Tafadhali naomba kujua ni Maombi gani hapa Mwenyezi Mungu anayependa na Kuyabariki upesi?

Tafadhali naomba kujua ni Maombi gani hapa Mwenyezi Mungu anayependa na Kuyabariki upesi?

Kitu kwanza huwezi kuwa na uhusiano na mtu usiyemjua


Kwa hiyo hatua ya kwanza ni kumjua huyo Mungu ni Nani kupitia neno Lake Biblia mjue kwanza

La pili ujue yeye anataka nini kwako ili muwe na uhusiano sio wewe unataka nini kwake ili muwe na mahusiano!! !! Anza kwake kwanza anataka nini kwako muwe na mahusiano,?


Ukishajua anataka nini kwako fanya lolote atakalokuambia.

Anza kuwa mtendaji zaidi kwa yale anayokuambia kupitia Biblia
Utaanza kufungua mlango wa mahusiano

Uwe consistent kwenye uhusiano na jikite zaidi kutenda yale yake ataakayo utende utashangaa mengi tu mazuri unayapata Hata bila kuomba. Anasema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa
Mahusiano na Mungu Yana uwezo mkubwa wa kuleta Baraka nyingi kwenye maisha ya mtu kuliko maombi yeyote ya namna zozote na staili zozote za dini yeyote au kanisa lolote
The best response from a true believer.
 
Huyo namba 2 ondoa najua hata wewe unajua hayuko sahihi hauhitaji kuwa mtabe wa Theolojia kulijua hilo.

Mungu hajibu maombi yetu kwa sababu ya wema tuliotenda,Biblia inasema yale ambayo wanadamu tunayaona ni mema kwa standard za Mungu hata hayo ni uchafu bado(Isaya 64:6).Ni kwa neema tu.Kwa kusema hili namuondoa pia mtu namba 3.

Kusali ni kuongea na Mungu.Kurefusha muda wa maombi haimaanishi kuwa ndio maombi yako yatajibiwa.Mungu anajua mahitaji yako kabla hujamuomba.Lakini pia kama kufupisha sana sala inamaana hauenjoy kuongea na Mungu.Maana yake ni kwamba hauna mahusiano na Mungu.(You dont have personal relationship with God).

Mungu hajaweka limit ya muda ya kumuomba lakini kutokuwa na interest ya kusali muda mrefu ni indication kuwa you dont love him.That means you pray kwa sbabu una shida otherwise usingesali. Binafsi when i go praying i dont count the time but the more i pray the more harder it gets to stop. Words keep coming and i enjoy it. Sometimes i pray for a long time and some time i dont.It just comes naturally.

I BELIEVE condition pekee ya kuexperience answered prayers is to ACCEPT and BELIEVE IN JESUS CHRIST. Beleiving in Jesus makes us righteous in the eyes of God.It gives us privileges of becoming children of God through his Son and that gives us confidence of approaching God like a Child approaching his Father.

You want answered prayers ? ask anything according to God's will by the name of Jesus his Son.

[emoji1276] John 16:23

"“.....................Most certainly I tell you, whatever you may ask of the Father in my name, he will give it to you."
Dank u wel [emoji120]
 
Unapofanya Maombi hakikisha hauna mawaah au kasoro, kinyongo, hasira, wivu na dhambi.
Kuna maombi yanayopenya katika mbingu 1 na 2 na kufika mbingu ya 3 kwa muumba na kujibiwa. Maombi haya ndiyo huwa moshi nzuri wenye harufu nzuri hekaluna mwa Bwana. Maombi haya ni ya watakatifu na Maombi ya watu wanaofunga

Kuna maombi yanayo zuiliwa mbingu ya 2 yenye kasoro na mapepo, na haya Maombi yanayozuiliwa ndiyo uchukuliwa na mapepo kwenda kuyachunguza yanatoka kwa nani?
Maombi haya shetan huchukua huenda kushitaki kwenye kiti cha hukumu kwa Bwana
Mtu huyu astahili kupewa anachoomba nakutoa sababu mfano wakati ana omba ametoka kugombana na mkeo au mwezake ameshindwa kuomba msamaha, wakati anaomba ana hirizi yangu

Kiti cha hukumu kipo katikati upande 1 kuna malaika wema upande Mwingine malaika wabaya mashetani mapepo.
Mapepo wanapeleka mashataka na ushahidi hafai kupewa maombi yake. Malaika wema wanatetea Bwana mtu huyu anastahili kupewa anachoomba kwa sababu ulikufa kwa ajili yake na pia anayo imani ya kuliita jina lako hakwenda kwa waganga wa kienyeji na washirikina.

