Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

Wewe jamaa wewe, unaelewa maana ya mkataba? Yaani kwa maelezo yako mchezaji anaweza kuamua kusaini mkataba na timu hata 10 au sio. Akapiga hela na mwisho akachagua timu moja ya kwenda. Mkataba ni makubaliano ya kazi, ambayo ukiishayaingia nenda katekeleze na sio janja janja. Vinginevyo huo unakuwa ni utapeli. Hivi vilabu vinaonewa sana, angekuwa mchezaji ndiyo mchezaji ndiyo kaachwa yaani huruma zingetawala.
You have nailed MKuu!
 
Kama nakuelewa hivi ila tatizo langu ni moja tu. Sijaelewa kwa nini Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji imemzuia Yusuph Kagoma kuitumikia Simba katika michezo ya Ligi Kuu ya NBC, hali wakijua kuwa ana leseni ya TFF.
Si vibaya sana uchunguzi unapofanyika, mchezaji asimame kwanza, ila itakuwa vibaya kama watachukua muda mrefu kufanya maamuzi. Uzuri waliotoa leseni ni wenyewe based on kukamilika kwa usajili, so sio faulty ya Simba
 
Ni aibu nimeona copy ya huo mkataba Yanga ni seller na Singida Fountain Gate ni buyer!!!
Kweli huyu Mwanasheria aliyeuandaa huu mkataba ana credentials za kuwa mwanasheria tena kwenye taasisi kubwa kama Yanga?
Hebu uweke mkuu kama ulifanikiwa kuupiga japo kapicha manake nimecheka kinyama hapa nilipo
 
Si vibaya sana uchunguzi unapofanyika, mchezaji asimame kwanza, ila itakuwa vibaya kama watachukua muda mrefu kufanya maamuzi. Uzuri waliotoa leseni ni wenyewe based on kukamilika kwa usajili, so sio faulty ya Simba
Wala Yusuf Kagoma hajasimamishwa kucheza.Ni redio mbao tu.
 
Kwenye swala la Kagoma, Simba kama Club haiadhibiki anayeadhibika hapo ni mchezaji kwa kufanya utapeli. Simba ni wahanga kama walivyo Yanga na waliweza kuingia naye mkataba na hatimaye kumsajili sababu mchezaji hakuwa amesajiriwa na klabu yoyote ndiyo maana TFF wakampatia kibali cha kuchezea Simba.
Hivyo basi, wanaostahili adhabu hapo ni mchezaji na club aliyotoka sababu kitendo walichokifanya ni utapeli. Watatakiwa kurudisha hela ya Yanga pia watakubaliana na Simba kama warudishiwe hela zao au Simba itamvumilia hadi adhabu itakapoisha. Hasara watakayoiingia Simba kama mchezaji atafungiwa ni kuikosa huduma ya mchezaji huyo pamoja na kulipia kila kitu, lakini kamwe haitanyang'anywa points zake.
Ila Ally Kamwe anakurupuka sana. Kumbe Yusuph Kagoma angeomba radhi huu utata ungeisha.
 
Kwenye swala la Kagoma, Simba kama Club haiadhibiki anayeadhibika hapo ni mchezaji kwa kufanya utapeli. Simba ni wahanga kama walivyo Yanga na waliweza kuingia naye mkataba na hatimaye kumsajili sababu mchezaji hakuwa amesajiriwa na klabu yoyote ndiyo maana TFF wakampatia kibali cha kuchezea Simba.
Hivyo basi, wanaostahili adhabu hapo ni mchezaji na club aliyotoka sababu kitendo walichokifanya ni utapeli. Watatakiwa kurudisha hela ya Yanga pia watakubaliana na Simba kama warudishiwe hela zao au Simba itamvumilia hadi adhabu itakapoisha. Hasara watakayoiingia Simba kama mchezaji atafungiwa ni kuikosa huduma ya mchezaji huyo pamoja na kulipia kila kitu, lakini kamwe haitanyang'anywa points zake.
Kama ukinunua mali halali kwa fedha halali lakini mali hiyo imeibwa pahala na mwenye akaikamata kwako, huwezi kusema huna hatia na kudai uendelee kubaki nayo na kuitumia kwakuwa uliinunua kihalali. Lazima mwenyewe ataichukua ili wewe ukamtafute aliyekuuzia. Simba waliambiwa huyo mchezaji Kagoma tayari amesaini na Yanga, angesubiri kwanza kumchezesha hadi kesi iishe. Hata huko CAF Confederation wasijaribu kumtumia hadi suala limalizike. Maana wapinzani wao Al-hilal Tripoli tayari wana khabari ya utata wa Kagoma.
 
Wachangiaji wengi humu hawajui maana ya pre-contract kati ya mchezaji na club inayompa huo mkataba.

