Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Kwani kanisa Catholic la DRC lina muundo tofauti na hili la bongo kwenye kuwasiliana na waumini?

Martin Fayulu alikuwa mgombea wa kanisa uchaguzi uliopita na kampeni alipigiwa hadi kanisani na kanisa likawa hadi na kituo cha kujumlisha kura ila holaa,wakayakataa matokeo bado holaa.

NB: DRC ndiyo nchi yenye idadi kubwa ya waumini wa kanisa Catholic Africa na top 10 duniani with 50M+.
 
Mbinu rahisi ni kuwapa kesi ya uhaini tu. Wakikaa lupango miezi sita, wataomba poo wenyewe
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Mashehe hawana madhara.
 
Tatizo la TEC wasipojibiwa nao huwa hawaongezi hoja ila wanachukulia kudharauliwa wanaenda next steps ambazo huwa ni siri utaona impact
 
wawakusanye kujibu hoja, wakija kivingine ndio itasaidia anguko la chama dola
CCM ni Kikundi cha Wapika majungu na Fitna au huwajui watatumia vuguvugu hili la Bandari ili kutuchonganisha na kutugawa sisi wananchi Zanzibar kuna watu hawasalimiani
 
Mpaka Hapa serikali imeshavunja katiba Hilo hulioni? Unashuka mavi yanakunukia unaanza kuuliza watu nani kajinyea?

Juzi umesimama na watawala Mjomba wako Mwambukusi anyongwe Kwa uhaini pamoja Na Dr Slaa na ukaandaa machapisho kushadadisha hoja yako.

Kwabahati mbaya tulipobonyeza na kuitangazia Dunia kwamba Tanzania Kuna uhaini tukisaidiana na niniyi na vyombo vya dola, mama Yako akaona ni aibu Kwa Taifa kuenda sanjari na watu kama ninyi! Mashtaka yakabadilika ghafla na yakawa ya uchochezi na fedha za umma zikatika kuwarudisha mjini!
Huoni ni kuvuliwa nguo?
 
Sisi CHADEMA tunataka mikataba yote ya ilioingiwa na Serikali ya CCM iwekwe wazi tuikadili na tunawaomba Watanzania wa Dini zote watuamini ili tuionoe CCM na majizi yake Madarakani
CHADEMA subirini hadi 2215
 
Mkuu unazungumzia siasa hapa tunazungumzia rasilimali za nchi
 
Una nukuu yoyote kwamba kardinali pengo alitangaza kutokumuunga mkono Niwemugizi?
Ukimya wa Kadinali Pengo kwenye sakata la Niwemugizi lilikuwa tosha wewe ni mtu mzima lazima uelewe
 
MamaSamia2025 leo umeongea ukweli wa moyo.. Uhalisia kabisa pengine bila kujua..
Umenikumbusha mchawi anapokata roho anavyoweweseka! [emoji23] ila wewe sio mchawi[emoji1544][emoji1550][emoji3]
Serikali ya CCM itawapangua TEC kisayansi hamtaamini. Wewe mkuu wa wachawi utashangaa Padri Kitime anafanya Press ya kusifu DP World.
 
Mkuu umesahau kuandika namba yako ya simu kwenye hii comment. Pia umesahau kusema wewe ni kijana mzalendo unayeipenda nchi yako.
 

“2025 hakuna wa kuchukua fomu ya Urais ya kumpinga Samia Suluhu Hassan labda mambo yaharibike sana”- Dr Kikwete​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…