Upo sahihi kabisaNadhani pia Yanga hawana kesi na Simba, bali wameishtaki Singida na Kagoma. Ishu ipo kwa mchezaji kufungiwa ikithibitika na nadhani wachezaji wetu busara imepungua sana. Inawaharibia hata CV kwa baadae.
Simba inahusika vipi hapo😁 simba kimewalamba hichi..
Wakumbushe na ishu ya Emanuel okwi wakati anatoka Yanga kurudi Simba.' Vihiyo' WA Yanga hawalijui hili. Hata Ile issue ya Morrison walikuwa wanadanganyana vijiweni kuwa Simba itaporwa point. Badala ya kupika supu wangeanzisha Shule Kwa ajili ya shabiki zao.
Utopolo watakusumbua sababu hawajui maana ya buyer na seller .Kwa Fei kulikuwa na kesi ya kushinda?Fei alikuwa na mkataba na Yanga na alikosea kutaka kuuvunja kienyeji.Kuna kipi cha kushinda hapo?Mwanasheria asijejua buyer ni nani na seller ni nani kwenye mkataba sio wa kumuamini.Huo mkataba haukidhi hadhi ya kuitwa mkataba kwa kukosewa anayeuza na anayenunua.
Hamna UTO wanaishi ki ujanja ujanja; mwaka jana wamepata ubingwa kwa mbinu za mezani - mwaka huu washaanza tena.Kaka kuna wanawake wanaolewa kwa kupewa mahali ya biblia au msahafu tu. Ni makubaliano.
Lawi je?Yupo KMC baada ya nyinyi kushinda? Maana mlichemka na kMC akashinda, ndio mkapewa nafasi ya kufuata taratibu za usajili, mkafanya hivyo.Sasa kama wanasheria wenu wapo makini kwanini walishindwa kufuata hizo taratibu tokea mwanzoni ? Vip kwa kwa Lawi na Coast Union?
Hao wanasheria waliofanya mistake tatu ndani ya msimu moja wa usajili ,tuwaweke kundi gani maana Kagoma,Lawi na Awesu?Na nyinyi mnajihesabia mna wanasheria.
Mkataba wa kwanza haujavunjwa (haukuvunjwaNaelewa sana. Ni kweli kabisa mchezaji anaweza akasaini mkataba na timu hata 10, lakini akasajiliwa na moja tu, kama vile sperms nyingi zinavyogombania yai halafu moja tu inafanikiwa. Hilo suala la kumsainisha Kagoma halafu asisajiliwe ni la kupeleka Polisi, sio TFF
Mkataba sio usajili (contract is not registration). Mkataba ni kiambatanisho kimojawapo katika kufanya usajili. Viambatanisho vingine ni cheti cha kuzaliwa, release letter kama umeuzwa na vingine vichache. Kwa hiyo klabu moja kuwa na kiambatanisho kimojawapo hakimzuii mchezaji kukamilisha usajili (registration) katika klabu nyingine. Hata viongozi wa Yanga wanajua hilo ndio maana wametoka hadharani kuitisha press hata kabla shauri halijapitiwa na TFFMkataba wa kwanza haujavunjwa (haukuvunjwa
Noted with thanksMkataba sio usajili (contract is not registration). Mkataba ni kiambatanisho kimojawapo katika kufanya usajili. Viambatanisho vingine ni cheti cha kuzaliwa, release letter kama umeuzwa na vingine vichache. Kwa hiyo klabu moja kuwa na kiambatanisho kimojawapo hakimzuii mchezaji kukamilisha usajili (registration) katika klabu nyingine. Hata viongozi wa Yanga wanajua hilo ndio maana wametoka hadharani kuitisha press hata kabla shauri halijapitiwa na TFF
Mkataba unakuwa valid pale ambapo vipengele vya mkataba vinatimizwa,Wewe jamaa wewe, unaelewa maana ya mkataba? Yaani kwa maelezo yako mchezaji anaweza kuamua kusaini mkataba na timu hata 10 au sio. Akapiga hela na mwisho akachagua timu moja ya kwenda. Mkataba ni makubaliano ya kazi, ambayo ukiishayaingia nenda katekeleze na sio janja janja. Vinginevyo huo unakuwa ni utapeli. Hivi vilabu vinaonewa sana, angekuwa mchezaji ndiyo mchezaji ndiyo kaachwa yaani huruma zingetawala.
Hili la Kagoma kuna vitu vya kujifunza kuhusu mikataba na matumizi ya kanuni tulizo zitengeneza wenyeweMkataba unakuwa valid pale ambapo vipengele vya mkataba vinatimizwa,
Double signing ni kosa la maadili sio la sheria za mpira. Kwenye football suala la usajiri lina process zake.Kama ingekuwa hivyo kusingekuwepo na kanuni kuhusu kosa la double signing, maana atakaewahi kutoa code TFF ndiye angekuwa mshindi. Kagoma alikuwa na mkataba wa maandishi na Yanga ambao haukusajiliwa TFF, sawa na Dube alivyokuwa na mkataba mrefu na Azam ambao ulikuwa haukusajiliwa TFF.
Fountain gates hawakunja mkataba na Kagoma hakuvunja mkataba na Yanga. Kagoma ana kesi ya double signing na Fountain gates wana kesi ya utapeli. Mchezaji asingekubali kusaini mkataba kabla ya matakwa yake kutekelezwa na club isingepokea fedha ya Yanga kabla mchezaji hajakubaliana na Yanga. Mikataba ya Kagoma, Kibabage na Andambwile inajitegemea kila mmoja, haiwezi kuhusishwa na mkataba wa Kagoma hata kidogo. Kila mkataba unajitegemea, hivyo fountain gates wanafanya makosa makubwa kutaja mikata ya Kibabage na Andabwile kwenye kesi ya Kagoma, ni kuwakosea heshima Kibabage na Andambwile wasiokuwa na mgogoro kuweka mambo yao hadharani..Mkataba wa kwanza haujavunjwa (haukuvunjwa
Je, Ni sawa kumwajili mfanyakazi ambae amefanya uhalifu sehemu nyingine? Simba na TFF wakati ule wanamsajili Kagoma kuichezea Simba hawakujua kwamba Kagoma amesaini Yanga pia? Kama walijua Simba na TFF wana makosa, na kama hawakujua Yanga wana makosa kwenye hili.Mkataba sio usajili (contract is not registration). Mkataba ni kiambatanisho kimojawapo katika kufanya usajili. Viambatanisho vingine ni cheti cha kuzaliwa, release letter kama umeuzwa na vingine vichache. Kwa hiyo klabu moja kuwa na kiambatanisho kimojawapo hakimzuii mchezaji kukamilisha usajili (registration) katika klabu nyingine. Hata viongozi wa Yanga wanajua hilo ndio maana wametoka hadharani kuitisha press hata kabla shauri halijapitiwa na TFF
Simba wangejuaje?... wakati ule wanamsajili Kagoma kuichezea Simba hawakujua kwamba Kagoma amesaini Yanga pia?
Walijua ndiyo maana waliongeza dau toka 30m hadi 70m, hata hivyo nani hapendi hela?, (Nani sala mbongo)Simba wangejuaje?
Mkataba ni makubaliano, makubaliano yanaweza kuwa hata ya mdomo ilimradi kuwe na mashahidi. Kagoma ana mkataba ulisainiwa mbele ya mashahidi akiwemo mwanasheria wake. Huko TFF ni kuthibitisha TU na kupewa leseni lakini TFF haiwezi kuongilia mkataba kati ya mchezaji na club.Mkataba unakuwa valid pale ambapo vipengele vya mkataba vinatimizwa,