Taharuki , kuna mpango wa kumuua baba yangu unasukwa.

Taharuki , kuna mpango wa kumuua baba yangu unasukwa.

Mimi mzee alinichukua kutoka nyumbani nikawa nakaa nae so nimesoma nimemaliza nikaanza Kazi na biashara na yeye akastaafu then akawa anaishi kwangu


In short mzee wetu ni MTU ambaye hajawahi kuwa na tatizo na MTU iwe kazini kwake au ktk familia.

Chanzo cha mgogoro hawataki hakae nyumbani


Nyumbani kuna nyumba mbili ndani ya uzio moja anakaa mama na nyingine mzee

Anapokaa mama anakaa na wajukuu watoto wa kaka angu Ila kinachotokea ni kutaka kumuua mzee

Je wanatumia njia gani kumuua ?

Kumnyima chakula

Kumgombeza Kama mtoto

Kumwambia maeneno ya ajabu

Kumpa vitisho

MTU mwenye age ya 68 yrs

Ukimpa vitisho lazima atapata depression

Ukimnyima chakula lazima atapata stomach ulcers na kuua Afya yake ya mwili

Kelele kila siku zitapunguza life span yake.

Ni hayo tu.
Kuna mengi huyajui juu ya failia yenu..
Mzee wako nae kakuficha miaka yote hii..

Ushakuwa Sasa , tafuta Majibu.
 
Wananyima chakula
Hawataki alale ndani wanataka akalale guest house just imagine MTU Ana age 60s unamwambia alale guest ikiwa Ana nyumba yake

Anatukanwa Kama mtoto

Watu weusi hawafai don't trust and don't be closed with Swahili families
Bora wewe umeshtukia. Inakuwaga mbaya sana watoto wote mnaingizwa kwenye mfumo wa kumchukia mzee bila sababu. Wakati ujana wake wote kapoteza kuwashughurikia familia mwanzo mwisho

Hata wewe nakushauri ktk huo ujana wako jitahidi kujenga nyumba nyingine aijue ndugu unaemwamini tu. Hiyo ni back up kwenye uzee wako utakuwa unakula pesa ya kodi hapo
 
Bora wewe umeshtukia. Inakuwaga mbaya sana watoto wote mnaingizwa kwenye mfumo wa kumchukia mzee bila sababu. Wakati ujana wake wote kapoteza kuwashughurikia familia mwanzo mwisho

Hata wewe nakushauri ktk huo ujana wako jitahidi kujenga nyumba nyingine aijue ndugu unaemwamini tu. Hiyo ni back up kwenye uzee wako utakuwa unakula pesa ya kodi hapo
Usiposhtuka mapema utakuta mmna mchukia baba mpaka kaburini
 
Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa


Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.


Mimi ni last born wa mzee .

Yaani wakuu black people this race is cursed
Unapigana kimwili ndio shida inaanzia hapo, linapokuja vita ya kifamilia baina ya ndugu , wanaweza hata kukuloga ufe

Mchukue mzee, the zama kwenye imani sana, maana hawatoishia hapo, they will come for you too
 
Mama ndo anatengeneza hii

Nilikuwa namuanini sana Ila nimejua yeye anatumika kuua famila

She is hating my father

Unfortunately Mimi ndugu zangu ni hawajitambui hata kidogo.
Kwani baba asimtimue mama yenu?
 
Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa


Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.


Mimi ni last born wa mzee .

Yaani wakuu black people this race is cursed
Kwa usalama wako na babaako ungetakiwa kuuleta uzi huu baada ya babaako kufika dsm
 
Kuna mbibi niliwahi ona anamnyima chakula (mlo mmoja hapewi) mzee wa miaka 94, kisa tu ilikuwa Mzee hataki kuishi mbali na asili yake alikozaliwa sasa mkewe anataka akazurule kwa wanae huko mbali
 
Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa


Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.


Mimi ni last born wa mzee .

Yaani wakuu black people this race is cursed
Iyo ni Jinai report sehemu husika
 
Wote mnakoment lakini sijaona alie uliza hata sababu ni ipi hasa.
Mleta mada amekuja na ameandika kwa jaza, tena amehitimisha tu kwakusema amemtumia mzee wake ticket ili asiuwawe.
nafikiri alitaka kuwaonyesha watanzania kua kamkatia mzazi wake tiketi ya usafirii wa anga pia yeye ni lastborn hivyo nao wanaweza
 
Tajiriii mzee akitua tu na ndege hapo airport hakikisha unapeleka msafara wa range nyeusi km 20 hivi full tinted maana najua ndgu zako huku mjini pia wapo
 
Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa


Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.


Mimi ni last born wa mzee .

Yaani wakuu black people this race is cursed

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.🥺🥺🥺
 
Wakuu hizi familia za kiswahili hazifai kabisa


Nimemtumia mzee wangu tiketi ya ndege ili aje DSM maana I get some information kuwa wanataka kumuua .

Na wanaoratibu huu mpango ni ndugimu zangu wa damu na mama mzazi.


Mimi ni last born wa mzee .

Yaani wakuu black people this race is cursed
Kama ushahidi unao , nenda katoe taarifa kituo cha polisi.
 
Hapo utakuta mama ameshawajaza maneno,hawa,wazazi sometime ni shida.
 
Mkuu imezingua familia yako unaconclude mablack wote wako cursed?

Sisi wengine familia zetu tuko vizuri. Kaeni chini mmalize mgogoro wenu kwa amani.
 
Back
Top Bottom