- Thread starter
- #81
Safi, we umeongea kama mtu mwenye akili huru.Wizara hiyo ina changamoto nyingi sana. Mtu pekee aliyekuwa na uelekeo wa kuimudu ni Prof. Muhongo. Bahati mbsya awamu ya 5 ilikuwa haiwataki watu wenye independent brain.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi, we umeongea kama mtu mwenye akili huru.Wizara hiyo ina changamoto nyingi sana. Mtu pekee aliyekuwa na uelekeo wa kuimudu ni Prof. Muhongo. Bahati mbsya awamu ya 5 ilikuwa haiwataki watu wenye independent brain.
Huyu jamaa lawama zote nilikuwa siamini ila juzi alichokiongea Mwanza na wafanyakazi wa TANESCO ndio niliamini hakuna kitu paleMtatumia kila njia kumsafisha
ila ubovu wa makamba hasa suala la kukatika katika ovyo na mgao wa umeme hauhitaji elimu ya chuo kikuu kugundua kua jamaa Ni mbabaishaji au anatuhujumu kwa maksudi kabisa.
We kuna kipi unakijua maamuma mkubwa!
Nimeshawataarifu wadau kuwa we ni SHOGA hivyo nimemaliza mjadala nawe......anayekuhitaji atakupm myajenge!Mumeo
Sijaamka badoAiseee!
Habari ya asubuhi kiongozi.
Shida yangu mimi, kama ungeamua kunielewa, ni kuelezwa, kwa usahihi na ushahidi, huo wizi na ubaya wake mwingine ili tuzungumze lugha moja nanyi mnamshambulia. Kusema tu mwizi, amefeli f4 n.k bila kutushahidisha inafanya wengine tushangae imekuaje kwani?!!!Anyways ngoja nikuache, maana badala ya kutumia akili unaanza kutumia hisia.
Mi siyo makamba sheikh na hata hanijui na wala hana sababu ya kunijua. Umenielewa mh. Mpina?Habari za asubuhi Bwana Makamba!
Kwahiyo ndo umepiga bonge la mkwara hapa mwenyewe?!!!!!!🤣🤣🤣Taahi.ra wewe, mwambie JM tunafahamu kuwa yeye ni sehemu ya akina "Kigogo" na watalipa.
Shida yangu mimi, kama ungeamua kunielewa, ni kuelezwa, kwa usahihi na ushahidi, huo wizi na ubaya wake mwingine ili tuzungumze lugha moja nanyi mnamshambulia. Kusema tu mwizi, amefeli f4 n.k bila kutushahidisha inafanya wengine tushangae imekuaje kwani?!!!
Dingi akoNimeshawataarifu wadau kuwa we ni SHOGA hivyo nimemaliza mjadala nawe......anayekuhitaji atakupm myajenge!
Aliongeaje kiongozi? Hiyo ya kutaja neno 'upuuzi' au?Huyu jamaa lawama zote nilikuwa siamini ila juzi alichokiongea Mwanza na wafanyakazi wa TANESCO ndio niliamini hakuna kitu pale
Tumwache afanye kaziAliongeaje kiongozi? Hiyo ya kutaja neno 'upuuzi' au?
Ni kwa vile ni vigumu kumridhisha kila mtu, kuna wenzako humu wamesifia sana utendaji wake alipokuwa wizara ya mazingira na muungano!Katika viongozi makini na wawajibikaji na Makamba huwa unamhesabu.
Huyu angepewa wizara ya michezo basi ila wizara ya Nishati chenga tupu.
Kwanza hakuna wizara ambayo makamba amewahi kupewa nikaona utendaji kazi,ubunifu kama Tunavyoona akina LUKUVI alipoingia katika wizara ya Makazi.
Kwa kuwa wote tunatafuta mkono uingie kinywani aendelee tu hakuna namna.
Post clips za Nini kinaendelea HUKO!!Hivi ukariri huu mnaoufanya wa kuhujumiwa JNNP mkaririshaji wenu nani?!!!!! Maana naona hamna hoja sasa isipokutema huo ushuzi. Walinda legacy mmekaririshana huo upuuzi na bila aibu mnautema popote pale hadi watoto wadogo wanakushangaeni wakati mwingine.
Nina uhakika hujui chochote kinachoendelea huko zaidi ya kukaririshwa tu......
Kama ni hivyo, basi sasa ngoja tushauri awe anakwenda na makamera na makelele meeengi pale mradini kila siku ili ajiondokee na shutuma hizi!Mimi sijamtaja kwamba ni mwizi, maana hapo nitakuwa natumia hisia. Lkn uongo wake kuhusu mradi wa JNHEP mimi sitamsamehe kamwe. Hawezi kuhujunu legacy ya taifa akaangaliwa tu.
Mradi mkubwa kama ule ndg makadirio ya kukamilika kwake huwa kunaendana na 'if all factors will remain constant'. Sasa tuulizane kiongozi; je, tangu ilipotoka ahadi hiyo, kila jambo lipo vile vile?!!!Post clips za Nini kinaendelea HUKO!!
Mara ya Mwisho clip ilionyesha Jk na Mwinyi wameenda ki ziara kule!!!
Nakukumbusha kuwa mradi ule ulipaswa kukamilishwa mwaka huu na kazi ianze!!Mbona KIMYA!!?
Mara kumebomoka!!mara crane!!maneno ni Mengi Sana!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!!