Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kashindwa kukubali ukweli kwamba maisha yanaendelea.Yatima kazi unayo, Kayafa is dead and buried.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashindwa kukubali ukweli kwamba maisha yanaendelea.Yatima kazi unayo, Kayafa is dead and buried.
Umeshasahau hoja yako na sasa umehamia katika matusi. Pole sana mkuu.Lini ulishawhi kuwa na akili timamau?
Mpuuzi ni wewe mkuu, kila hoja unayoleta ni malalamiko tu. JPM kashaondoka na hatarudi tena.Nilishakupuuza kitambo. Huna uwezo wa kujadili mambo ya msingi unalazimisha
tulia bado mchezoTaifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Wewe NI miongoni mwa watanzania wengi wasiojua wanataka Nini, Kwan ni sahihi kumkamata mtu wakati huna ushahidi?Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
kaka ni sawa na gari kwenye mtelemko mkali limekata breki na centre bolt afu mbele kuna daraja na kona kali.Wakati mwingine Watanzania hatujui tunataka nini!
Hii ni hatari sanakaka ni sawa na gari kwenye mtelemko mkali limekata breki na centre bolt afu mbele kuna daraja na kona kali.
Ukichunguza Concern ya wengi hata katika awamu iliyopita walikuwa wanalaumu kwanini JPM anakula mwenyewe. Vita ilikuwa kali sana dhidi ya mafisadi na wafanyabishara wakubwa ambao walizoea mchezo wa kukwepa audits na kuclear kodi kama inavyotakiwa.Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Hii ndio kauli ambayo chawa mnaitumia kama mtaji ila vizazi vyenu vitakuja kudhalilika vibaya sana.Kelele tu hizo. Tunajua umekosa fursa ndio maana unaanzisha mada za kumsakama mama kila mara. Tatizo lako ni moja tu. Unadhani fikra zako za chuki ndio mtazamo wa watanzania.
Pimbi kama hizi huwa hazikosekaniYaani wafuasi wa yule jama, kila moja amejifanya kua mwana falisafa mtaumia paka mkonde miaka 7 ni mingi .
Kutoka kwenye ukatili na ushetani? AmenNchi yetu inarudi nyuma kwa kasi ya 4G
Siku ukija kutambua kwamba tajiri hana time na mtu zaidi ya faida yake na utajiri wake kuongezeka kwa namna yeyote ile ndio utajua hujui.Kuongoza nchi ni sanaa na siku zote ni kipaji. Umeamua kuyaamini yale maneno kwamba katika awamu yake ya tano tajiri anafanywa lolote!.
Unapomfanya lolote tajiri maana yake tayari umeshawauwa maskini maelfu kwa maelfu. Ndio akili yako mkuu Nyankurungu2020 inapotaka taifa hili lielekee!?.
Sidhani kama kuna tajiri anayeishi kama shetani ndani ya awamu ya sita, uhusiano ukiwa mwema hakuna sababu ya kutunza hasira.
Kuna uhuru wa kufichua maovu ila hatua hazitakaa zichukuliwe mpaka Yesu arudi. Kipi bora? Kingine sio kuwa raisi anavunja sheria ila urasimu unatengeneza mianya ya kulinda wahalifu kupitia katiba yenu chakavu. Ili kukwepa huo upuuzi raisi anaweza akatumia power yake kuharakisha utekelezaji mtu apelekwe ndani chap maisha yaendelee akisubiria mvua zake.nchi sasa inaenda kwa kufuata na kuzingatia utawala wa kisheria.
uonevu, hofu na mashaka sasa hakuna, watu wamerudisha imani kwa vyombo vyao.
watu sasa wapo huru kuropoka chochote bila hofu,
uhuru tulio nao sasa unaweza kusema chochote na kikafanyiwa kazi, hata kama kuna ubadhirifu popote pale unaweza kusema bila woga.
kwa sasa hakuna siri wala maficho wala uoga.
Mleta mada katumia maneno makali 'kuhadaa umma'. Rais anazunguka dunia nzima kutafuta pesa na wawekezaji, hawezi kukosa uzalendo mpaka awe sehemu ya hadaa kwa umaa.Siku ukija kutambua kwamba tajiri hana time na mtu zaidi ya faida yake na utajiri wake kuongezeka kwa namna yeyote ile ndio utajua hujui.
Tajiri anachofanya sio kumuinua maskini bali ni kumnyonya masikini ili yeye azidi kupanda juu. Makinika!!!
Kuna uhuru wa kufichua maovu ila hatua hazitakaa zichukuliwe mpaka Yesu arudi. Kipi bora? Kingine sio kuwa raisi anavunja sheria ila urasimu unatengeneza mianya ya kulinda wahalifu kupitia katiba yenu chakavu. Ili kukwepa huo upuuzi raisi anaweza akatumia power yake kuharakisha utekelezaji mtu apelekwe ndani chap maisha yaendelee akisubiria mvua zake.
Imbicile twatHujui kusoma halafu unaandika humu. Rudi kaanze darasa la awali.
Ndugu,Mpigaji mkuu akihamasisha wapigaji wakubwa jinsi ya kutafuna nchi kimasihara😁😁😁
View attachment 2263094
Hata baada ya kumaliza wiki yake ya lindo na kufanya usafi bado hajaamini.Yatima kazi unayo, Kayafa is dead and buried.
Wewe msukule wa Mwendazake unachojuwa ni matusi tu.Huu uharo ungekaa nao huku ukiula hapo kwa shemeji yako kuliko kupost upuuzi
Yaani aendelee kuiba huku akipelelezwa na anajua anapelelezwa.Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!
Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.
Hujawahi kutujibu, ile Trilioni 1.5 ilienda wapi?Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.