Umechelewa sana kujua but kwa ufupi hii nchi haina upinzani wote unaona wanapga kelele ni vibaraka wa CCM
Mi nadhani hii inasababishwa na umasikini wa pesa, kila mtu anaingia kwenye siasa ili anufaike. Ndio maana inakuwa rahisi kununuliwa.
Pia utambue nchi zetu rais ana mamlaka. Kubwa na kumshauri sio jambo jepesi.
Mkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.
P
- Mwana JF huyu aliposema hivi, mimi nilimbishia Je, CCM Itatawala Milele Au? lakini maisha wa siku nilikuja kukubali matokeo kuwa ni kweli Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
- Kwa Tazania upinzani ni Chadema hivyo toka ile 2010 tumekuwa tukiwaeleza humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! lakini hawasikii.
- Uchaguzi wa 2015 tukawakumbusha tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... lakini wapi!.
- Tukauliza humu Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
- Hivyo ile 2015 alipoingia mwamba, ni mabeberu ndio walianza kutueleza The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
- Hivyo sisi waalimu huru tukaingia kazini kwa kujitolea kufundisha upinzani. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
- Tukauzungumzia Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..?
- Tukauliza Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Tukaizungumzia kai ya mwamba Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo
- Tukakizungumzia chama kikuu cha upinzani Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
- Tukayazungumzia baadhi ya mapungufu ya Chadema Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
- Tukaizungumzia ACT Wazalendo as an alternative party kwa opposition Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
- Tukamuuliza Zitto Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
- Na baada ya Mungu kukifanya alichokifanya, sasa kuelekea uchaguzi wa 2025 Mama ameisha pindua meza, 2025 ni CCM tena, sisi waalimu washauri wa bure tumeisha shauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
- Na kwa Political projections zangu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Tatizo kubwa la hii nchi ni wananchi wala si upinzani wala ccm.Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Mara huyu anatufaa mara hatufahi mara yegeyege.... Jamani popo ni ndege au mnyama?Mkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.
P
- Mwana JF huyu aliposema hivi, mimi nilimbishia Je, CCM Itatawala Milele Au? lakini maisha wa siku nilikuja kukubali matokeo kuwa ni kweli Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
- Kwa Tazania upinzani ni Chadema hivyo toka ile 2010 tumekuwa tukiwaeleza humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! lakini hawasikii.
- Uchaguzi wa 2015 tukawakumbusha tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... lakini wapi!.
- Tukauliza humu Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
- Hivyo ile 2015 alipoingia mwamba, ni mabeberu ndio walianza kutueleza The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
- Hivyo sisi waalimu huru tukaingia kazini kwa kujitolea kufundisha upinzani. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
- Tukauzungumzia Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..?
- Tukauliza Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Tukaizungumzia kai ya mwamba Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo
- Tukakizungumzia chama kikuu cha upinzani Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
- Tukayazungumzia baadhi ya mapungufu ya Chadema Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
- Tukaizungumzia ACT Wazalendo as an alternative party kwa opposition Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
- Tukamuuliza Zitto Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
- Na baada ya Mungu kukifanya alichokifanya, sasa kuelekea uchaguzi wa 2025 Mama ameisha pindua meza, 2025 ni CCM tena, sisi waalimu washauri wa bure tumeisha shauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
- Na kwa Political projections zangu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Upinzani wa kweli aliousema Mwalimu kuwa ungetoka ndani ya CCM, ndiyo ule wa akina Dr. Slaa, akina Mbowe, akina Lowasa, akina Sumaye na akina Ngombare Mwiru. Lakini kwa bahati mbaya walipoenda kwa watu, jamii iliyojaa unafiki, woga na undumilakuwili, wengine walikata tamaa na kuamua kurejea CCM ili angalao wamalizie maisha yao kwa amani.Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Hapa ndio umedhihirisha upumbavu wakoHayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Tatizo ni hao wananchi waliojifungia wakifanya yao wakitarajia kina Mbowe, Mnyika, Zitto, Lipumba et al wawatetee!Mnafiki mkubwa, pesa aibe CCM lawama umpe upinzani. Unataka upinzani wafanyeje wakati hawapo kwenye vyombo vya maamuzi. Wapinzani wakupiganie wakati umelala na mke wako chumbani.
