Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

Pengine watu hamjui kuwa kusaini mkataba sio kusajiliwa. Mchezaji anayemilikiwa na timu anasajiliwa kwenye mfumo baada ya timu yake kutuma code kwa timu inayomsajili. Ikiingizwa hiyo code hakuna timu nyingine duniani itakayoweza kumsajili. Kagoma hakusajiliwa na Yanga ndio maana wanahangaika, bali alisaini mkataba wa kuja kusajiliwa. Angekuwa amesajiliwa na Yanga basi Simba wangekwama kumsajili, maana ni ishu ya electroniki. Ni kama wewe hapa ukitaka kujiita kwa ID iliyomo humu tayari, utashindwa tu, kama huamini jaribu kubadili ID ujiite Kalpana
Wakielewa utakuwa umefanya kazi kubwa sana.Huyu Mwanasheria feki ndio anawaingiza mkenge kila siku.Alishindwa na B. Morrison huko TFF na hata alipokimbilia CAS akaangukia pua.Mkataba kwanini wasipeleke TFF?Kwanini hakutangazwa kama mchezaji mpya wa Yanga?Wadai milioni 30 kama ni kweli waliilipa Singida Fountain Gate.Wajanja wamewatapeli.
 
Wewe jamaa wewe, unaelewa maana ya mkataba? Yaani kwa maelezo yako mchezaji anaweza kuamua kusaini mkataba na timu hata 10 au sio. Akapiga hela na mwisho akachagua timu moja ya kwenda. Mkataba ni makubaliano ya kazi, ambayo ukiishayaingia nenda katekeleze na sio janja janja. Vinginevyo huo unakuwa ni utapeli. Hivi vilabu vinaonewa sana, angekuwa mchezaji ndiyo mchezaji ndiyo kaachwa yaani huruma zingetawala.
Naelewa sana. Ni kweli kabisa mchezaji anaweza akasaini mkataba na timu hata 10, lakini akasajiliwa na moja tu, kama vile sperms nyingi zinavyogombania yai halafu moja tu inafanikiwa. Hilo suala la kumsainisha Kagoma halafu asisajiliwe ni la kupeleka Polisi, sio TFF
 
Pengine watu hamjui kuwa kusaini mkataba sio kusajiliwa. Mchezaji anayemilikiwa na timu anasajiliwa kwenye mfumo baada ya timu yake kutuma code kwa timu inayomsajili. Ikiingizwa hiyo code hakuna timu nyingine duniani itakayoweza kumsajili. Kagoma hakusajiliwa na Yanga ndio maana wanahangaika, bali alisaini mkataba wa kuja kusajiliwa. Angekuwa amesajiliwa na Yanga basi Simba wangekwama kumsajili, maana ni ishu ya electroniki. Ni kama wewe hapa ukitaka kujiita kwa ID iliyomo humu tayari, utashindwa tu, kama huamini jaribu kubadili ID ujiite Kalpana
Ona Sasa akili za umbumbumbuni 😆
 
Hivi mwezi wa 4 dirisha la usajili lilikuwa lipo wazi?Unaweza kusajili mchezaji wakati wowote?
Yanga bora waseme waliweka makubaliano ya awali (pre contract) ambayo kikawaida ni non binding.
Ila kujisafisha na siasa za mpira wa Tanzania wanadai waliingiza milioni 30 kwa Singida Fountain Gate .Kumnunua mchezaji April na kufanya usajili wakati dirisha halijafunguliwa?Kwani Kagoma alikuwa free agent?
 
bado mnalo? Poleni sana huyo mwanasheria angetulia tuu...
Huyu mwanasheria ndiye yuleeee aliyemtoa kamasi mzee Magoma, sasa ni zamu ya Kagoma; magoma na kagoma wanaizingua Yanga..
 
Kwani ufahamu kwamba Tiefuefu ni kikundi cha wahuni waliojificha kwenye uongozi wa soka!
wahuni wa simba? wanacheza nje ya uwanja; c/o Morrison, Manula, Lawi, Yusuph Muhilu, Awesu, Lawi, Mashaka, Kagoma, Tabora united, Fountain gate.
 
Naelewa sana. Ni kweli kabisa mchezaji anaweza akasaini mkataba na timu hata 10, lakini akasajiliwa na moja tu, kama vile sperms nyingi zinavyogombania yai halafu moja tu inafanikiwa. Hilo suala la kumsainisha Kagoma halafu asisajiliwe ni la kupeleka Polisi, sio TFF
' Vihiyo' WA Yanga hawalijui hili. Hata Ile issue ya Morrison walikuwa wanadanganyana vijiweni kuwa Simba itaporwa point. Badala ya kupika supu wangeanzisha Shule Kwa ajili ya shabiki zao.
 
Pengine watu hamjui kuwa kusaini mkataba sio kusajiliwa. Mchezaji anayemilikiwa na timu anasajiliwa kwenye mfumo baada ya timu yake kutuma code kwa timu inayomsajili. Ikiingizwa hiyo code hakuna timu nyingine duniani itakayoweza kumsajili. Kagoma hakusajiliwa na Yanga ndio maana wanahangaika, bali alisaini mkataba wa kuja kusajiliwa. Angekuwa amesajiliwa na Yanga basi Simba wangekwama kumsajili, maana ni ishu ya electroniki. Ni kama wewe hapa ukitaka kujiita kwa ID iliyomo humu tayari, utashindwa tu, kama huamini jaribu kubadili ID ujiite Kalpana
Tuambie sakata la Dube na Azam liliisha vipi. Dube alikuwa na mkataba na Azam hadi lini?
 
