Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Eti waarabu wako Karne na Karne mjinga wewe !
Hao walikuja na mashua.
East Africa Haina yote ni weusi.
Hii nchi ni ya watanzania weusi
Mababu zetu waligeuzwa watumwa kwasababu ya nchi Yao na wakapambana kuikomboa. Wengine hadi waliuawa na wengine walijiua kama mkwawa kwenye harakati za kuikomboa nchi yao. Kulikuwa hakuna mzungu, mwarabu au Muhindi kuwasaidia.
Kwahiyo ustuleee upuuzi wako. Ni Tanzania tu mgeni ndio anaweza kumuonea mwenyeji.
We mwarabu Nenda Nigeria au south Africa halafu jifanye unaonea wenyeji uone moto wake
Naam huo ndio ukweli wenyewe.Ukiona Watu wanaendesha Maprado na majumba makali we endelea kuhangaikia Ugali wako.
Mambo yao waache wenyewe
Mbona manji enzi za magufuli alikimbia!Basi mkuu kama wewe ni kidume kweli wafukuze, kama hujarudi roma kwa yule aliebariki ushoga
Mbona manji enzi za magufuli alikimbia!
Nyie hapa ni wwkimbizi jua Hilo siku yoyote mnarudi kwenu
HamzaHAIWEZEKANI UFE KWA STYLE HYO TENA UNA CHA MOTO,ANGEWAFUATA HUKO HUKO HAO WAZULAMAJI TRA WAFE NAO IKIWEZEKANA PIGAMOTO OFISI YOTE YA TRA KIGAIDI PAMOJA NAO NDANI NA IWE FUNDISHO KWA HAO MANYANGAU.PUMBAVUU KABISA.
Mwogope MunguMwaka jana nilikuwa Urambo nilifika pale dukani kwake kununua bidhaa. Alilipwa na TRA, na alikuwa ameexpand sana biashara yake ya bidhaa-duka la jumla likawa kubwa, akajenga warehouse, akawa na malori ya kusupply vijijini.
Bado alikua na misuguano na maafisa wa TRA na walikuwa na mitego mingi, though jamaa alikuwa smart sana kulipa kodi na kutumia technology. Hii expansion ya biashara za bidhaa kwa pale Urambo, ilimpa maadui wapya-WAARABU WAFANYABIASHARA YA BIDHAA pale Urambo. Hawa waarabu wamejenga monopoly attitude kiasi huwa hawataki supplier mpya sokoni tena awe na bei za chini kuliko wao.
Kwa kweli nimemumizwa na habari za kifo cha Ntunzwe. Apumzike kwa amani. Biashara zake ndio zimefika mwisho. Inaumiza sana.
Nitakosaje chuki na nyie mlitesa Babu zetu.Una chuki mbaya sana kwa waarabu, sijui walikufanya nini ewe myahudi mweusi! Waarabu tunao na tunaishi nao vizuri bila shida yoyote, tunawapenda, wao pia wanatupenda, kama unaishi dar jiji la waislamu na unakereka basi hama, aleyommba gekke nkoi endelea hamagga
Pesa ni mtihani sheikh 😃 lakini ukiitafuta kwa njia ya halali na ukaitumia kwa halali unaishi vizuri tu, huyo sijui alipatwa nini tu, unajiuwa halafu unawaacha maadui wanaendelea kutamba 😃Halafu kuna mtu ananisistiza nitafute ela yaani kila ninachomwambia ananambia nitafute ela,,,ela zenyewe ndio hizo!!
Awaapi acha tu nife madikini
Ndio imeisha hiyo..Nimeandikaaaa. Nimefuta nikafuta nikafuta tena.
Mungu awape familia ujasiri wa kuisaka haki ya marehem
Hao Waarabu ni wa Unyamwezini walikuja enzi za Milambo na Isike utawaambia nini?Inakuaje mwarabu anakuwa na nguvu kwenye nchi yetu weusi
Huyu sakata lake liliqnza tokea enzi za magu,sasa sijyi rais wakati ule alikuwa hajapata taarifa zakeHapa umefikiria tofauti kwa suala la huyo mfanya biashara.
Kikubwa cha danadana zote hizo ni baada ya kifo cha Magufuli ndiyo Tra wakaanza figisu.
Magufuli angelikuwa hai hakuna authority yoyote ingethubutu kufanya huomchezo.
Fuatilia issue za huyo mfanyabiashara kuanzia kwenye ule mkutano wa wafanya biashara wote.
Alijituliza akisubiri kulipwa kwa namna alivyomwamini Rais na maagizo yake.
Lakini alivyokufa tu na figisu zikaanza.
Kuna waarabu kariakoo walikuwa wanamsumbua huyo mtanzania tafuta clip zake YouTube.Hao Waarabu ni wa Unyamwezini walikuja enzi za Milambo na Isike utawaambia nini?
Kwenye Biashara kuna mbinu nyingi lakini maadui wakubwa wa Wafanyabiasha ni Maafsa wala rushwa na wabambikaji wa Kodi wakikuona uko Upinzani.Kuna waarabu kariakoo walikuwa wanamsumbua huyo mtanzania tafuta clip zake YouTube.
Marehemu alisema live na aliwataja hao waarabu na familia Yao.
Wewe unaweza kwenda nchi yoyote ya waarabu au wazungu ukatesa wenyeji?
Fuatilia hii issue vizuri acha kuongea usiyojua,Kwenye Biashara kuna mbinu nyingi lakini maadui wakubwa wa Wafanyabiasha ni Maafsa wala rushwa na wabambikaji wa Kodi wakikuona uko Upinzani.
Mkuu kwa story ilivyo sijui kama kajiua kweli only Allah knows betterPesa ni mtihani sheikh [emoji2] lakini ukiitafuta kwa njia ya halali na ukaitumia kwa halali unaishi vizuri tu, huyo sijui alipatwa nini tu, unajiuwa halafu unawaacha maadui wanaendelea kutamba [emoji2]
Haya ngoja nikazitafute Clip huko You Tube 🙏🏿Fuatilia hii issue vizuri acha kuongea usiyojua,
Kuna waarabu pale kariakoo ndio walikuwa wanamsumbua marehemu clip zipo YouTube katafute