Taifa letu limekosa upinzani halisi. WanaCCM wawe wapinzani wa kweli na kumkosoa rais Samia anapokosea

Taifa letu limekosa upinzani halisi. WanaCCM wawe wapinzani wa kweli na kumkosoa rais Samia anapokosea

Umechelewa sana kujua but kwa ufupi hii nchi haina upinzani wote unaona wanapga kelele ni vibaraka wa CCM

Tatizo CCM mnailamba miguu, halafu hasira zenu kwa upinzani. Wakati Mbowe anaitisha UKUTA mlimcheka mkaungana na polisi kuwadhihaki, ila leo mnajifanya kuongea. Bakini na CCM yenu huko ya upinzani yaacheni.
 
Mi nadhani hii inasababishwa na umasikini wa pesa, kila mtu anaingia kwenye siasa ili anufaike. Ndio maana inakuwa rahisi kununuliwa.

Pia utambue nchi zetu rais ana mamlaka. Kubwa na kumshauri sio jambo jepesi.

Na Kama kunufaika , CCM ndio ananufaika zaidi.
 
Mkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.

P

Huna uhalali wa kuishauri CHADEMA tangu ufeli kisiasa kwa kupata kura moja.
 
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.

Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.

Ona wakilamba asali


View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Tatizo kubwa la hii nchi ni wananchi wala si upinzani wala ccm.
Wananchi ni wajinga, waoga na wamejidharaulisha kiasi kwamba ukiwadhulumu hawana cha kukufanya.
Na ukijitokeza kuwatetea dhidi ya dhuluma wanazotendewa hakakupi sapoti... Zaidi wataungana na mdhulumaji!

Bahati mbaya ni kwamba wanasiasa washaelewa hizo codes!
 
Mkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.

P
Mara huyu anatufaa mara hatufahi mara yegeyege.... Jamani popo ni ndege au mnyama?
 
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.

Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.

Ona wakilamba asali


View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Upinzani wa kweli aliousema Mwalimu kuwa ungetoka ndani ya CCM, ndiyo ule wa akina Dr. Slaa, akina Mbowe, akina Lowasa, akina Sumaye na akina Ngombare Mwiru. Lakini kwa bahati mbaya walipoenda kwa watu, jamii iliyojaa unafiki, woga na undumilakuwili, wengine walikata tamaa na kuamua kurejea CCM ili angalao wamalizie maisha yao kwa amani.

Kuwatetea Watanzania wajinga, wanafiki, waoga, ndumilakuwili wa nna kama ya huyu mleta mada, hawa ambao leo watashangilia udikteta, keshokutwa wanalaani udikteta, ni kazi ngumu sana.

Wale ambao wameendelea kuwa wap8nzani mpaka leo, kwa mazingira ya Tanzania, tena katikati ya jamii ya Watanzania, wanahitaji medali za dhahabu. Hakuna kazi ngumu kumtetea mtu mjinga na mnafiki.

Hivi unadhani kule Kenya, Raila angeitisha maandamano, halafu watu wasitokee, na kuwe na watu wanafiki wengi wa aina ya huyu mleta mada, unadhani Serikali ingeshusha bei za vyakula? Sana sana, Raila angekamatwa na kuwekwa ndani kama alivyofanywa Mbowe na kutengenezewa kesi ya ugaidi au uhaini. Halafu watu wajinga wa aina ya Idugunde kila siku wangekuwa mitandaoni wakisema Raila Gaidi.
 
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.

Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.

Ona wakilamba asali


View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Hapa ndio umedhihirisha upumbavu wako
20230421_132011.jpg
 
Mnafiki mkubwa, pesa aibe CCM lawama umpe upinzani. Unataka upinzani wafanyeje wakati hawapo kwenye vyombo vya maamuzi. Wapinzani wakupiganie wakati umelala na mke wako chumbani.
Tatizo ni hao wananchi waliojifungia wakifanya yao wakitarajia kina Mbowe, Mnyika, Zitto, Lipumba et al wawatetee!
Wanasiasa wanafuata akili za wananchi!
Kama wananchi hawajiangaishi na masuala muhimu obviously wanasiasa watakosa sapoti na reference points!
 
