macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Acha kuzima data wewe. Wale wote waliofurahi nyakati zile na mpaka leo wanashangilia mtaani ni mawe?Hao wengi waliofurahia ni wepi? Acha kujizima data wewe, wale wote waliopaza kilio nyakati zile na mpka Leo mtaani analiliwa walikuwa mawe?
Magufuli alikuwa muuaji. Rais anayeamini kwenye kuua hafai hata kidogo. Utake ni hivyo hivyo na usitake ni hivyo hivyo.nitajie watano waliouawa na Magufui wapi na lini, ambao ulishuhudia Kwa macho Yako na ukiwa na aKili timamu kabla hujanywa pombe, hujavuta bangi na au hujalala na mwanamke huku ukiwa umekula umeshiba.
Watanzania wenzangu kifo Cha magufuli kiliniuma mnooooooo,nawachukia mno waliokuwa wanakejeli kifo kile,niliamua kupotezea lakini shangwe zinazotawala humu jf juu ya kifo Cha membe zimenitisha mnooooooo ,watanzania wenzangu kumbe mioyoni mwetu tumetunza chuki Kali namna hiiii!!!!!!!!! Naomba turudi kwenye mstari utanzania wetu unaporomoka kwa Kasi mnoooooooooooooooo,hii ni hatariiiiiiiiiiiiii nasema kwa kinywa wazi ni hatariiiiiiii
Utaanza wewe kisha atafuatia, mchawi mkubwa.Walishangilia kifo cha Magufuli wakafikiri wao hawatakufa ,na bado siku ya Mboe itakuwa balaa kwa kushangilia.
Kabisa kama lilivyotasika toka jana baada ya yuke kachero kupigwa chiniHakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika
Wewe inabid musiba akuombee utangulieMagufuli ndiye alipandikiza hii roho ya visasi na hii ni typical roho ya kihutu, si tunakumbuka wote wahutu walivyoua watutsi zaidi ya laki tisa
Hapana wewe hujui historia utakuwa mtoto wa miaka ya 2005 kuendelea. Dkt Kikwete hakuwahi kumsema Mkapa ila vyombo vya habari vilipoanza kumsema alipiga marufuku. Dkt Magufuli alielezea mapungufu na udhaifu wa uongozi uliopita kwa kuruhusu nchi yetu kuibiwa na ilikuwa kweli hivyo hakumuonea mtu kumsema kwa dharau ila alituweka watanzania wazi kuwa nchi yetu ilisimamiwa vibaya na viongozi waliopita kuanzia Mwinyi, na ndiyo maana utamsikia Mzee Mwinyi huwa anakiri kweli awamu yake nchi ilichezewa. Hivyo wewe ni mjinga na lipumbavu mnaotaka kuaminisha watu kuwa Dkt Magufuli alimdhihaki mtu. Dkt Magufuli hakuwawi kumdhihaki rais aliyepita badala yake aliwasema mifano na kutolea mifano ila mitandao na vyombo vilipomdhihaki JK alikemea na ndiyo maana watanzania waligeuka na kumsamehe JK na kumpenda sana ndiyo maana heshima yake ilipanda sana. Hata sasa JK anapendwa ila sema anasingiziwa vitu vingi vya uongo na social media na vyombi vya habari. Upungufu wa rais Samia ni kuruhusu dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli.Wewe ndo matraako kabisa. Aliyeanzisha dharau na kebehi kwa viongozi waliotangulia ni Magufuli mwenyewe. Mkapa hakuwahi kumdharau wala kumkebehi Mwinyi licha ya mapungufu aliyoyafanya Mwinyi. Kikwete halikadhalika. Ila Magufuli sasa. Yeye ndiye aliyefanya kila kitu nchi hii kuanzia barabara, viwanda, madaraja shule, hospital, umeme kaleta yeye, maji kaleta yeye, yaani kila kitu kila kitu. Kajenga hostel za mlimani na kashfa juu utadhani alikuwa hajui kama mtangulizi wake kajenga full chuo cha UDOM. In short, uliyesema hapa, muanzilishi na Magufuli sio Samia.
