Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ni elimu tu ndugu yanguWewe mshana jr una akili na uelewa wa mambo mpaka huwa naogopa kuchangia maada zako ,kuna wakati huwa naona kama maada zako za kichawi lakini mda mwingine huwa naona hapana ni uelewa tu wa mambo ulionao Big up mkuu.
Mimi nilifanya kama miezi miezi miwili nikaachana nayo, sasa najuta sana kwa nini niliiachaNilikuwa naifanya zamani around 1995 mpaka 1998 ila baadae nikaona inakuwa kama uchawi flani maana nilikuwa tofauti sana
Tuambie ulichokiona tafadhali
Duu ila unaweza kwenda photo editor ukaficha suraNatamani kuiweka hapa, sema tupo wengi wengine nipo nao humu wanaweza wasipende..kuna wanne upande wa kulia wa headmistress wote wanafanya kazi kampuni moja ya simu mikoa tofauti. Wawili waliochuchumaa na hatunao, japo sina uhakika kama walifuatana ila nachojua hawapo.
Mimi na wengine watatu tumekunja mikono ya mashati tupo tunafanya kazi ya aina moja. Wengine sijui walipo ila kwa hao wachache..nikilinganisha na mada, sio coincidence.
Duu ila unaweza kwenda photo editor ukaficha sura
Hapana kabisa usiiharibu kabisa...unaweza kunitumia whatsapp kama utaniamini niirekebishe kisha nikurudishie...privacy guaranteed