Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Afadhali umewapa woning kipindi hiki cha uchaguzi
 
Na Kagame wa Machame yeye ana alama gani????
 
Hiyo muku mbona Bashite haimgusi , maama Lissu kila akizungumzia tukio lake analia kuhusu Bashite.
 
Hiyo muku mbona Bashite haimgusi , maama Lissu kila akizungumzia tukio lake analia kuhusu Bashite.
Na Bashite ana MUKU; Mnyaturu na Msukuma wamegongana!!
 
Lissu hawezi kushinda hata kura zipigwe live uwanja wa Taifa.

Mbona Iko wazi?

Inawezekanaje mtu mwenye maoni kuwa ushoga sio tatizo awe kiongozi wa Taifa? Na ni kama hamwamini Mungu.

Sikiliza Robert, unachanganya vitu vingi Muku, Kinga, Tego, nknk.

Muku haihusiki na unachoongelea.

Na kama ingekuwa ni MUKU kweli basi hakuna Risasi hata Moja ingemuingia.

Kila unachoona kikitokea kama mtu ni mganga kweli anaweza tegua.

Kitu pekee huwezi kuzuia ama kutegua ni kile kimetoka Direct Kwa MUNGU MUUMBAJI.
 
Wewe mbona ni shoga kitambo tu watu wanakuhifadhi tu
 
Mmmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…