Someni kanuni na sheria acheni uvivu. point zinapatikana uwanjani shekh, hakunaga kitonga.
pre-contract haina money transfer kaka, weka vizuri miwani yako. Hii haikuwa pre-contract maana tayari mauziano yalishafanyika.
 
Kwa Fei kulikuwa na kesi ya kushinda?Fei alikuwa na mkataba na Yanga na alikosea kutaka kuuvunja kienyeji.Kuna kipi cha kushinda hapo?Mwanasheria asijejua buyer ni nani na seller ni nani kwenye mkataba sio wa kumuamini.Huo mkataba haukidhi hadhi ya kuitwa mkataba kwa kukosewa anayeuza na anayenunua.
Huo mkataba haukizi based on which reference?

Kwani zile rufaa alizo kata Fei kwako unazitreat kama nini? Maana unamkataa Saidi ili ila unamkubali side.
 
Yanga wamewahiwa na mwanasheria wao anajieleza kuwapa matumaini hewa. Eti wakaombwe msamaha huku ni kushindwa.
 
Halafu mwisho ikawaje Awesu bado yupo KMC?
Mwanasheria asiyejua tofauti kati ya seller na buyer sio mwanasheria.Huo kwanza sio mkataba umekosewa kisheria.
Yupo KMC baada ya nyinyi kushinda? Maana mlichemka na kMC akashinda, ndio mkapewa nafasi ya kufuata taratibu za usajili, mkafanya hivyo.Sasa kama wanasheria wenu wapo makini kwanini walishindwa kufuata hizo taratibu tokea mwanzoni ? Vip kwa kwa Lawi na Coast Union?

Hao wanasheria waliofanya mistake tatu ndani ya msimu moja wa usajili ,tuwaweke kundi gani maana Kagoma,Lawi na Awesu?Na nyinyi mnajihesabia mna wanasheria.
 
Ndivyo mnavofarijiana? Leseni ya TFF ikishatoka maana yake kila kitu kipo clear. Komaeni na Kagoma pamoja na Singida, sio Simba maana atandelea kucheza hadi TFF watakaposimamisha leseni waliyoitoa
Washaisimamisha unataka waisimamishe mara ngapi? Waendelee kumtumia waone kama wanao ubavu
 
Kama ukinunua mali halali kwa fedha halali lakini mali hiyo imeibwa pahala na mwenye akaikamata kwako, huwezi kusema huna hatia na kudai uendelee kubaki nayo na kuitumia kwakuwa uliinunua kihalali. Lazima mwenyewe ataichukua ili wewe ukamtafute aliyekuuzia. Simba waliambiwa huyo mchezaji Kagoma tayari amesaini na Yanga, angesubiri kwanza kumchezesha hadi kesi iishe. Hata huko CAF Confederation wasijaribu kumtumia hadi suala limalizike. Maana wapinzani wao Al-hilal Tripoli tayari wana khabari ya utata wa Kagoma.
Ndiyo maana nimesema Kagoma na Singida Black Star wana hatia, lakini Simba hana hatia kwa kuwa kwenye manunuzi yake alifuata taratibu zote ikiwemo kwenda T.R.A (TFF) ambapo walimpatia hati ya umiliki, lakini Yanga pamija na kuwa na mkataba halali naye wao hawakwenda kufuatilia taratibu za kumsajiri ili wapewe hati ya kummiliki. Kama Yanga wangefanya taratibu hizo, Simba wangekutabmchezaji tayari yupo kwenye mfumo na hivyo ombi lao la kumsajili lingegonga mwamba.
Lakini, ikithibitika kuwa Simba walijua kuhusu kagoma kusajiliwa Yanga lakini wakafanya ushawishi au mbinu basi hapo itawagharimu pia.
 
Ndiyo maana nimesema Kagoma na Singida Black Star wana hatia, lakini Simba hana hatia kwa kuwa kwenye manunuzi yake alifuata taratibu zote ikiwemo kwenda T.R.A (TFF) ambapo walimpatia hati ya umiliki, lakini Yanga pamija na kuwa na mkataba halali naye wao hawakwenda kufuatilia taratibu za kumsajiri ili wapewe hati ya kummiliki. Kama Yanga wangefanya taratibu hizo, Simba wangekutabmchezaji tayari yupo kwenye mfumo na hivyo ombi lao la kumsajili lingegonga mwamba.
Lakini, ikithibitika kuwa Simba walijua kuhusu kagoma kusajiliwa Yanga lakini wakafanya ushawishi au mbinu basi hapo itawagharimu pia.
Nadhani pia Yanga hawana kesi na Simba, bali wameishtaki Singida na Kagoma. Ishu ipo kwa mchezaji kufungiwa ikithibitika na nadhani wachezaji wetu busara imepungua sana. Inawaharibia hata CV kwa baadae.
 
Back
Top Bottom