Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

Aisee moja ya Tabia ambazo sizipendi Duniani Ni moja wapo hiyo ndio maana siku hizi Mimi sisalimiani na watu kwa kushikana mikono ukija kunipa Mkono nakupa tano imeisha hiyo
Covid 19 imetuokoa na mengi
Nashukuru mpaka leo simpi mtu mkono tena labda namuheshimu sana Kama akileta wake la sivyo imetoka
Kukumbatia afadhali kama hamjaonana mda mrefu ila mkono hapana kwa kweli
 
Dah hii ya matanga ilikuwepo kwetu enzi hizo na ni pamoja na kutonyoa au kuchana nywele mpaka mwezi(matanga) yaishe.
Kwetu matanga yakiisha lazima kila mtu anyoe kipara....hii haina mjadala
 
Lakini naona wakubwa ndio wanawashika wadogo vichwa
 
Kwetu ni :
1. Marufuku kulala kwa wakwe au shemeji
2. Ukienda kutembelea wazazi kijijini Marufuku kulala kwenu kama umeshaoa. Ndio maana kijijini kwetu kuna nyumba nyingi kama mjini.
3. Marufuku kumpa mgeni chakula au kinywaji bila wewe kuonja.
4. Marufuku kutosomesha au kutelekeza watoto hata kama ulizaa na chizi.
5. Mtoto akizaliwa ni lazima mzazi apongezwe awe wa nje ya ndoa au ndani. Mtoto ni baraka na ndugu lazima wapokee mgeni.

* wengine wataongezea tunaojuana washajua natokea wapi.
 
Umasaini au mila za kimasai kutema mate kwa mwenzio ni kawaida
Kwa mfano kama mnataka kusalimiana unatemea mate mkono ndio unampa mwenzio mkono hii ni moja ya heshima
Hii ni kwa marafiki
Pia wazee watawatemea watoto waliozaliwa kwenye paji la uso kuwapa Baraka

Na kina baba watawatemea watoto wao wa kike kichwani sio ya ndoa kuwapa Baraka na upendo
 
Enzi za korona hii tamaduni si watapukutika sana
 
Nimeipenda sana mada yako na huu uzi tukiutumia vizuri una fada kubwa sana kijamii.

Hili ni somo ambalo watu wanachukuwa mpaka PhD lipo kwenye "anthropology".
Mada inampinga mnyazi hii.
 
Kuishabikia CCM na kumuita Samia kuwa ni mama wakati ni mama wa Abdul.
 
Hii kama kwetu hivi 😅😅😅😅😅
Hapo kwenye kupiga mluzi hapo unaweza ukakatwa mdomo kabisa
 
Hii tuliifanyia utafiti wakati tupo shule lakini hatukufanikiwa. Hamna relationship kati ya mtoto anayenyonya na sperm za baba.
Ila kihalisia mtoto kudhoofu kupo. Na ukifatilia kwa nini hutopata jibu.
janaba sio zuri, mama na baba hawamharibu mtoto ispokua mkishatombana mkamalizakama mnaona uvivu kuoga msimruke mtoto kitandani, anabemendeka ikiwa wazaz halisi wa huyo mtoto mmoja wapo akizini bila kuoga janaba
 
Desturi ya nyumbani kwetu ukisonga ugali ukimaliza mwiko lazima uuoshe. Marufuku kuacha mwiko mchafu. Hata sijui ina maana gani ila nimekua nayo mpaka leo nikimaliza kusonga ugali lazima nioshe mwiko kabla hata chakula hakijafika mezani.
sufuria ni uke wako mwiko ni mboo, maana yake huwez ukatombwa ukamaliza bila kusafisha mboo ya bwana, hongera umeandalia vizur, speaking from my experience.
 
sio kw
Kwenye kabila letu:
1. Ni mwiko mwanamke aliyejifungua kula nyama ya kuku. Inasemekana akila kuku maziwa yatakuwa hayatoki.
2. Ni marufuku mjamzito kula mayai. Ikiwa atakula mayai, atamzaa mtoto kipara (asiyekuwa na nywele).
eli
 
Mwiko kupiga mluzi usiku unaita mizimu (Nyoka)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…