Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

Jamani ili kuhakikisha ukusanyaji bora wa mapato ni vyema wafanya biashara kulipwa fidia zao kama sheria za kikodi zinavyoelekeza
Hii ni kudumisha uaminifu na weledi mzuri wa Sera ya serikali ya ukusanyaji wa kodi.
Ombi langu serikali ifatilie hili hizo fidia ilipwe familia ya marehemu pale Watakapopata ukweli wa hili swala
 

Attachments

  • 20231215_162126.jpg
    20231215_162126.jpg
    201.4 KB · Views: 5
Una chuki mbaya sana kwa waarabu, sijui walikufanya nini! Waarabu tunao na tunaishi nao vizuri bila shida yoyote, tunawapenda, wao pia wanatupenda, kama unaishi dar jiji la waislamu na unakereka basi hama, aleyommba gekke nkoi endelea hamagga
South Africa timu Yao imejaa wazungu wanapiga kelele haiwezekani wajukuu wa wakoloni waliotesa Babu zao Leo wajae kwenye timu zao.
Screenshot_20240310-073125.jpg
 
Waziri Mkuu Majaliwa, nakumbuka uliagizwa, na Hayati Magufuli ili uhakikishe kuwa, mfanyabiashara Babu Rama analipwa pesa zake karibu billion hivi, ambazo alizulumiwa na wafanyakazi wa, TRA wasio waaminifu.

Leo ni takribani miaka mitatu, toka Magufuli afariki na wewe ukasalia kuwa Wazir Mkuu. Lakini umeshindwa kuhakikisha kuwa huyu mfanyabiashara Rama analipwa pesa zake.

Na sasa huyu mfanyabiashara amejiua na haki yake hakupata. Je Wazir Mkuu wetu unajisikiaje?Je ni sawa?
 
Wazir mkuu Majaliwa, nakumbuka uliagizwa, na marehemu Rais John Pombe Magufuli ili uhakikishe kuwa, mfanyabiashara Babu Rama analipwa pesa zake karibu billion hivi, ambazo alizulumiwa na wafanyakazi wa, TRA wasio waaminifu. Leo ni takribani miaka mitatu, toka Rais JPM afariki na ww ukasaria kuwa wazir mkuu. Lakin umeshindwa kuhakikisha kuwa huyu mfanyabiashara Rama analipwa pesa zake. Na sasa huyu mfanyabiashara amejiua na haki yake hakupata. Je wazir mkuu wetu unajisikiaje??Je ni sawa???
Babu Rama seems kifo chake kina utata. Unaidaije serikali mabilioni kisha unapata stress na kujiua?

Wataalam wa saikolojia mtueleze hii inakuwaje hii
 
Hii wiki niliitumia kufuatilia madai ya Babu Rama kutokea mwanzo hadi mwisho. Niwe mkweli nimeumia sana.
Kupitia mahojiano yake, alionekana kuwa makini sana kuulinda uhai wake. Nimepata wakati mgumu kwa aina ya mauti yaliyomkuta.

Sina la zaidi ya kumuombea kheri aliko, apumzike kwa amani.
 
Yaliyotokea tungejua chanzo kama tuna waandishi wanaojituma na kufuatilia ila ni waandishi njaa na waongo wasiojua hata kuandika habari
Kuna gazeti lilikurupuka na kuandika kuwa kajipiga risasi dukani kwake
Paragraph ya pili na habari hiyo hiyo wakaandika kajipiga akiwa nyumbani kwake
Tatizo wanataka kutoa taarifa kuwashinda polisi
Yaani bila kuwa na ndugu wa karibu au kusubiri mpaka mnapata ukweli hamuwezi ila kwa unoko hamjambo

Gharama ya kwenda Tabora ni ndogo sana kwa waandishi ila sijui huwa wanawapigia boda na kuwauliza kumetokea nini huko
 
Hii wiki niliitumia kufuatilia madai ya Babu Rama kutokea mwanzo hadi mwisho. Niwe mkweli nimeumia sana.
Kupitia mahojiano yake, alionekana kuwa makini sana kuulinda uhai wake. Nimepata wakati mgumu kwa aina ya mauti yaliyomkuta.

Sina la zaidi ya kumuombea kheri aliko, apumzike kwa amani.
Mimi huamini habari zako. Hebu nipe mwangaza kwa uliyoyapata, please!
 
Babu Rama seems kifo chake kina utata. Unaidaije serikali mabilioni kisha unapata stress na kujiua?

Wataalam wa saikolojia mtueleze hii inakuwaje hii
Kwa wafanyabiashara wanaweza kuelewa msongo wa mawazo ambao Babu Rama alikuwa akipitia kwa huo muda mrefu kutokana na mwenendo wa biashara.

Kikubwa hapo si deni analowadai TRA, kwani hao mabwana hata wakikubali kukulipa hiyo fidia, itakuwa ya mtindo wa msamaha wa kodi wa thamani ya kiasi hicho cha pesa.