Kiti cha hukumu kinafanya maamuzi upewe au usipewe.
Kuna muda na wakati wakapata ulichoomba
Ukipewe tu Shetan na mapepo wanalalamika unaona alivyompendelea yule Binadamu. kikosa cha mapepo huandaliwa kuzuia ulichopewa. Pale ndipo Mtu huanza kukata tamaa Maombi yangu hayajibiwa na kuliacha jina la Bwana .
Tukisema tuombe tukiwa hatuna dhambi hapa tutajidanganya wenyewe kwa sababu Biblia inasema wote ni wadhambi.Hakuna anayeweza kusimama mbele za Mungu na kusema yeye hana dhambi.

Kitu tunachoweza kujivunia ni kuwa Yesu ametufanya tuhesabiwe kuwa ni wenye haki mbele za Mungu kupitia damu yake iliyomwagika msalabani.Kumwamini Kristo kunatupa uhalali wa kusogea karibu na Mungu tukiwa na ukaribu wa baba na mwana.Na hii ni hakika kuwa maombi yetu yanafika.

Tusiwatishe watu na mambo ya uwe hauna dhambi.Hakuna atakayesimama kuomba kama hicho kikiwa ndo kigezo cha maombi kumfikia Mungu.

1 Yoh 1:8 SUV
Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu.
 
Hakuna

issue sio imani kuwa unayo au huna na wala issue sio Sala ndefu au fupi wala issue sio unasali kwa kelele au kimya kimya au kwa pozi ya wima au magoti au umechuchumaa au uko kifudifudi

Issue ni uhusiano wako na Mungu ukoje. ukiwa mzuri anasema ombeni lolote nitawapa
Issue kubwa mahusiano. IMANI HATA SHETANI ANAYO

msisitizo mKubwa uwe kuwa na uhusiano mzuri na Mungu sio hizo porojo zingine za nje za taratibu za kidini za maonyesho mbele za watu za kuonyeshana Nani Ana pozi zuri la kuomba Mungu kuliko mwingine
Mahusiano na Mungu unayapata wapi au vipi
 
Je,

1. Yule anayesali kwa muda mfupi tu lakini akimaanisha huku akifupisha ( summarize ) matakwa yake kwa Mungu?

2. Yule anayesali Siku nzima na kwa Makelele mengi na akirudia rudia matakwa yake kwa Mungu?

3. Yule anayesali pale akijisikia tu ila Matendo yake kwa Wanadamu ni mema siku zote.

Yule anayesali akipeleka maitaji yake Ila katika mahitaji yake lengo kuu sio yeye, Bali mapenzi Na matakwa ya Mungu!

In short hizo bulletin Ni ujinga
 
Mungu hana Masharti.siku Nyingine Mwambie Tu Mungu Nimekuja Kukusikiliza Wewe Unasemaje. Maana Maisha Yangu Unayajua Sina Haja Ya Kukuomba Nipe Ninachostahili hata Kwa Ziada yake
hayo majibu yatakuwa audio au kuptia njozi au inakuwaje..

hapohapo kumbuka kuna verse ndani ya biblia inaonya kwamba maombi ya mwenye dhambi ni kelele/ machukizo mbele ya MUNGU
 
Matabibu wanaodili na maradhi ya akili ya binadamu walishaainisha dalili za kuchanganyikiwa ni pamoja kusikia sauti zisizoeleweka kama hizo inner voice.ni utata mtupu.
 
Matabibu wanaodili na maradhi ya akili ya binadamu walishaainisha dalili za kuchanganyikiwa ni pamoja kusikia sauti zisizoeleweka kama hizo inner voice.ni utata mtupu.
Mkuu mimi nilikua nasikia sauti zinazungumza mambo yanayoeleweka na nilikua nafahamu kila kitu lakin ni kama zilikua zimenizidi nguvu nilikosa maamuzi nilikua nafuata chochote ninachoambiwa niliekwa kama zezeta na kuna siku kama niliamrishwa nivunje sahani kwasababu siwezi kujizuia nikavunja ikawa ndio sababu ya kupelekwa mental. Nilipofika mental wakaniuliza unasikia sauti nikakataa na ilikua nazisikia na nimegundua pia walioko mental wengi sio wendawazimu ni watu waliokua hawana familia bora na wala unga.

