God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Pole mkuu ,kawafanya nini waswahili mpaka watake kumtoa roho au ndo mambo ya urithi ?
Daah Pole Sanaa Kaka , Hakikisha Unaanza Maombi. Naiona VITA Kwenye Familia Yenu.Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa
Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .
Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.
Mimi ni last born wa mzee .
Yaani wakuu black people this race is cursed
Asante I'm spiritual being.Daah Pole Sanaa Kaka , Hakikisha Unaanza Maombi. Naiona VITA Kwenye Familia Yenu.
Mimi hata nikiwa nje ya nchi sipendi mazoea na watu weusi tupo kama wachawi,mateso ya wenzetu ndio furaha zetuWakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa
Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .
Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.
Mimi ni last born wa mzee .
Yaani wakuu black people this race is cursed
Take care mkuu ,Bora vita za nchi kwa nchi kuliko vita ya familia so far ushapick side jiandae na makombora ya kimwili na kiroho kutoka kwa oppositionRoho mbaya tu poor mentality
Mimi namjua my father is vet humble
Mali zipo Ila sio kuuana ni zakawaida
Hakika watu weusi ni watu wa hovyo Sana .Mimi hata nikiwa nje ya nchi sipendi mazoea na watu weusi tupo kama wachawi,mateso ya wenzetu ndio furaha zetu
Hata partnership kwenye biashara nakushauri usifanye na mtu mweusi utakuja kujuta
Sababu za wao kutaka kumuua huyo baba yako hasa ni Nini?Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa
Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .
Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.
Mimi ni last born wa mzee .
Yaani wakuu black people this race is cursed
Umeionaje vita mkuu?😂😂😂Daah Pole Sanaa Kaka , Hakikisha Unaanza Maombi. Naiona VITA Kwenye Familia Yenu.
Hujapeleleza kwanini wanataka kumuua? Mbona kama unakurupuka katika uwasilishaji?Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa
Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .
Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.
Mimi ni last born wa mzee .
Yaani wakuu black people this race is cursed
Anayemfanyia hivyo umezungumza naye? Anasemaje?Wananyima chakula
Hawataki alale ndani wanataka akalale guest house just imagine MTU Ana age 60s unamwambia alale guest ikiwa Ana nyumba yake
Anatukanwa Kama mtoto
Watu weusi hawafai don't trust and don't be closed with Swahili families
Pole sana na umefanya uamuzi sahihi.
Kisa hasa ni kipi