DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Issue hapa sio gorofa kujengwa mtaani ila aliyejenga ni afisa tra alafu, ni hivi tu watu wanalalamika kuhusu rushwa iliyo kithiri kutoka kwa baadhi ya maofisa Wa tra wakitumia mwanya Wa sheria mbaya za kodi kujinemeesha Wao binafsi na kuharibu mitaji na future za watu.
 
Halafu ukute jamaa alienzisha huu uzi anakunywa na mshkaji kila weekend, akiwa na shida anaenda kwa jamaa kuomba msaada na kumsifia kila kukicha wakiwa wote. Na hata wakienda site anampamba kuwa kajenga mziga wa mjengo mtaani watamkoma. Kumbe moyoni anaungua.

Binadamu ni wanafiki sana.
 
Akija na michoro mizuri ya msingi kuna namna ya ku prove kilichomo chini ya ardhi na kilijengwa vipi ? Size ya nondo na ratio ya zege la mikanda miwili ya chini unawezaje kuithibitisha kama hukuwepo siku wanamwaga zege ? Au jiwe la jamvi, unajuaje ametandika ubuyu au jiwe kichwa wakati yote yashafukiwa chini ya jamvi?
 
Huyo bwanamdogo mshahara wake ni kiasi gani, tanzie hapo.
 
Inawezekana pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…