Shida ilianza watoto wakikua unawalea nyumbani na wanakua watu wazima, hawana kazi wapo wapo wanakula kupitia wewe mwisho wanataka na wao warithi mapema.Wananyima chakula
Hawataki alale ndani wanataka akalale guest house just imagine MTU Ana age 60s unamwambia alale guest ikiwa Ana nyumba yake
Anatukanwa Kama mtoto
Watu weusi hawafai don't trust and don't be closed with Swahili families
Sababu ni hiyo tu au Kuna lingine la ziada ambalo hutaki kutueleza??Hawataki akae nyumbani
Maana nilikuwa nakaa na mzΓ©e sasa aliamua kwenda nyumbani kumalizia maisha Ila they want to kill him
My father is well of pia anapata sapoti mbalimbali
Mimi ndugu wamekuwa Kama wapumbavu wanamchukia mzee wangu na kumwambia akalale guest houses
Wakati nyumba IPO na kila kitu kipo
Anayemfanyia hivyo umezungumza naye? Anasemaje?
Sababu ni hiyo tu au Kuna lingine la ziada ambalo hutaki kutueleza??
Shida ilianza watoto wakikua unawalea nyumbani na wanakua watu wazima, hawana kazi wapo wapo wanakula kupitia wewe mwisho wanataka na wao warithi mapema.
Anyway. Jaribu kumtenganisha mzee na hayo mazingira alafu taratibu jiridhishe na hilo suala la wao kutaka kumuua, suala la kuua mtu siyo Jambo la kufumbia macho hilo hata kidogoMama ndo anatengeneza hii
Nilikuwa namuanini sana Ila nimejua yeye anatumika kuua famila
She is hating my father
Unfortunately Mimi ndugu zangu ni hawajitambui hata kidogo.
Hawo Ndugu zako wanacheza na akili Yako,yaani Mzee wako Aishi muda wote huwo mpaka amekuwa mtu mzima,waje wahangaike kumuuwa na uzee ili wapate nini? za kuambiwa changanya na zako.
Hao ndugu zako ni wa kike au kiume?Hawataki akae nyumbani
Maana nilikuwa nakaa na mzΓ©e sasa aliamua kwenda nyumbani kumalizia maisha Ila they want to kill him
My father is well of pia anapata sapoti mbalimbali
Mimi ndugu wamekuwa Kama wapumbavu wanamchukia mzee wangu na kumwambia akalale guest houses
Wakati nyumba IPO na kila kitu kipo
mleta mada, kama hali ipo hivyo mpaka kutushirikisha mi Afrika yote, kuna shida mahali, sasa kama Baba kahindwa wewe utaweza? hao unaowajua, usiowajua je? vita za mna hiyo, hupiganwa kimya kimya, inasikika milio tu, ila kwa hivi ulivyoonesha, utashindwa mapema sana, hongera kwa kumsaidia Mzee wako, lakini kwenye masuala ya Africa na vita za kifamilia, wewe bado mtoto sana badilisha mbinu haraka sana, unaweza tangulia wewe alafu mzee ukamuacha.
Wakiume mkuuHao ndugu zako ni wa kike au kiume?
Itakuwa mama yako amewajaza maneno na kuwachota akili, sasa mtoto ukiwa hujielewi unamsikiliza mama, jaribu kuzungumza nao.
Mwambie auze hiyo nyumba yake au akiona vipi aipige kiberiti tuone wanachogombania!Wananyima chakula
Hawataki alale ndani wanataka akalale guest house just imagine MTU Ana age 60s unamwambia alale guest ikiwa Ana nyumba yake
Anatukanwa Kama mtoto
Watu weusi hawafai don't trust and don't be closed with Swahili families
ππ½ππ½ππ½Huyo ana Bahati ya kuwa na mtoto kama wewe take care of him, huyo ni Mungu mdogo utapata baraka
Mwambie auze hiyo nyumba yake au akiona vipi aipige kiberiti tuone wanachogombania!
Mchukue mzee wako ishi nae, mambo mengine muachie Mungu, laana itawatafuna.Wakiume mkuu
We jamaa hiyo silaha ichunge isijekufanya uende ndani. Maana kila muda unaihusisha kama suluhisho. Silaha zinawalinda ila mzilinde pia.Pole sana ukifika hatua ya kulipa kisasi kwa ndugu zako Niko hapa kukukodisha mashine uwamalize kama kuku .
Ni wajinga Sana sijapenda kabisa π
Hapo wewe ndo umefail! Watauza na kula shavu na kesho yako unaijua? Sio kukimbia changamoto bali kupambana nayo! Nenda mahakamani file dukuduku zako bahati nzuri shahidi ni huyo baba! Ukikimbia wakimaliza hapo watakujia wewe! Huwajui waswahili!Mimi sitowalipa ubaya Ila namchukua my father .
Pia hata mama ntamuudumia hadi mwisho .
Mungu atasimama na Mimi.