DOKEZO Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

DOKEZO Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuwafukuza wamwasaidia nini?

Hivyo uchi ndio uharibu maizha ya mtoto?

Walitakiwa kuadhibiwa, kurekebishwa na kuonywa

Iko sawa kabisa kwa kuwa wameondolewa shuleni hapo wasiharibu wengine na kupelekwa program ya marekebisho ya tabia kwanza kwa kuwa wako chini ya miaka 18 kwa mujibu wa sheria ya mtoto ambayo wengi hamuisomi na Iko humu online.

Lawama laumuni tu kwa kuwa ndiyo uhuru wa maoni ila sisi hufanya haya mambo kitaalamu kabisa. Ahsante Sana ubarikiwe
Hapana mama, huwa ninakuunga mkono na nitaendelea kukuunga mkono lakini katika hili tuweke mihemko pembeni tujadili uhalisia;
1. Aliyezaa akarudishwa shule, je haharibu wengine kuona kuwa waweza kujihusisha na uasherati na kuzaa na ukarudishwa shule?
2. Kuna tofauti gani na huyu aliyejirekodi kwa ujinga wa utoto tu?

........
Mapendekezo yangu;
  • Waadhibiwe mbele ya wenzao ili iwe funzo kwao na wenzao.
  • si sawa kumnyima mtoto elimu kwa makosa ya utotoni.


Mwisho: Anzeni na wasanii wetu, wanatuharibia jamii na haya ndiyo matokeo ya uharibifu huo.
 
Nilikuwa vijijini ndiyo naibuka mitandaoni. Kwanza ahsanteni sana kwa mjadala moto moto.

Pili, wengi wenu huwa mnapenda kutafuta angle hasi Ili mumpige mtu aonekana kafanya vitu vibaya Sana hajawahi kutokea tangu ulimwengu uumbwe. Pia stori imegeuzwa makusudi tu wala haiko hivyo. Lengo sijui.

Kifupi nimeenda ziara hapo na nimekuta walishafukuzwa na mamlaka ya mkoa zamani tu na ilikuwa ni taarifa ya Mkuu wa Mkoa kuhusu hatua alizochukua pale. Hapo alichangia mimi nilipokuwa nahimiza kuwa, shule zote nchini ziwe na madawati ya ulinzi wa watoto kama tulivyozindua miongozo ya kisera mwaka juzi. Sasa mbona vimegeuzwa? 🤣

Tatu; watoto hao wameondolewa kwenda marekebisho ya tabia kwanza kisha waje waende shule zingine kwani, katika haki za watoto ni pamoja na elimu na hata ikiwa watoto wako mahabusu wanaendelea na elimu.

Wakati mkiendelea sasa kujadili na kulaumu, rekebisheni kwanza taarifa wapendwa sana.

Nawapenda Sana mbarikiwe wote 🤝
Hongera sana muheshimiwa pongezi kwa kazi nzuri ya kusaidia ustawi wa hao watoto na jamii.
 
Wakizaa hawafukuzwi.
Simu zilifikaje shule?
Wawape suspension.
Story yenyewe inayojadiliwa imepotoshwa. Walishaondolewa shuleni kitambo Mimi nilikuwa napewa taarifa tu, na wameenda program ya malezi na makuzi huko Ustawi wa Jamii Ili tabia zikae sawa waweze kuendelea na masomo eneo lingine. Au walitaka wafundishe shule yote? Na kama wengine wapi huko watajwe Ili waende kwenye program hizo. Halafu jamii isome Sheria ya mtoto kama wanavyosoma mambo mengine yote online maana ipo humu.

Ahsante Sana kwa mjadala
 
Nilikuwa vijijini ndiyo naibuka mitandaoni. Kwanza ahsanteni sana kwa mjadala moto moto.

Pili, wengi wenu huwa mnapenda kutafuta angle hasi Ili mumpige mtu aonekana kafanya vitu vibaya Sana hajawahi kutokea tangu ulimwengu uumbwe. Pia stori imegeuzwa makusudi tu wala haiko hivyo. Lengo sijui.

