DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wivu tu unakusumbua.
Ukiona ghorofa imesimama hadi hapo jua ana kibali tayari vinginevyo ungeshakuta Alama nyekundu.
Ghorofa la pesa za wizi hizo,kimuonekano jamaa hana hata miaka 5 kazini pesa ya nyumba kama hiyo kaitoa wapi pumbavu,jamaa kaleta uzi ili tujiongeze tu
 
Sasa mnadhani ndo litakuwa lenu?
Kikubwa sio letu kikubwa mamlaka zianze kudili nae,hujui tu hao jamaa wa tra,latra na wale jiji wanaosimamia parking wanavyotia watu umaskini halafu ni majank tu ila si waeledi kwenye kazi zao
 
Huyu katoa wapi hizi pesa za kujengea gorofa? Ashughulikiwe haraka sana
 
Hakuna Cha unafiki,mbona mnalalamikia Ufisadi then fisadi unamtetea tena ,Huwa mnalalamikia nini Sasa?
 
Wapo wafanyakazi wengi tu wa kukopeshwa milioni 100. Ila ni wale wenye mishahara mikubwa.

Sizani kama Afisa wa TRA ana mashahara wa kumfanya akopesheke milioni 100.

Sizani kama mshahara wa afisa wa tra unazidi milioni 3.
Vimishahara vya mil.2 hata mil.50 hupati ndio uje kujenga gorofa?
 
Mtoa mada kinachokusumbua ni wivu, umaskini na njaa, hata kama umepishana kauli na mtu aina haja ya kuanika taarifa zake binafsi mitandaoni, na inaonekana you know him very well yaani ulichokifanya hapa ni whistleblowing. investigation itaanza kufanyik as soon as TAKUKURU wakipata hii taarifa
Lesson taken: Don't trust anyone
 
Kama lina kibali, shida ipo wapi? Si itajulikana tu? Kikubwa hapo aeleze alipotoa hizo pesa, kama ni mshahara itafahamika, tunechoka kubambikiwa kidi za bikioni 30 ili tukae meza ya mazungumzo
Labda kuhusu hizo pesa alizitolea wapi za kujengea ila sio kuhusu kibali mm nimejenga fensi sehemu yenye mchanga mwingi ikaja masika kuta limelala sijakaa vizuri likaanza kutoka ufa nikamalizia mwenyewe sembuse gorofa la floor nne lingekuwa lishashuka kitambo.
 
Hiii inaitwa Tit for Tat [emoji23][emoji3] kaumizwa nayy kaja kuumumizia humu nashangaa huu uzi uko hai mpaka mda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…