Mzee atafute platform aombe radhil, vinginevyo msiba wowote wa familiar yake au familiar za rafiki zake utakuwa una twezwa na kufurahiwa na ummaNilikua nasoma comments instagrt nikaona wengi wanakumbusha hiyo ya wazuri hawafi. Makamba alifanya kosa kama alifikiri watanzania wengi wanamchukia Magufuli basi akikosea Sana, siku akifa watu watamkumbusha hiyo kauli yake
Huna unachokijua kijana na kwa bahati nzuri mimi si mtoto wala si miongoni mwa wapumbavu wala wajinga kwa vipimo vyovyote utakavyotumia. Samia anaruhusu vipi kuchafuliwa kwa JPM? The fact is, JPM alijichafua mwenyewe kwa matendo yake. JPM hakuwa skilled kwa mambo mengi hivyo hakuweza kuchagua lugha ya kuongea na hadhira tofauti na viongozi wote. By the way, kiongozi wa kweli sio yule anayelaumu mtangulizi wake kama JPM alivyokuwa akifanya.Hapana wewe hujui historia utakuwa mtoto wa miaka ya 2005 kuendelea. Dkt Kikwete hakuwahi kumsema Mkapa ila vyombo vya habari vilipoanza kumsema alipiga marufuku. Dkt Magufuli alielezea mapungufu na udhaifu wa uongozi uliopita kwa kuruhusu nchi yetu kuibiwa na ilikuwa kweli hivyo hakumuonea mtu kumsema kwa dharau ila alituweka watanzania wazi kuwa nchi yetu ilisimamiwa vibaya na viongozi waliopita kuanzia Mwinyi, na ndiyo maana utamsikia Mzee Mwinyi huwa anakiri kweli awamu yake nchi ilichezewa. Hivyo wewe ni mjinga na lipumbavu mnaotaka kuaminisha watu kuwa Dkt Magufuli alimdhihaki mtu. Dkt Magufuli hakuwawi kumdhihaki rais aliyepita badala yake aliwasema mifano na kutolea mifano ila mitandao na vyombo vilipomdhihaki JK alikemea na ndiyo maana watanzania waligeuka na kumsamehe JK na kumpenda sana ndiyo maana heshima yake ilipanda sana. Hata sasa JK anapendwa ila sema anasingiziwa vitu vingi vya uongo na social media na vyombi vya habari. Upungufu wa rais Samia ni kuruhusu dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli.
Kwanz nisamehe kwa kukutukana, maana sisi machawa wa Mama tunatafuta kura za Rais Dkt Samia 2025, nisamehe kabisa. Pili hili suala la Dkt Magufuli ni mtizamo tena mtizamo wa kiimani. Na inawezekana muafaka utapatikana labda tukipigana vita na upande utakao uawa ndiyo umeshindwa falsafa zake. Maana wewe upo kundi la kutetea wezi na majangiri wa mali za umma. Sisi tupo upande wa kutetea uzalendo na ulinzi wa mali za taifa. Na suluhisho ni vita kama ilivyokuwa USA na utumwa.Huna unachokijua kijana na kwa bahati nzuri mimi si mtoto wala si miongoni mwa wapumbavu wala wajinga kwa vipimo vyovyote utakavyotumia. Samia anaruhusu vipi kuchafuliwa kwa JPM? The fact is, JPM alijichafua mwenyewe kwa matendo yake. JPM hakuwa skilled kwa mambo mengi hivyo hakuweza kuchagua lugha ya kuongea na hadhira tofauti na viongozi wote. By the way, kiongozi wa kweli sio yule anayelaumu mtangulizi wake kama JPM alivyokuwa akifanya.
Nyerere alimchafua Mwinyi wakati Mwinyi akiwa madarakani hata hivyo alitumia hekma kiasi chake tofauti na JPM alivyofanya kwa JK hukumedia zilihusika sana katika dhihaka hizo, ikiwa pamoja kuchora katuni ya Mwinyi kuvaa chupi (natumai unaikumbuka katuni hii). Check your fact, JPM alikuwa kiongozi wa hovyo na ndiye aliyerudisha Taifa la visasi na chuki ambalo lilizikwa na Azimio la Zanzibar.
Hahaha, wezi wa nchi hii huwajui mkuu. Hao wengine mnawaonea tu. Take it from me. Na siku ukipata taarifa zao au ukionyeshwa hautaaamini.Kwanz nisamehe kwa kukutukana, maana sisi machawa wa Mama tunatafuta kura za Rais Dkt Samia 2025, nisamehe kabisa. Pili hili suala la Dkt Magufuli ni mtizamo tena mtizamo wa kiimani. Na inawezekana muafaka utapatikana labda tukipigana vita na upande utakao uawa ndiyo umeshindwa falsafa zake. Maana wewe upo kundi la kutetea wezi na majangiri wa mali za umma. Sisi tupo upande wa kutetea uzalendo na ulinzi wa mali za taifa. Na suluhisho ni vita kama ilivyokuwa USA na utumwa.
Nahisi utaanza wewe mkuuAkifa kikwete nitachinja Ngamia
Nahis wewe utafataNahisi utaanza wewe mkuu
Mimi sijawahi kuua.hata sisimizi.Wewe inabid musiba akuombee utangulie