Kifupi nimeenda ziara hapo na nimekuta walishafukuzwa na mamlaka ya mkoa zamani tu na ilikuwa ni taarifa ya Mkuu wa Mkoa kuhusu hatua alizochukua pale. Hapo alichangia mimi nilipokuwa nahimiza kuwa, shule zote nchini ziwe na madawati ya ulinzi wa watoto kama tulivyozindua miongozo ya kisera mwaka juzi. Sasa mbona vimegeuzwa? 🤣

Tatu; watoto hao wameondolewa kwenda marekebisho ya tabia kwanza kisha waje waende shule zingine kwani, katika haki za watoto ni pamoja na elimu na hata ikiwa watoto wako mahabusu wanaendelea na elimu.

Wakati mkiendelea sasa kujadili na kulaumu, rekebisheni kwanza taarifa wapendwa sana.

Nawapenda Sana mbarikiwe wote 🤝
Sasa Mhe. kama nchi kuna mkakati gani wa kukabiliana na mmong'onyoko wa maadili na athari hasi za utandawazi?

Maana haitawezekana kushugjulika na tatizo moja moja ni lazima kuwe na mfumo wa jumla.
 
Hongera sana muheshimiwa pongezi kwa kazi nzuri ya kusaidia ustawi wa hao watoto na jamii.
Mimi naona siku hizi hata pongezi nisipewe tu🤣, nipondwe pondwe tu Ili mradi nimetimiza wajibu wangu, maana ukweli hata hakuna jema kabisa. Wazazi na walezi wenye watoto hawatimizi wajibu wao, sisi tukisema tukaokoe jahazi walilozamisha wao, wanainuka tena wapindisha stori na wanashangiliwa na wazazi nao wanaungana kutuponda😅😅😅

Uongozi kweli jalala, haya waje tu waniponde ponde nishazoea, ila Hawa watoto wataenda kliniki ya marekebisho ya tabia kwanza ndiyo waende kwenye haki yao ya elimu shule nyingine. Na tukikuta wengine ni hivyo hivyo. Wazazi na Walezi kaeni chonjo maana waliokosa malezi nyumbani kwa baba na mama wanaenda kufundisha wengine shuleni.
 
Iko sawa kabisa kwa kuwa wameondolewa shuleni hapo wasiharibu wengine na kupelekwa program ya marekebisho ya tabia kwanza kwa kuwa wako chini ya miaka 18 kwa mujibu wa sheria ya mtoto ambayo wengi hamuisomi na Iko humu online.

Lawama laumuni tu kwa kuwa ndiyo uhuru wa maoni ila sisi hufanya haya mambo kitaalamu kabisa. Ahsante Sana ubarikiwe
Dkt Gwajima , ukweli ni Ukweli , Maamuzi mlofanya ni sahihi na ninawaunga mkono 100%.


Hao Mabinti mkifatilia mtandao wao mtagundua ya kwamba wanafanya kazi chini ya Midada na Mijimama inayofanya Biashara NGONO kupitia Mitandao ya Kijamii.

Mabinti hao kupitia Mitandao mbali mbali ya kijamii , kazi yao kubwa ni kutafuta Wateja.

Biashara hii imegawanyika katika vipengele mbali mbali , Mfano.... Watadai wanatoa huduma hizi na Kila huduma Unatakiwa kulipiaa.

Kutuma Picha Uchi.

Kuongea Video call akiwa Uchi.

Kufanya Massage ( wao Wana aina mbali mbali za massage).

Ngono Kwa aina zake

Ngono kinyume na maumbile

N.k.

Sasa nini Hatari Kwa Shule hiyo?.


Kwakua ni Biashara ambayo kwao ni rahisi kuingza Pesa,

Itakua ni rahisi sana kueneza ugonjwa huo Kwa waschana wengine shuleni hapo, Kuongezeka Kwa visa vya Mapenzi ya jinsia moja .

Kwa kulinda Masilahi ya waschana wengine, KUWAFUKUZA MABINTI HAO NDIO LILIKUA SULUHISHO.

lakini pia kupitia Mabinti hao wawili ambao naamini wanaweza kua Wakazi wa Dar, Dodoma, Arusha, Mwanza , mnaweza kufumua mtandao mzima

Nmewahi gusua hili Kwa uchache na nikakuita 👇

 
Hao watoto wafukuzwe mara Moja, ndio hao wanaofanya BIASHARA NGONO kupitia makundi ya Wasap, Telegram , wakisemaa, natoa huduma za

video call .

