Kwa Fei kulikuwa na kesi ya kushinda?Fei alikuwa na mkataba na Yanga na alikosea kutaka kuuvunja kienyeji.Kuna kipi cha kushinda hapo?Mwanasheria asijejua buyer ni nani na seller ni nani kwenye mkataba sio wa kumuamini.Huo mkataba haukidhi hadhi ya kuitwa mkataba kwa kukosewa anayeuza na anayenunua.Kwa Fei si alishi nda tena mara tatu,mkaleta mpira wenu wa hekima na Busara,leo mpira wetu kwenye usajili umekuwa wa hovyo, mara Lawi,mara Dube,Fei,Kagoma mara Awesu.
Hii hekima na busara huku mkiacha uweledi ndio unaucost mpira wa bongo,hasa kwenye usajili.