Tafuta hela uheshimishe familia yako

Ukiwa na hela hata nguvu ya kuandika hasira zote hizo hutakua nazo. Cha msingi heshimisha familia yako kwa kuwa na mkwanja hayo mengine ni kelele tu zisizo na msingi.

Tajiri namba moja wa muda wote Suleiman alikuwa anaandika sasa wewe kapuku ambaye umebahatika Kupata hicho kimshahara ambacho hakifiki 1M na kinategemewa na ukoo mzima, alafu unasema ATI Watu wasiandike.

Unafikiri kila MTU ni mjinga asiyependa kuandika na kusoma kama wewe?
 
Utafutaji wa pesa uko overated ndo maana siku hizi binadamu tunakufa mapema.
 
Mods ingefaa mrejeshe kishwa cha uzi kama kilivyokuwa.
Niliyeandika ninajua nilitaka wasomaji wapate ujumbe upi.

Hicho kichwa kimepotosha maana nzimavya nilichoandika
 
Sijakataza ww kuandika ila nimekwambia ukiwa na hela utapunguza hayo makasiriko ulioandika. Nakuona mfalme njozi ushaota nimeajiriwa 😂😂😂😂 dogo simtumikii mtu yoyote hapa duniani kiufupi sina boss na hakuna wa kunilipa 😂😂😂
 
Hizo kazi nafikiri watu hawafanyi kama hawana masilahi nazo,maana matukio kama misiba yanawapata watu wote,Sasa wewe ukiwa unachanga Hela TU halafu kwenye nguvu kazi hutaki kuwajibika,likitokea kwako watu watakuchangia Hela na nguvu kazi hawatahusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ndio ukae kama sanamu,msiba ni kusaidia shughuli.
Hata ukiwa na hela usipo ungana na wenzio katika kusaidia kazi hakuna umaana wa kwenda kwenye huo msiba

Huwezi elewa nazungumzia nini.
Ukisoma soma Kwa ufahamu na sio Kutumia Viungo visivyo Sahihi.
 
Sikupingi ila ukiwa na misimamo bila kipato unaonekana zezeta.
 

Na wengi inawatokea hivyo. Wanawapa shida Watoto au Ndugu ambao wanaishia kuomba Msamaha
 
Ungekuwa na hela usingepata muda wa kuandika maupumbavu marefu namna hii. Hamna mwenye hela wa namna hii. Tafuta hela uache pumba na kelele
 
Kiufupi kama huna mkwanja familia yako itadharaulika hatakama unamisimamo. Vitoto vyako vitaonekana vichafu vichafu lazima vitatumwa mkeo kaja kavaa masampula lazima akachoteshwe maji na ikiwezekana atachimbishwa hadi kaburi. Mleta mada maeneo kama msibani ukishaona watu fulani wanajitenga ondoka hapo kajitafutie chimbo ujifiche ww na vitoto vyako usivyotaka vitumwe. Mwenye hela akiona wife wake anatumwa sana utaskia hebu chukua funguo nenda na watoto njini kawatafutie masweta ya kuvaa akiondoka unamtext hebu kale alafu watembeze watoto kazi zikiisha ntakustua. Inarahisisha mtu kutochoka na kulimbikiziwa makazi kibao. Ila fanya hivyo ukiwa na mkwanja kama ww ni hohe hahe toa mchango wa nguvu zako na utoe kweli
 
Sasa utakuwaje na msimamo hila kipato.
Hapa tunazungumzia kipato bila kujali kuwa ni kidogo au kikubwa
Epuka kipato kidogo mkuu yaani ukishazidiwa mkwanja kwenye familia lazima utatumwa tu hata wanao wataonekana vinyamkera fulani
 
Epuka kipato kidogo mkuu yaani ukishazidiwa mkwanja kwenye familia lazima utatumwa tu hata wanao wataonekana vinyamkera fulani

Pesa ni matokeo Mkuu.
Unaweza fanya kazi na ukawa na kipato kidogo au cha Kati.
Epuka kufanya kazi ikiwa lengo ni Kupata mapesa mengi. Pesa haijai.

Watoto wanaoonekana vinyamkera ni as wale wazazi ombaomba, wanaojipendekeza Kwa Ndugu wenye Pesa.

Ukishakuwa ombaomba na MTU wa kujipendekeza lazima uwe kinyamkera
 
Ungekuwa na hela usingepata muda wa kuandika maupumbavu marefu namna hii. Hamna mwenye hela wa namna hii. Tafuta hela uache pumba na kelele

Wewe sio kama NI fukara tuu Bali hata Akili hauna.
Ninaweza kukutajia mabilionea ambao wameandika vitu vingi na bado wanapesa.
Alafu kuna ninyi makapuku mnaojifanya mko busy alafu Maisha yenu ya taabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…