Picha za kumayangu .

Kufirana.....

Kutombana kama Bata...

Massage...


Wafukuzwe , wasiwaambukize wenzio Michezo mchafu .

Wajinga hao wachache ndo wanaeneza Usagaji na umalaya.
Tuanze na wewe kwanza. Uko kwenye magrupu ya telegram na whatsapp ulifuata nini
 
Mkuu pole na majukumu na hongera Kwa Kazi nzuri unayofanya

Naomba kabla ya kuwafukuza shule hawa watoto mmetazama haya mambo kwa undani ?

1. Afya ya akili ya waanafunzi
2. Background ya malezi yao
3 . Umri wao hasa katika Foolish Age


Unapomfukuza mtoto shule unajua unakuwa umemtoa mchezoni kabisa

Kuna adhabu ambazo zinaweza kuwa rafiki na zinazomjenga mtoto .

Elimu ni muhimu maana hakuna MTU ambaye huwa hakosei hivyo ni vizuri mgefikiria hili jambo pasipo kutumia mihemko
Wanaenda program ya marekebisho ya tabia nje ya walipokuwa maana ni hatari kwa kuambukiza wengine. Mlitaka wabaki hapo hapo?
 
Story yenyewe inayojadiliwa imepotoshwa. Walishaondolewa shuleni kitambo Mimi nilikuwa napewa taarifa tu, na wameenda program ya malezi na makuzi huko Ustawi wa Jamii Ili tabia zikae sawa waweze kuendelea na masomo eneo lingine. Au walitaka wafundishe shule yote? Na kama wengine wapi huko watajwe Ili waende kwenye program hizo. Halafu jamii isome Sheria ya mtoto kama wanavyosoma mambo mengine yote online maana ipo humu.

Ahsante Sana kwa mjadala
Heshima sana kwako Mheshimiwa. Mungu akukuze, ung'ae, uonekane.

Ila usinisahau.
 
Dkt Gwajima , ukweli ni Ukweli , Maamuzi mlofanya ni sahihi na ninawaunga mkono 100%.


Hao Mabinti mkifatilia mtandao wao mtagundua ya kwamba wanafanya kazi chini ya Midada na Mijimama inayofanya Biashara NGONO kupitia Mitandao ya Kijamii.

Mabinti hao kupitia Mitandao mbali mbali ya kijamii , kazi yao kubwa ni kutafuta Wateja.

Biashara hii imegawanyika katika vipengele mbali mbali , Mfano.... Watadai wanatoa huduma hizi na Kila huduma Unatakiwa kulipiaa.

Kutuma Picha Uchi.

Kuongea Video call akiwa Uchi.

Kufanya Massage ( wao Wana aina mbali mbali za massage).

Ngono Kwa aina zake

Ngono kinyume na maumbile

N.k.

Sasa nini Hatari Kwa Shule hiyo?.


Kwakua ni Biashara ambayo kwao ni rahisi kuingza Pesa,

Itakua ni rahisi sana kueneza ugonjwa huo Kwa waschana wengine shuleni hapo, Kuongezeka Kwa visa vya Mapenzi ya jinsia moja .

Kwa kulinda Masilahi ya waschana wengine, KUWAFUKUZA MABINTI HAO NDIO LILIKUA SULUHISHO.

lakini pia kupitia Mabinti hao wawili ambao naamini wanaweza kua Wakazi wa Dar, Dodoma, Arusha, Mwanza , mnaweza kufumua mtandao mzima .


Waelimishe tu wengine pia, maana mimi nikiwajibu badhi wanaanza ligi za mashindano 😀
 
nazani ni maamuzi sahihi sana yamefanyika. Tumekua tukificha uovu kwa vijana wetu kwa kigezo cha kusingizia umli wao ni mdogo. ofisi ya waziri yenye mamraka katika malezi, wako sahihi kabisa kwa hatua zilizo chukuuliwa. big up
 
Back
Top Bottom