kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tutawauliza hao TFF kwa nini walitoa leseni, kwa mchezaji aliyesaini mkataba kwenye timu mbili.Ndivyo mnavofarijiana? Leseni ya TFF ikishatoka maana yake kila kitu kipo clear. Komaeni na Kagoma pamoja na Singida, sio Simba maana atandelea kucheza hadi TFF watakaposimamisha leseni waliyoitoa
Kwani ufahamu kwamba Tiefuefu ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye uongozi wa soka!Ndiyo tutawauliza hao TFF kwa nini walitoa leseni, kwa mchezaji aliyesaini mkataba kwenye timu mbili.
Staafu tu we mzee unatupa hasaraNdivyo mnavofarijiana? Leseni ya TFF ikishatoka maana yake kila kitu kipo clear. Komaeni na Kagoma pamoja na Singida, sio Simba maana atandelea kucheza hadi TFF watakaposimamisha leseni waliyoitoa
Sheria ni msumenoNauliza hivi: Kama Simba ingekuwa haijashinda mechi zake ilizocheza, Je, suala la Kagoma lingeibuka?
Utopolo mkae kwa kutulia, kama mmeshamchukua Chama sasa Kagoma wa kazi gani tena?
Sasa mjue kuwa Yusuf Kagoma kawagomea
Vipi alikuwa anatamani mihogo na viazi vyenu.Huyu Kagoma tabia zake za tamaa ni tokea tukiwa naye Sekondari.
Pengine watu hamjui kuwa kusaini mkataba sio kusajiliwa. Mchezaji anayemilikiwa na timu anasajiliwa kwenye mfumo baada ya timu yake kutuma code kwa timu inayomsajili. Ikiingizwa hiyo code hakuna timu nyingine duniani itakayoweza kumsajili. Kagoma hakusajiliwa na Yanga ndio maana wanahangaika, bali alisaini mkataba wa kuja kusajiliwa. Angekuwa amesajiliwa na Yanga basi Simba wangekwama kumsajili, maana ni ishu ya electroniki. Ni kama wewe hapa ukitaka kujiita kwa ID iliyomo humu tayari, utashindwa tu, kama huamini jaribu kubadili ID ujiite KalpanaNdiyo tutawauliza hao TFF kwa nini walitoa leseni, kwa mchezaji aliyesaini mkataba kwenye timu mbili.
Hoja zimeisha?Staafu tu we mzee unatupa hasara
Ile ileHoja zimeisha?
Wewe na nani mtawauliza? Na umefanya nn mpaka sasaNdiyo tutawauliza hao TFF kwa nini walitoa leseni, kwa mchezaji aliyesaini mkataba kwenye timu mbili.
Wewe jamaa wewe, unaelewa maana ya mkataba? Yaani kwa maelezo yako mchezaji anaweza kuamua kusaini mkataba na timu hata 10 au sio. Akapiga hela na mwisho akachagua timu moja ya kwenda. Mkataba ni makubaliano ya kazi, ambayo ukiishayaingia nenda katekeleze na sio janja janja. Vinginevyo huo unakuwa ni utapeli. Hivi vilabu vinaonewa sana, angekuwa mchezaji ndiyo mchezaji ndiyo kaachwa yaani huruma zingetawala.Pengine watu hamjui kuwa kusaini mkataba sio kusajiliwa. Mchezaji anayemilikiwa na timu anasajiliwa kwenye mfumo baada ya timu yake kutuma code kwa timu inayomsajili. Ikiingizwa hiyo code hakuna timu nyingine duniani itakayoweza kumsajili. Kagoma hakusajiliwa na Yanga ndio maana wanahangaika, bali alisaini mkataba wa kuja kusajiliwa. Angekuwa amesajiliwa na Yanga basi Simba wangekwama kumsajili, maana ni ishu ya electroniki. Ni kama wewe hapa ukitaka kujiita kwa ID iliyomo humu tayari, utashindwa tu, kama huamini jaribu kubadili ID ujiite Kalpana
Tofautisha kati ya contract na registration. Contract ni kiambatanisho cha registration. Yanga wamebaki na kiambatanisho mkononi, Simba wamepata kiambatanisho wakakiambatanisha kwenye registration. Sasa kwa haraka haraka hapo jiulizenani amefanya usajiliIle ile
Tabora wakachukue point zao
Nimekufanya upate cha kuandika Jamii FWewe na nani mtawauliza? Na umefanya nn mpaka sasa