Pole sana japo kua hisia zinaonekana kutoka upande mmoja wa malalamiko.
Lakini pia tambua kua umuonapo mzungu by nature nikwamba umejiona wewe mwenywe.
Mzungu sibora kukuzidi wewe nawala wewe sibora kumzidi mzungu binadamu wote nisawa.
Kwamakosa yako ya kibinadamu nikwamba waweza kumuhusudi mwenzio kwakipato chake japo kidogo (AFRICA)
lakini mwenzangu kule akisha shiba starehe sasa ameona kilicho sahihi nikumuingilia mwanaume mwenzake kinyume tena ninjia ilio chafu na mbaya zaidi.hakika nae huyu Afya yake ya Akili haipo sawa.
Sote kwaumoja tunajukumu kubwa la kujitambua kwamba tulikua wapi kabla yakuja hapa stand..nabaada ya hapa stand tunakwenda wapi??????