Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Yaani wafuasi wa yule jama, kila moja amejifanya kua mwana falisafa mtaumia paka mkonde miaka 7 ni mingi .
 
Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!

Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Kelele tu hizo. Tunajua umekosa fursa ndio maana unaanzisha mada za kumsakama mama kila mara. Tatizo lako ni moja tu. Unadhani fikra zako za chuki ndio mtazamo wa watanzania.
 
Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!

Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.
Utaratibu upo vipi kwani? Miaka yote ndio hivyo. Lakini kuna kiongozi ameweka loophole ili wapigaji wasifikishwe mahakamani kwa kigezo kuwa yupo fair
 
Kelele tu hizo. Tunajua umekosa fursa ndio maana unaanzisha mada za kumsakama mama kila mara. Tatizo lako ni moja tu. Unadhani fikra zako za chuki ndio mtazamo wa watanzania.
Fanya utafiti wako. zungumza na wananchi utapata majibu.
 
Mimi kama mnyonge nimekubali tu kwamba Samia ni rais ila wanyonge sio kipaumbele kwake.
Tusubiri tu labda awamu ijayo.
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Wewe utakuwa Sukuma gang. Tulipita kipindi cha giza kwenye utawale wa Jiwe
 
Utaratibu upo vipi kwani? Miaka yote ndio hivyo. Lakini kuna kiongozi ameweka loophole ili wapigaji wasifikishwe mahakamani kwa kigezo kuwa yupo fair
kuna haja ya viongozi wetu kufundishwa uzalendo na kujua kila aina ya rasilimali tulizonazo na matumizi ya rasilimali hizo kwa ustawi wa Taifa na watu wake ...........tumeona kwa macho yetu wenyewe kuna changamoto kubwa katika eneo hilo
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Kaa hivyo hivyo wewe msukule wa Mwendazake. Nyie na Magufuli mlijimilikisha UFISADI na kikundi chenu kidogo na kuiba ma Trillions kwa kipindi kifupi tu.
Hakuna kiongozi toka tupate uhuru mwaka 1961 ambaye amewahi kukutwa na ufisadi mkubwa kumzidi Magufuli. Taarifa za CAG report za kuanzia 2017 hadi 2021 zipo mtandaoni. Zaidi ya Tsh 2.4 Trillion ni ufisadi wa Magufuli kuanzia 2016-21

Magufuli alikufa kwa sababu alitaka abakie anafisadi peke yake na kikundi kidogo cha marafiki zake na ndugu zake akina Dotto, Bashiru, Makonda, Sabaya, Kabudi, Chamuriho, Kijazi, Polepole na Mfugale. Mungu alichukizwa akamyakua
 
Back
Top Bottom