Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Taifa lolote linapokuwa na kiongozi anayehadaa umma kuwa yeye ni mtu fair lazima liumie kwa kuibiwa na kiongozi huyo

Wale wazalendo waliokuwepo zile hela za malipo ya wahujumu uchumi walizokusanya ziliwekwa kwenye akaunti gani ya serikali ? Maana CAG Hakuziona !
Acha kuishi maisha ya umbeya. Kama kuna watu walidhulumiwa wasaidie kwenda Mahakamani
 
Watu tunapaswa kutafakari kabla ya kuandika na tusioende kuona watu wenye mawazo tofauti nasi wanakosea maana Hali ikiendelea ya kutopata muda wa kutafakari mhvsijui maana huwa naona mtu akitoa wazo Kuna watu NI mabingwa wa kuwashukia watu Kama mwewe.tujitafakari na kujenga hoja
 
Tangu nizaliwe sijawahi kuona (au kusikia uwepo wa) mkuu wa nchi reckless kiasi hiki. Nadhani huyu kiumbe ana ubongo wa panzi.
SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwake.

Wanaomchukia ni waabudu mungu mtu wa Chato tuliyemfukia mwaka jana Machi
 
SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwake.

Wanaomchukia ni waabudu mungu mtu wa Chato tuliyemfukia mwaka jana Machi
Huu uharo ungekaa nao huku ukiula hapo kwa shemeji yako kuliko kupost upuuzi
 
nchi sasa inaenda kwa kufuata na kuzingatia utawala wa kisheria.
uonevu, hofu na mashaka sasa hakuna, watu wamerudisha imani kwa vyombo vyao.
watu sasa wapo huru kuropoka chochote bila hofu,
uhuru tulio nao sasa unaweza kusema chochote na kikafanyiwa kazi, hata kama kuna ubadhirifu popote pale unaweza kusema bila woga.
kwa sasa hakuna siri wala maficho wala uoga.
 
Nchi yetu inarudi nyuma kwa kasi ya 4G
Kwani ili ilisogea mbele magufuli sï alikuwa aijichoea tu mapesa yeye na wajomba zake mpaka kufika kugawa mabarabarani na nyengine kugawana na rafiki zake kina mfungate aliyemchotea mapesa eti akanunue mashine za kiwanda cha sukari, acheni maneno Mwacheni mama afanye kazi.
 
Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!

Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.
Shida ni kuwa utampeleleza mhalifu akiwa wapi? Kazini au nyumbani? Au mahabusu? Nasajesti apelelezwe akiwa nyumbani kama ni mtumishi wa umma.kama ni swala linalohusu usalama basi mhalifu awepo mahabusu !!
 
Kaa hivyo hivyo wewe msukule wa Mwendazake. Nyie na Magufuli mlijimilikisha UFISADI na kikundi chenu kidogo na kuiba ma Trillions kwa kipindi kifupi tu.
Hakuna kiongozi toka tupate uhuru mwaka 1961 ambaye amewahi kukutwa na ufisadi mkubwa kumzidi Magufuli. Taarifa za CAG report za kuanzia 2017 hadi 2021 zipo mtandaoni. Zaidi ya Tsh 2.4 Trillion ni ufisadi wa Magufuli kuanzia 2016-21

Magufuli alikufa kwa sababu alitaka abakie anafisadi peke yake na kikundi kidogo cha marafiki zake na ndugu zake akina Dotto, Bashiru, Makonda, Sabaya, Kabudi, Chamuriho, Kijazi, Polepole na Mfugale. Mungu alichukizwa akamyakua
Hujui kusoma halafu unaandika humu. Rudi kaanze darasa la awali.
 
Mpigaji mkuu akihamasisha wapigaji wakubwa jinsi ya kutafuna nchi kimasihara😁😁
"Unapomuona mtu ambaye hana chochote lakini miezi michache tu baada ya kupata cheo anakuwa tajiri mkubwa hapa ndipo wananchi wanahoji na wanastahili kupata majibu kwa wanaohojiwa ndugu zangu tuwe waadilifu" Haya ni maneno kutoka kwa baba mmoja mwenye ukwasi.
 
Back
Top Bottom