Nilichomwa shindano sauti ikaniambia nisile dawa kweli nikakataa dawa zao mpaka nilitoka lakin saiv sauti zimekata kama mwezi.
 
Mathayo 6:7

"Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi"
 
Mkuu mimi sauti ya ndani iliniambia shika sala,subiri na uache uchafu ninasali sana nimekaa miaka mitatu sijagusana na mwanamke nikasali siku 40 usiku saa8 lakin bado shetani yupo na ananipa ndoto za kufanya mapenzi na kuzuia rizq zangu zote.

Niulize tu sauti hii ilikua na uhusiano na Mungu? kwanini shetani amepewa mamlaka ya kunimiliki na kunieka kitako mpaka muda atakaopanga kuniruhusu nifanye maisha yangu. Kwasababu nateseka na maneno aliyoniambia mke wangu kipindi tunaachana kuwa atanitesa kama nilivomtesa mm miaka 16. Aliniambia nitakaa tu kula na kulala aliniambia nitakua sipati pesa kama nilipomuoa tu nilikua sina kitu na nitaokota makopo kweli nilifikishwa mental

Je kauli hi mke wangu alipewa na mungu au shetani manake sikumbuki kumtesa.
Maswali mawili kwako

1.Je mkeo uliyeachana naye mlifunga ndoa ya Kikristo kanisani?

2.Je ni kweli ulimtesa?

3.Mambo gani yaliyosababisha muachane

Uwe muwazi kujibu ili ushauriwe vizuri
 
hayo majibu yatakuwa audio au kuptia njozi au inakuwaje..

hapohapo kumbuka kuna verse ndani ya biblia inaonya kwamba maombi ya mwenye dhambi ni kelele/ machukizo mbele ya MUNGU
Ni kweli maombi ya mwenye dhambi ni chukizo biblia haijadanganya. Sasa inabidi utambue ni namna gani utaonekana na asiye na dhambi mbele za Mungu ili maombi yako yasiwe ni chukizo.

Hapo ndipo Yesu Kristo anapokuja kwenye picha sasa.Binadamu ni mdhambi na kamwe hawezi kusimama mbele za Mungu na kuclaim yeye hana dhambi.Kwa mantiki hii maombi ya binadamu wote ni chukizo.

Yesu alipokufa msalabani amelipa gharama ya dhambi za mwanadamu za kale,za sasa na za baadaye.Maana yake ni kwamba kwa ambaye ATAMPOKEA Yesu Kristo kama bwana na mwokozi wake basi atahesabiwa kuwa mwenye haki mbele za Mungu kwa sababu deni lake la mauti limeshalipwa.Hata akianguka dhambini katika maisha yake ya kila siku hatatoka katika nafasi yake hiyo ya kuhesabiwa haki kwa sbabu amelipiwa mpaka deni la makosa yake ambayo bado hajayafanya.
(Najua inasound kama haiko sawa hv ila ndo iko hivyo,thats christian faith).

Kwa mantiki hii sasa A TRUE Christian Believer is always RIGHTEOUS in the EYES of GOD and his/her prayers are always heard.
 
Maswali mawili kwako

1.Je mkeo uliyeachana naye mlifunga ndoa ya Kikristo kanisani?

2.Je ni kweli ulimtesa?

3.Mambo gani yaliyosababisha muachane

Uwe muwazi kujibu ili ushauriwe vizur

Maswali mawili kwako

1.Je mkeo uliyeachana naye mlifunga ndoa ya Kikristo kanisani?

2.Je ni kweli ulimtesa?

3.Mambo gani yaliyosababisha muachane

Uwe muwazi kujibu ili ushauriwe vizuri
Mkuu ndoa ya kiislamu na mke alikataa tu mwenyewe na sikumbuki kabisa kumtesa.

Alipogeuka nilizishangaa sana izo kauli
 
Ni kweli maombi ya mwenye dhambi ni chukizo biblia haijadanganya. Sasa inabidi utambue ni namna gani utaonekana na asiye na dhambi mbele za Mungu ili maombi yako yasiwe ni chukizo.

