badala MSHUKURU mnasimama kutwa majukwaani mkishakula mmeshiba kuwatukana hao vijana kana kwamba wanakuja kuwaomba majumbani kwenu,
Zama zenu zinaisha siku wakiamua kuliamsha mtakoma, endeleeni kuwachokoza na kuwasimanga majukwaani
 
Na utasimama mkuu mpaka full time
Tawire tawire. Muhimu tu Mnyama asifanye yale makosa yake ya kiufundi ya kujisahau.

Kama wanazitaka kweli hizi pointi 3 muhimu, basi waendelee kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu, na wawaheshimu wapinzani wao.
 
Back
Top Bottom