Hahahahhahahaa yooooooh niliisahau wapi hii... Unataka aweje aweje au atokeje tokeje, marashi itakuwajeee atanukiajeee[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaa cheza kwa step usimkanyage mwenzio. Na kama wataka demu je [emoji12][emoji12][emoji12]
Mkuu asante " ... ile ngoma ya tamala ni moja ya nyimbo ambazo zilikuwa zinanifanya nipatwe na uchizi tokana na mixing iliyofanyika mule na jinsi ambavyo had mad alivyo kuwa ana ghani ...Mkuu nimekupa like sijawahi kuwaza ile beat miika alikuwa katika mood gani yaan.Lile dude ni noma afu bongo HAD MAD alikuwa nadhan ndo king wa DANCEHALL
Sent using Jamii Forums mobile app
Mike T naye alitamba jamani. Hapo nature hajakandamiza chorus nampenda penda nani msichana mmoja naniHahahahhahahaa yooooooh niliisahau wapi hii... Unataka aweje aweje au atokeje tokeje, marashi itakuwajeee atanukiajeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah.... AchaaaaaMike T naye alitamba jamani. Hapo nature hajakandamiza chorus nampenda penda nani msichana mmoja nani
Haaa mkuu unachanganya mambo bhana.Cheza kwa step usimkanyage mwenzioHahahahhahahaa yooooooh niliisahau wapi hii... Unataka aweje aweje au atokeje tokeje, marashi itakuwajeee atanukiajeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha yanaenda kasi sana nakumbuka ugomvi mkubwa na bibi yangu na cassette zake za kaswida mimi narecord bongo flavour.Daaaaah.... Achaaaaa
Ukiwa na kale kaWalkman kadogo ka betry za triple AAA na kanda ambayo umerekod tracks kadhaa unapita kitaa unabang na mara unafikia hilo goma lazma mwajuma flan ageuke[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeweka lines za kama unataka demu za jay moe mkuuHaaa mkuu unachanganya mambo bhana.Cheza kwa step usimkanyage mwenzio
Some time nilikuja mpaka kwenu sometime niliishia mlangoni sometime,mlinzi alinambia haupo some time niliingia mpaka ndani sometime mama alinijibu unasoma sometime nilijifanya mwanafunzi sometime nikajifanya mwalimu sometime, eeeeh hehe sina simu hicho kitu kikaniafanya nipate wazimu........ hili goma hatar sana inabid apewe tuzo ya heshimaMkuu asante " ... ile ngoma ya tamala ni moja ya nyimbo ambazo zilikuwa zinanifanya nipatwe na uchizi tokana na mixing iliyofanyika mule na jinsi ambavyo had mad alivyo kuwa ana ghani ...
Anakwambia"---- mara ya kwanza tulikutana kwenye show " ukaniambia singwe daranyo. Siku shangaa nikajipa moyo " kwa kuwa mapenzi ndivyo yalivyo ". .mtoto mwenye kiuno laini " cha kucheza raga muffin na kudigi na mimi " oh mwana nane nagala nashindwa " kuelewa hata nifanye nini ..
Ohh tamala " .(tamalaaaaa) baby tamala (tamalaaaa)...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha swadakta kabisa.... Home tulikuwa na cassette ya panasonic ya spika moja... Inatumika wakat wa shughuli tu au skukuu yaani.... Vijana wa sku hzi wanabebea nyimbo kwenye flash walain sana...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha yanaenda kasi sana nakumbuka ugomvi mkubwa na bibi yangu na cassette zake za kaswida mimi narecord bongo flavour.
Vijana wa siku hizi hayo mambo hawayajui wao busy na visimu tu kila kitu youtube.
Soggy doggy naye vp?
Hahahahha hapana mkuu aliimention hyo ndio nami nikakumbuka hzo versesNilijua ushapandisha mizuka huku ukaanza kuchana kama unataka demu kwenye beat ya Cheza kw step
Hyo sometime ilivyokuwa inakandamizwa balaah kabisaSome time nilikuja mpaka kwenu sometime niliishia mlangoni sometime,mlinzi alinambia haupo some time niliingia mpaka ndani sometime mama alinijibu unasoma sometime nilijifanya mwanafunzi sometime nikajifanya mwalimu sometime, eeeeh hehe sina simu hicho kitu kikaniafanya nipate wazimu........ hili goma hatar sana inabid apewe tuzo ya heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mkuu umekumbuka enzi ya o.level
Mara ya kwanza niliufaham huu wimbo nilipokuwa napita bar flan, nje pakawa pana chiz mmoja anakamua kwel kwel bas toka hapo nikavutiwa na tamalaaa