Taifa letu ni Salama na lenye utulivu kisiasa Kwa sababu ya hawa Majenerali Pichani. Wanasiasa na viongozi Mnajifunza Nini hapa?

Kina uchungu wa kuteka na kuuawa kwa sababu wananchi haohao ndio wanaotekwa na kuuawa na kulazimishwa kuongozwa na viongozi ambao hawakuwachagua.
Kazi ya CCM ni kuwaletea maendeleo watanzania.kazi ambayo imefanyika kwa ufanisi mkubwa sana tangia kupatikana kwa uhuru wa Taifa letu.
 
Botswana chama Tawala kiliongoza miaka 58 juzi kimeanguka, ungekuwa na AKILI za kutosha ungeelewa
Usiifananishe CCM na chama chochote kile barani Afrika.maana CCM ndio chama kiongozi ambacho ndio Taifa lenyewe.
 
Huyu mkuu Mr Lucas,mbn kama kuna genes za uchawa,anatumwa nin??? Maana hii issue ya mi5 tena imekuwa desturi yako kutuandikia,nafikiri upelekwe mirembe wakachunguze mentality fitness yako,wana jamiiforums tutagharamikia matibabu
 
Huyu mkuu Mr Lucas,mbn kama kuna genes za uchawa,anatumwa nin??? Maana hii issue ya mi5 tena imekuwa desturi yako kutuandikia,nafikiri upelekwe mirembe wakachunguze mentality fitness yako,wana jamiiforums tutagharamikia matibabu
Bila shaka wewe ni mhamiaji haramu hapa Nchini.Maana kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anafahamu wazi kuwa Taifa letu litaendelea kuwa mikononi Mwa RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi 2030.
 
Ni chawa tu kama wewe ndiyo wanataka huyo kizmkazi aendelee.
 
Ni chawa tu kama wewe ndiyo wanataka huyo kizmkazi aendelee.
Na ikibidi ikifika 2030 tutabadilisha katiba yetu ili aendelee kuongoza Taifa letu mpaka Mwisho .Na huna cha kutufanya wala kufanya tukitaka kuibadilisha Katiba yetu .utapiga makelele lakini tulichoamua kitakuwa ndio hicho hicho
 
Na ikibidi ikifika 2030 tutabadilisha katiba yetu ili aendelee kuongoza Taifa letu mpaka Mwisho .Na huna cha kutufanya wala kufanya tukitaka kuibadilisha Katiba yetu .utapiga makelele lakini tulichoamua kitakuwa ndio hicho hicho
Mbadilishe na nani wewe kidampa anakujua nani. Dhalim alijaribu huo upuuzi leo yuko wapi?
 
Mbadilishe na nani wewe kidampa anakujua nani. Dhalim alijaribu huo upuuzi leo yuko wapi?
Ndo nimeshakwambia hivyo kuwa tukitaka kubadilisha tutabadilisha tu na huna cha kufanya wala kuzuia chochote kile.utapiga kelele kama debe tupu na mwishowe utanyamaza tu.
 
Umwambie nani wewe kibuyu huna ujualo zaidi ya uchawa tu. Huyo hata hiyo 2025 hagombei, biashara yake imeisha.
Mama ni hadi 2030 tunaendelea kutamba naye na baada ya hapo tunaweza kubadilisha katiba ili aendelee kuongoza Nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…