Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
tutaizikaKuna siku Jf itakufa
Jakayawakuu mambo ni vipi
Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia.
Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu nyingine hata gugo halipo.
Taja jina ambalo ulikutana na mtu analitumia hujawahi kulisikia tena mahali nyingine
Wagagigikokowakuu mambo ni vipi
Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia.
Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu nyingine hata gugo halipo.
Taja jina ambalo ulikutana na mtu analitumia hujawahi kulisikia tena mahali nyingine
Msiba ni mjita.Hapana, Mkurya nafikiri.
Muandishi wa Willy Gamba, vitabu vya riwaya za jasusi la Kitanzania.
Yeah. I thought either Mjita au Mkurya.Msiba ni mjita.
Mjita Pure wa Majita.Huyu muhaya
Yess wanatokea huku Ruvumaila si wanatokea huko huko ?
Agripina nilisoma nae Chuo.Byron
Agripina
Wote nikisoma nao shule moja
Hee kumbe wapoAgripina nilisoma nae Chuo.