Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hawajui hata kuangalia tu hata ile airport ya chato kama hakuna ndege inayodondoka ila ndege za kichawi. kama kijiji cha mobutu tu. they never learn.Nimekuelewa sana umewaza mbali ila sikio la kufa halisikii dawa Ccm ni majeuri, vig'ang'anizi, wapumbavu wasiowaza kesho wao ni tumbo na familia zao hawataki kuwaza utajili wa Mobutu Seseseko ulikoishia mbali na kujitangazia kijiji chache ambacho sasa ivi ni hame. Acha waendelee kudharau ili TEC itusaidie kuondoa awa wezi madarakani.
Huna kumbu kumbu au umejitoa ufahamu au hujui! Kaulize aliyeweka udongo wa kwanza kwenye shimo la magufuli ni nani na ilikuaje wakati wa utawala wa Magufuli! Magufuli alifeli zaidi alipojaribu kulinyooshea kidole kanisaMbona kipindi cha Magufuli aliwaficha wote hakuna aliefurukuta
Acha umoja ufe lakini bandari zisiuzweTEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.
Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini
Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Wana Tatizo na CCM waliosaini mkataba wa kihuni!!TEC hawana ugomvi na CCM wala ACT wao wanatetea maslahi ya nchi, hawana tatizo na serikali wala mtu yoyote.
Yeye mwenyewe anaujua ukweliTEC mkuu ina Pokea maelekezo kutoka Vatican!!
Ule ni moto mkubwa
Hapana hawana ugomvi wala wametoa angalizoWana Tatizo na CCM waliosaini mkataba wa kihuni!!
Tumalizie hivyo
Hii Nchi haitakalikaAcha umoja ufe lakini bandari zisiuzwe
Hakuna umoja wa kitaifa unaweza kusimamiwa na chama kilichoko madarakani kwa wizi wa kura.TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.
Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini
Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
Nchi itageuka kuwa nzuri zaidi, maana CCM lazima itolewe madarakani.Hii Nchi haitakalika
Bora iwe hivyo kuliko koo fulani kuendelea kujinufaisha kama vile ni mali binafsiHii Nchi haitakalika
Rejea mjataba wa BombaMagufuli hakugawa bandari
Naunga mkono hojaNchi itageuka kuwa nzuri zaidi, maana CCM lazima itolewe madarakani.
Tha tha tha tha tha tha tha tha hahahahha nimekufa alafu nikafa tena nacheka kama mazuri nakumbuka kuna taasisi imejenga pembezoni mwa Kanisa, mdomo koma kaa kimya utaniponza😉😉🤣🤣🤐Kingine kinachoogopesha ni hii tabia ya wakatoliki kuwa wakimya. Mapadre na maaskofu ni wasomi ambao tangu shuleni walikuwa ni vipanga yaani hawabahatishi. Wao wakishasema lao huwa hawahagaiki sana kubishana kitu kinachotia hasira mno.[emoji419][emoji375]
The venom power of being silent!
Hivi Magufuli alitaka kuuza bandari?Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
Lakini tahadhari zangu tusikubali Wanasiasa watugawe kwa misingi ya Dini kanda kabila ect..Nchi itageuka kuwa nzuri zaidi, maana CCM lazima itolewe madarakani.
Rejea Mkataba wa BombaHivi Magufuli alitaka kuuza bandari?