Tena huyu mleta mada ndiyo mpuuzi kabisa, teba kwa kiwango cha ushetani. Kila siku alikuwa humu kuwaponda na kuwatukana wapinzani walipokuwa wakitetea haki za wananchi za kikatiba.Wewe huna hoja, upinzani gani unaowalaumu? CUF? TLP? ACT? Chadema?
Km chadema Mimi siwalaumu, kazi Yao walishaifanya,
Watanzania tuache unafki, unataka chadema wafanye Nini? Wamehangaika Sana Hadi Leo wapo waliouwawa, vilema, walifirisiwa, waliopojela n.k,wewe binafsi uliwaunga mkono kwa kipi?
Mara ngapi wanatangaza maandamano?
Huu unafki ndo unaolitafuna taifa, Ni upuuzi kukaa ndani ukitegemea watu fulani wafe, wapoteze Mali zao, wapoteze ndugu zao, wawe vilema
Well said!!Upinzani wa kweli aliousema Mwalimu kuwa ungetoka ndani ya CCM, ndiyo ule wa akina Dr. Slaa, akina Mbowe, akina Lowasa, akina Sumaye na akina Ngombare Mwiru. Lakini kwa bahati mbaya walipoenda kwa watu, jamii iliyojaa unafiki, woga na undumilakuwili, wengine walikata tamaa na kuamua kurejea CCM ili angalao wamalizie maisha yao kwa amani.
Kuwatetea Watanzania wajinga, wanafiki, waoga, ndumilakuwili wa nna kama ya huyu mleta mada, hawa ambao leo watashangilia udikteta, keshokutwa wanalaani udikteta, ni kazi ngumu sana.
Wale ambao wameendelea kuwa wap8nzani mpaka leo, kwa mazingira ya Tanzania, tena katikati ya jamii ya Watanzania, wanahitaji medali za dhahabu. Hakuna kazi ngumu kumtetea mtu mjinga na mnafiki.
Hivi unadhani kule Kenya, Raila angeitisha maandamano, halafu watu wasitokee, na kuwe na watu wanafiki wengi wa aina ya huyu mleta mada, unadhani Serikali ingeshusha bei za vyakula? Sana sana, Raila angekamatwa na kuwekwa ndani kama alivyofanywa Mbowe na kutengenezewa kesi ya ugaidi au uhaini. Halafu watu wajinga wa aina ya Idugunde kila siku wangekuwa mitandaoni wakisema Raila Gaidi.
Magufuli aliona mapema hakuna wapinzani wenye nia na maslahi ya wananchi wote ni wachumia tumbo ndio akaanza kuwashughulikiaNyie Si ndo mlikuwa mnafurahia JPM alivyokuwa anawashughulia akina mbowe?
Sasa mmekatwa mikia mnamkuukumbuka upinzani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu hii mnitagIngia mzigoni mwenyewe ili kuondoa tatizo na si kulalama hapa. Unadhani kuna aliyezaliwa kwa ajili yako? Uanaume ni kufanya utamanicho na si kulialia ufanyiwe na wanaume wenzio.
Umempiga za chembeIngia mzigoni mwenyewe ili kuondoa tatizo na si kulalama hapa. Unadhani kuna aliyezaliwa kwa ajili yako? Uanaume ni kufanya utamanicho na si kulialia ufanyiwe na wanaume wenzio.
Upinzani ni Ideliology sio mtu mmoja mmoja, Hata wewe unaweza chukua nafasi hioMi nadhani hii inasababishwa na umasikini wa pesa, kila mtu anaingia kwenye siasa ili anufaike. Ndio maana inakuwa rahisi kununuliwa.
Pia utambue nchi zetu rais ana mamlaka. Kubwa na kumshauri sio jambo jepesi.
Wakisema tutoke Barabarani huwa.manatoka? Naunga mkono hoja, Mbowe Mashamba yake yaliharibiwa kule Mlitoka barabaranu kulaani? Wajinga sana nyieUmechelewa sana kujua but kwa ufupi hii nchi haina upinzani wote unaona wanapga kelele ni vibaraka wa CCM
Wakati wanashughurikiwa, Mbowe kupoteza biasbara zake, shamba lake kufyekwa kule Hai, muliwahi toka Barabarani kupinga? Wajinga sana nyieHayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Ndio hapo sasa kwa nini yeye asiingie field?Ingia mzigoni mwenyewe tuondokane na tatizo hili.