Wakielewa utakuwa umefanya kazi kubwa sana.Huyu Mwanasheria feki ndio anawaingiza mkenge kila siku.Alishindwa na B. Morrison huko TFF na hata alipokimbilia CAS akaangukia pua.Mkataba kwanini wasipeleke TFF?Kwanini hakutangazwa kama mchezaji mpya wa Yanga?Wadai milioni 30 kama ni kweli waliilipa Singida Fountain Gate.Wajanja wamewatapeli.
Kwa Fei si alishinda tena mara tatu,mkaleta mpira wenu wa hekima na Busara,leo mpira wetu kwenye usajili umekuwa wa hovyo, mara Lawi,mara Dube,Fei,Kagoma mara Awesu.Kama mngekuwa na wanasheria wazuri mngeshinda kwa Lawi na Awesu, ila kwa Awesu mlivyo chemka mkarudi kwenye vibenchi vyenu vya hekima na busara.

Hii hekima na busara huku mkiacha uweledi ndio unaucost mpira wa bongo,hasa kwenye usajili.
 
Nauliza hivi: Kama Simba ingekuwa haijashinda mechi zake ilizocheza, Je, suala la Kagoma lingeibuka?
Utopolo mkae kwa kutulia, kama mmeshamchukua Chama sasa Kagoma wa kazi gani tena?
Sasa mjue kuwa Yusuf Kagoma kawagomea
Kulingana na Maelezo ya Simon Patrick inaonyesha uongozi wa Yanga Yusufu Kagoma na Singida Walisha kubaliana kulimaliza nje ya kamati.

Kwa mujibu wa maelezo, wanao msimamia kagoma ndio walio toa wazo la wao na mchezaji kuomba msamaha kwa klabu ya Yanga.
Ally Kamwe alisema wao kama klabu ikiwa mchezaji ataomba msamaha watamwachia huru Ina maana Ally Kamwe alikua akipita kwenye pendekezo walio toa wao viongozi wa kagoma.
Bahati mbaya uongozi wa Simba kupitia msemaji umemshauri Mchezaji apotezee.

Kama kanuni zitafuatwa inamaana muathirika atakua Kagoma maana hatocheza mpira kwa adhabu atakayo pewa na Bado atakaporudi ata takiwa arudisha fedha ya watu ya usajili ili awe huru kucheza Tena.

Wakati uo Ahmed Ally atakua anendelea na kibarua chake Cha kumwingizia rizki.

Mchezaji anatakiwa aongee na uongozi wa klabu ya Simba kwasasa waache kuliongelea swala lake mpaka atakapo limaliza maana siasa ya Simba na Yanga ita muangamiza yeye na kipaji chake.
 
Je baada ya kuingia naye mkataba mlisajili? Kama hadi dirisha ldah usajili linafingwa bila ninyi kumsajili, hiyo imekula kwenu. Mliingia naye mkataba ili asajiliwe siyo vinginevyo. Kama mngekuwa mmemsajili Simba wasingeweza kumsajili sababu mfumo ungelataa.
Nikionacho hadi sasa ni kwamba hamjafanya mchakato wowote ule wa kumsajili ndiyo maana madai yenu hayalalamikii kwamba mfumo umemkataa, bali mnalalamika kuwa mbina anachezea Simba wakati ana Mkayaba nah Yanga, hamsemi mmemsajili wala mlijaribu kumsajili.
dilirisha la usajili lilikuwa halijafungwa, wangemsajili tu. Kwani ukiwa na mke ambae umeshamtolea mahari kwa wazazi wake na mchumba umeshampa kifunga uchumba akapokea, kama akiolewa na mke mwingine wazazi na mchumba hawana cha kujibu?
 
Wewe jamaa wewe, unaelewa maana ya mkataba? Yaani kwa maelezo yako mchezaji anaweza kuamua kusaini mkataba na timu hata 10 au sio. Akapiga hela na mwisho akachagua timu moja ya kwenda. Mkataba ni makubaliano ya kazi, ambayo ukiishayaingia nenda katekeleze na sio janja janja. Vinginevyo huo unakuwa ni utapeli. Hivi vilabu vinaonewa sana, angekuwa mchezaji ndiyo mchezaji ndiyo kaachwa yaani huruma zingetawala.
Kaka unadanganya umma, kama ingekuwa hivyo TFF isingekuja na kanuni ya mchezaji kusaini timu zaidi ya moja kwa wakati mmoja. Hiyo kanuni isingekuwepo kwenye bodi ya ligi.
 
' Vihiyo' WA Yanga hawalijui hili. Hata Ile issue ya Morrison walikuwa wanadanganyana vijiweni kuwa Simba itaporwa point. Badala ya kupika supu wangeanzisha Shule Kwa ajili ya shabiki zao.
Nini maana ya double signing kwenye mpira wa miguu?
 
Back
Top Bottom