TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

Status
Not open for further replies.
Huu ugonjwa watakaobaki nao hapa duniani ni matajiri peke yao wale akina siye hatuna chetu maana dawa ya ARV ni ghali sana kuinunua kwa pesa ya kudunduliza na hivi tunaye muuaji magogoni hawezi kishindwa kutamka "kwani mimi ndio nimekuambukiza UKIMWI "
 
Mkuu unajua dozi ya ARV kwa mwezi i agharimu kiasi gani?? Hata CCM hawako pamoja na wewe kwenye suala hili
Nyie si mnajiita ni dona country na hamjawahi kushindwa vita yoyote duniani? Pambaneni na hali zenu. I say it again - At this era, ni aibu kutembeza bakuli ili mpate pesa za ARVs
 
tutakunywa kroloquine kama hawaleti ARV sisi ni nchi tajiri
Kama mdudu wa corona tulimtokomeza kwa maombi tu, sembuse huu Ukimwi? Kila mkoa tutaweka askofu wa hadhi ya gwajiboy maombi yakufa mtu yatapigwa mpaka huo Ukimwi ujute kuzaliwa.
 
Ni kweli, kama tunanunua madawa yenye gharama kubwa ya kansa, haya hayatatushinda. Halafu unajua dawa zenyewe ni zipi? Just Co- trimoxazole
 
Nasema hivi: hamuwezi kuwa mnagongana peku daily harafu mnasubiri beberu aje kuwapa condoms na ARVs bure. Kama mnaweza kununua ndege kwa cash money, mnaweza kulipia condoms ninyi[emoji846]
Hakuna muda wa kupoteza na hakuna pesa ya kupoteza. Ifike pahala tukubali kufa ili vizazi vipya viishi kwa amani na kufaudu uchumi unaojengwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisha andika before hata kuwepo hii habari
 
Jibu ni moja tu hizi dawa hazitibu ukimwi. Zinarefusha maisha. Kama zinarefusha maisha, tujiulize sisi waathirika hatuna nyege?. Kama tunanyege tunazimaliza vipi?, Je kwa kupiga nyeto au kwa kushiriki tendo?.

Tuache ujinga, narudia tena tuache ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliokuwa wanasema ukimwi ni fiction na propaganda.

Jiandaeni na heavy impact.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…