Hapo ndipo Yesu Kristo anapokuja kwenye picha sasa.Binadamu ni mdhambi na kamwe hawezi kusimama mbele za Mungu na kuclaim yeye hana dhambi.Kwa mantiki hii maombi ya binadamu wote ni chukizo.

Yesu alipokufa msalabani amelipa gharama ya dhambi za mwanadamu za kale,za sasa na za baadaye.Maana yake ni kwamba kwa ambaye ATAMPOKEA Yesu Kristo kama bwana na mwokozi wake basi atahesabiwa kuwa mwenye haki mbele za Mungu kwa sababu deni lake la mauti limeshalipwa.Hata akianguka dhambini katika maisha yake ya kila siku hatatoka katika nafasi yake hiyo ya kuhesabiwa haki kwa sbabu amelipiwa mpaka deni la makosa yake ambayo bado hajayafanya.
(Najua inasound kama haiko sawa hv ila ndo iko hivyo,thats christian faith).

Kwa mantiki hii sasa A TRUE Christian Believer is always RIGHTEOUS in the EYES of GOD and his/her prayers are always heard.
Yesu unampokea vip kua mwokozi wa maisha yako? Kwa kubatizwa au kuokoka?
 
Yesu unampokea vip kua mwokozi wa maisha yako? Kwa kubatizwa au kuokoka?
Kuokoka ni matokeo.Being Saved is a result of
Repenting (changing of ways of believing and now believe in Jesus Christ),
Confessing your sins (admitting that you are a sinner) and asking God to cleanse your sins by the BLOOD OF JESUS CHRIST his SON through prayer.
Baptism the final act as an outward expression of being a member of the church of Christ.

Do these and you will be SAVED and you will have a personal relationship with GOD.
 
Unapofanya Maombi hakikisha hauna mawaah au kasoro, kinyongo, hasira, wivu na dhambi.
Kuna maombi yanayopenya katika mbingu 1 na 2 na kufika mbingu ya 3 kwa muumba na kujibiwa. Maombi haya ndiyo huwa moshi nzuri wenye harufu nzuri hekaluna mwa Bwana. Maombi haya ni ya watakatifu na Maombi ya watu wanaofunga

Kuna maombi yanayo zuiliwa mbingu ya 2 yenye kasoro na mapepo, na haya Maombi yanayozuiliwa ndiyo uchukuliwa na mapepo kwenda kuyachunguza yanatoka kwa nani?
Maombi haya shetan huchukua huenda kushitaki kwenye kiti cha hukumu kwa Bwana
Mtu huyu astahili kupewa anachoomba nakutoa sababu mfano wakati ana omba ametoka kugombana na mkeo au mwezake ameshindwa kuomba msamaha, wakati anaomba ana hirizi yangu

Kiti cha hukumu kipo katikati upande 1 kuna malaika wema upande Mwingine malaika wabaya mashetani mapepo.
Mapepo wanapeleka mashataka na ushahidi hafai kupewa maombi yake. Malaika wema wanatetea Bwana mtu huyu anastahili kupewa anachoomba kwa sababu ulikufa kwa ajili yake na pia anayo imani ya kuliita jina lako hakwenda kwa waganga wa kienyeji na washirikina.

Kiti cha hukumu kinafanya maamuzi upewe au usipewe.
Kuna muda na wakati wakapata ulichoomba
Ukipewe tu Shetan na mapepo wanalalamika unaona alivyompendelea yule Binadamu. kikosa cha mapepo huandaliwa kuzuia ulichopewa. Pale ndipo Mtu huanza kukata tamaa Maombi yangu hayajibiwa na kuliacha jina la Bwana .
we mwamba ni muongo kinoma, haya yote ni kusadikika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingia kwenye maombi ili Mungu akujibu
Je,

1. Yule anayesali kwa muda mfupi tu lakini akimaanisha huku akifupisha ( summarize ) matakwa yake kwa Mungu?

2. Yule anayesali Siku nzima na kwa Makelele mengi na akirudia rudia matakwa yake kwa Mungu?

3. Yule anayesali pale akijisikia tu ila Matendo yake kwa Wanadamu ni mema siku zote.
 
Back
Top Bottom