Biashara hadi kuwa kubwa kama hiyo ya Babu Rama huwa ina mambo mengi, hasa hizi za kuagiza nje bidhaa au malighafi.

Fikiria bidhaa iliyokuwa ununue jana kwa milioni 900, halafu leo ukakuta dola imepanda kwa shilingi 50, maana yake ni lazima uongeze leo leo ili upate bidhaa.

Hivyo, kupanda kwa thamani ya dola kunaweza kukuzalishia madeni ya dhamana ya mali zako. Kwani hakuna muda mrefu wa kusubiri upate hela ya kuongezea.

Lakini, kinachoweza kukupa ujasiri wa kuyaingia hayo madeni ni uwezo wa biashara yako na uzoefu wako katika biashara husika. Kama ikienda kama kawaida madeni yanalipika na faida unapata.

Sasa inapotokea biashara yako hiyo ikaharibiwa kwa kiwango kama cha Babu Rama (900M), ni lazima uingie kwenye migogoro ya madeni makubwa

Na siku zote mgogoro wa madeni hufanya ufikie kupoteza mali zako za thamani kubwa kwa hela kidogo sana uliyokopa na ikapotea. So, unauelekea umasikini.

Kuna ugumu mkubwa wa kuikabili hali hiyo, ni wachache sana walifaulu. Wengi walipata maradhi ya kupooza kama marehemu RG wengine kufa kwa sonona.

Ova
 
Yaliyotokea tungejua chanzo kama tuna waandishi wanaojituma na kufuatilia ila ni waandishi njaa na waongo wasiojua hata kuandika habari
Kuna gazeti lilikurupuka na kuandika kuwa kajipiga risasi dukani kwake
Paragraph ya pili na habari hiyo hiyo wakaandika kajipiga akiwa nyumbani kwake
Tatizo wanataka kutoa taarifa kuwashinda polisi
Yaani bila kuwa na ndugu wa karibu au kusubiri mpaka mnapata ukweli hamuwezi ila kwa unoko hamjambo

Gharama ya kwenda Tabora ni ndogo sana kwa waandishi ila sijui huwa wanawapigia boda na kuwauliza kumetokea nini huko
Tz hakuna waandishi,waandishi sahv habari zao ni za udaku,simba yanga
Kumfatilia mondi kiba na ujingujing

Ova
 
Kwa wafanyabiashara wanaweza kuelewa msongo wa mawazo ambao Babu Rama alikuwa akipitia kwa huo muda mrefu kutokana na mwenendo wa biashara.

Kikubwa hapo si deni analowadai TRA, kwani hao mabwana hata wakikubali kukulipa hiyo fidia, itakuwa ya mtindo wa msamaha wa kodi wa thamani ya kiasi hicho cha pesa.

Biashara hadi kuwa kubwa kama hiyo ya Babu Rama huwa ina mambo mengi, hasa hizi za kuagiza nje bidhaa au malighafi.

Fikiria bidhaa iliyokuwa ununue jana kwa milioni 900, halafu leo ukakuta dola imepanda kwa shilingi 50, maana yake ni lazima uongeze leo leo ili upate bidhaa.

Hivyo, kupanda kwa thamani ya dola kunaweza kukuzalishia madeni ya dhamana ya mali zako. Kwani hakuna muda mrefu wa kusubiri upate hela ya kuongezea.

Lakini, kinachoweza kukupa ujasiri wa kuyaingia hayo madeni ni uwezo wa biashara yako na uzoefu wako katika biashara husika. Kama ikienda kama kawaida madeni yanalipika na faida unapata.

Sasa inapotokea biashara yako hiyo ikaharibiwa kwa kiwango kama cha Babu Rama (900M), ni lazima uingie kwenye migogoro ya madeni makubwa

Na siku zote mgogoro wa madeni hufanya ufikie kupoteza mali zako za thamani kubwa kwa hela kidogo sana uliyokopa na ikapotea. So, unauelekea umasikini.

Kuna ugumu mkubwa wa kuikabili hali hiyo, ni wachache sana walifaulu. Wengi walipata maradhi ya kupooza kama marehemu RG wengine kufa kwa sonona.

Ova
Bado haujaweza kuiweka hali yake kwenye msongo wa kujiua
 
Huyu jamaa aliondoka kizembe Sana, yaan unaondoka unaacha watesi wako wanakula Bata hapa mjini. Nilijua ataondoka nao angalao mmoja
 
HAIWEZEKANI UFE KWA STYLE HYO TENA UNA CHA MOTO,ANGEWAFUATA HUKO HUKO HAO WAZULAMAJI TRA WAFE NAO IKIWEZEKANA PIGAMOTO OFISI YOTE YA TRA KIGAIDI PAMOJA NAO NDANI NA IWE FUNDISHO KWA HAO MANYANGAU.PUMBAVUU KABISA.
Wewe uliiamini hiyo taarifa mkuu kuwa kajipiga risasi wacha niishie hapa ....
 
Back
Top Bottom