Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Utaratibu upo vipi kwani? Miaka yote ndio hivyo. Lakini kuna kiongozi ameweka loophole ili wapigaji wasifikishwe mahakamani kwa kigezo kuwa yupo fair
Kwani yule Mwendazake sijui Mwendakuzimu zaidi ya kuwapeleka rumande, Je ni wangapi walikutwa na hatia?

Yule HAYAWANi aliwatuhumu watu n kuwaweka ndani kuanzia 2016, lakini mpaka anakufa hakuna hata mmoja ambaye Mahakama ilimkuta na HATIA. Achana na wale wa PLEA BARGAINING feki ambao fedha ziliingia kwa mfuko binafsi wa Magufuli na Biswalo Mganga
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Inafikirisha !!
 
Kwani yule Mwendazake sijui Mwendakuzimu zaidi ya kuwapeleka rumande, Je ni wangapi walikutwa na hatia?

Yule HAYAWANi aliwatuhumu watu n kuwaweka ndani kuanzia 2016, lakini mpaka anakufa hakuna hata mmoja ambaye Mahakama ilimkuta na HATIA. Achana na wale wa OLEA BARGAINING feki ambao fedha ziliingia kwa mfuko binafsi wa Magufuli na Biswalo Mganga
Duh ! Nchi ya vioja hii !! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni ! Kazi kweli kweli !
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Wewe umepiga kiasi gani hadi sasa?
 

Attachments

  • Screenshot_20220616-205357.png
    Screenshot_20220616-205357.png
    50.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220616-205328.png
    Screenshot_20220616-205328.png
    53.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220616-205254.png
    Screenshot_20220616-205254.png
    50.1 KB · Views: 3
Mimi kama mnyonge nimekubali tu kwamba Samia ni rais ila wanyonge sio kipaumbele kwake.
Tusubiri tu labda awamu ijayo.
Wewe kama ni Mzee huna chako ila vijana ndio kipaombele cha Rais 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220616-205254.png
    Screenshot_20220616-205254.png
    50.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220616-205328.png
    Screenshot_20220616-205328.png
    53.8 KB · Views: 4
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Kuongoza nchi ni sanaa na siku zote ni kipaji. Umeamua kuyaamini yale maneno kwamba katika awamu yake ya tano tajiri anafanywa lolote!.

Unapomfanya lolote tajiri maana yake tayari umeshawauwa maskini maelfu kwa maelfu. Ndio akili yako mkuu Nyankurungu2020 inapotaka taifa hili lielekee!?.

Sidhani kama kuna tajiri anayeishi kama shetani ndani ya awamu ya sita, uhusiano ukiwa mwema hakuna sababu ya kutunza hasira.
 
Kuongoza nchi ni sanaa na siku zote ni kipaji. Umeamua kuyaamini yale maneno kwamba katika awamu yake ya tano tajiri anafanywa lolote!.

Unapomfanya lolote tajiri maana yake tayari umeshawauwa maskini maelfu kwa maelfu. Ndio akili yako mkuu Nyankurungu2020 inapotaka taifa hili lielekee!?.

Sidhani kama kuna tajiri anayeishi kama shetani ndani ya awamu ya sita, uhusiano ukiwa mwema hakuna sababu ya kutunza hasira.
Rubish
 
Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!

Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.

umeongea utumbo sijapata kuona?? hakuna sheria za wahujumj uchumi,sheria za makosa hazipo?? unawezaje mkamata pasipo na makosa?? mtuhumiwa ndan na uchunguzi unaendelea??

Kwaiyo kwa maana hiyo wapigaj waendelee??
sema anawaogopa na anashirikiana nao??
huwezi sema Kesi si kipau mbele??
haya kipaumbele n nn???
usonge hatua tano afu urudishwe nyuma hatua kumi afu useme kipaumbele n hatua tano??
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Yatima kazi unayo, Kayafa is dead and buried.
 
Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.

Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.

Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.

Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Wale wazalendo waliokuwepo zile hela za malipo ya wahujumu uchumi walizokusanya ziliwekwa kwenye akaunti gani ya serikali ? Maana CAG Hakuziona !
 
Back
Top Bottom