Bunge limejaa CCM , halmashauri zimejaa CCM , vijiji na mitaa yote CCM kashikilia, ila ulivyomjinga na mpumbavu baadala uwalaaumu hao CCM waliojaa kwenye vyombo vyote vya maamuzi, unawalaumu upinzani ambao hawapo kwenye mamlaka.
 
Wewe huna hoja, upinzani gani unaowalaumu? CUF? TLP? ACT? Chadema?

Km chadema Mimi siwalaumu, kazi Yao walishaifanya,
Watanzania tuache unafki, unataka chadema wafanye Nini? Wamehangaika Sana Hadi Leo wapo waliouwawa, vilema, walifirisiwa, waliopojela n.k,wewe binafsi uliwaunga mkono kwa kipi?
Mara ngapi wanatangaza maandamano?

Huu unafki ndo unaolitafuna taifa, Ni upuuzi kukaa ndani ukitegemea watu fulani wafe, wapoteze Mali zao, wapoteze ndugu zao, wawe vilema
Tena huyu mleta mada ndiyo mpuuzi kabisa, teba kwa kiwango cha ushetani. Kila siku alikuwa humu kuwaponda na kuwatukana wapinzani walipokuwa wakitetea haki za wananchi za kikatiba.
 
Upinzani wa kweli aliousema Mwalimu kuwa ungetoka ndani ya CCM, ndiyo ule wa akina Dr. Slaa, akina Mbowe, akina Lowasa, akina Sumaye na akina Ngombare Mwiru. Lakini kwa bahati mbaya walipoenda kwa watu, jamii iliyojaa unafiki, woga na undumilakuwili, wengine walikata tamaa na kuamua kurejea CCM ili angalao wamalizie maisha yao kwa amani.

Kuwatetea Watanzania wajinga, wanafiki, waoga, ndumilakuwili wa nna kama ya huyu mleta mada, hawa ambao leo watashangilia udikteta, keshokutwa wanalaani udikteta, ni kazi ngumu sana.

Wale ambao wameendelea kuwa wap8nzani mpaka leo, kwa mazingira ya Tanzania, tena katikati ya jamii ya Watanzania, wanahitaji medali za dhahabu. Hakuna kazi ngumu kumtetea mtu mjinga na mnafiki.

Hivi unadhani kule Kenya, Raila angeitisha maandamano, halafu watu wasitokee, na kuwe na watu wanafiki wengi wa aina ya huyu mleta mada, unadhani Serikali ingeshusha bei za vyakula? Sana sana, Raila angekamatwa na kuwekwa ndani kama alivyofanywa Mbowe na kutengenezewa kesi ya ugaidi au uhaini. Halafu watu wajinga wa aina ya Idugunde kila siku wangekuwa mitandaoni wakisema Raila Gaidi.
Well said!!
Nchi imebaki kama shamba la bibi.
Kwa sasa kila mtu afanye yake ili maisha yasonge!
Labda huko mbeleni akili makini zitaibuka!
 
Mi nadhani hii inasababishwa na umasikini wa pesa, kila mtu anaingia kwenye siasa ili anufaike. Ndio maana inakuwa rahisi kununuliwa.

Pia utambue nchi zetu rais ana mamlaka. Kubwa na kumshauri sio jambo jepesi.
Upinzani ni Ideliology sio mtu mmoja mmoja, Hata wewe unaweza chukua nafasi hio
 
Umechelewa sana kujua but kwa ufupi hii nchi haina upinzani wote unaona wanapga kelele ni vibaraka wa CCM
Wakisema tutoke Barabarani huwa.manatoka? Naunga mkono hoja, Mbowe Mashamba yake yaliharibiwa kule Mlitoka barabaranu kulaani? Wajinga sana nyie
 
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.

Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.

Ona wakilamba asali


View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Wakati wanashughurikiwa, Mbowe kupoteza biasbara zake, shamba lake kufyekwa kule Hai, muliwahi toka Barabarani kupinga? Wajinga sana nyie
 
Back
Top Bottom