Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
mayai hayasababishi mtoto asiote nywele tena ni mazuri kwa mjamzitoUkweli ni upi mkuu?😨😨
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mayai hayasababishi mtoto asiote nywele tena ni mazuri kwa mjamzitoUkweli ni upi mkuu?😨😨
Kanisani mbona mnawaita "baba" hata wasio na uwezo wa kuzaa?Kuishabikia CCM na kumuita Samia kuwa ni mama wakati ni mama wa Abdul.
Au kuuziwa sindano jion/usiku daah..Sitasahau siku niliyonyimwa kuuziwa chumvi na muuza duka asubuhi...
Muda wote unawaza kutoa vitu KWA njia ya haja kubwa jana ulisema ukiijua dunia utahara. Wakati sisi tunapambana kuijua dunia wewe unasema utahara ukiijua that's y mnapinga elimu.Impinge hata mnyaji.
Mradi sisi inatupa fursa kubwa sana ya kuonesha na kufundisha mila na desturi za Kisslam, tosha kabisa.
Hii miiko ni ya kabila gani, bossMakabila yote hapa Afrika au nchi nyingine za Ulaya, Asia na Marekani, wanayo miiko, mila au desturi zilizozoeleka kiasi cha kurithiwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Hapa Tanzania, kwa mfano, kuna mambo fulani ambayo ni mwiko kufanyika katika jamii na ikitokea mmoja wa wanajamii akaenda kinyume na mwiko huo anaweza kupata balaa au kuwasababishia wanajamii wengine balaa.
Baadhi ya mambo/matendo hayo ni kama ifuatavyo:
1. Jogoo akiwika usiku kabla ya mapambazuko huchukuliwa kuwa ni laana ama uchuro. Adhabu yake ni kuchinjwa na kufanywa kitoweo.
2. Bundi akilia usiku karibu na maskani ni balaa. Ili kuepukana na hiyo balaa, unatakiwa kuamka ukoke moto na kuchoma punje za mtama kwenye moto huo hadi punje hizo zilipuke.
3. Kwa kabila letu, hairuhusiwi mtu kutupa tula (Sodom apple) kumvuka msichana au mvulana ambaye bado yupo jandoni. Kufanya hivyo kunaweza kusababisha kifo au kuleta balaa kwa mhusika.
4. Ukiwa unapita porini na kukuta uyoga (edible mushroom) usiuache hapo ulipo. Hata kama huutaki au hujisikii kuula, ungo’e na kuuweka sehemu iliyoinuka ili mtu mwingine anayeuhitaji akipita auchukue akale. Kuuacha bila kuung’oa inaweza kukusababishia matatizo au mikosi.
5. Maisha ya kijijini ni ya kijamaa na watu huishi kwa kusaidiana. Kuna wakati unaweza kukosa unga ukaenda kuomba kwa jirani. Hata kama huyo jirani uliyemuendea naye hana unga wa kukugawiwa, chombo ulichoenda nacho hakirudi bure. Angalau akuwekee unga kisoda kimoja kwenye chombo hicho ili kisirudi tupu. Ni mwiko chombo hicho kurudi tupu.
6. Ukitembelewa na mgeni ambaye hajakutembelea baada ya muda mrefu hata kama huna chakula mmegee ukoko kutoka kwenye sufuria atafune au hata fundo la maji anywe. Ni mwiko mgeni huyo kuondoka kwako bila kula chochote.
Hii ni baadhi ya miiko ninayoweza kukumbuka kwa haraka haraka. Nitaongezea mingine wasaa mwingine. Je, wewe kwenye kabila lako au mahali ulipokulia, ni miiko gani umewahi kuishuhudia na mpaka inaheshimiwa? Tupia mmoja hapa tujifunze kitu.
Nawasilisha.
Kabila gani hii?Kwetu sisi mtoto wa kiume akifikisha miaka 13 Kama hasomi,haruhusiwi kukaa nyumban
Kwenu ni wapi?- kujichokonowa pua mbele za watu. Ni tabia ambayo kwetu haijwahi kukubalika kuanzia kwa watoto wadogo mpaka watu wazima. Kwetu Pwani.
Imefikia mpaka mimi siikubali kabisa na nashindwa kujizuwia mtu akijichokonowa mbele yangu, nampa wazi, nendachooni jichokonowe mpaka uchoke kisha nawa mikono yako kwa sabuni, usije kuwapa watu mkonoau kutushikia vitu na mauchafu yako.
Kinyaa.
Kwenu ni wapi huko?1. Kwetu ni mwiko kufagia jioni jua linapozama.
2. Vile vile kupiga mswaki baada ya saa sita ni mwiko.
3. Masharti ni mengi mno.
Kanisome tena. Usini "misquote".Muda wote unawaza kutoa vitu KWA njia ya haja kubwa jana ulisema ukiijua dunia utahara. Wakati sisi tunapambana kuijua dunia wewe unasema utahara ukiijua that's y mnapinga elimu.
Hizi ndiyo mila za wakwere?kwetu
ukifagia usiku ndani usitupe matakataka nje yaache kwenye kona ya mlango utamwaga asbh
ukifagiwa uwanja hakikisha umezoa mataka unavyoacha kuku akayachakua ndio riziki yako itakavyokua utaikisanya usijue imeenda wapi
ni mwiko mjamzto kukaa kizingitini akiwa leba mtoto atakwama
mjamzito haruhusiwi kuchungulia nje akiwa ndani mtoto atakua anachungulia na kurud wakat wa kuzaliwa
siku ya harusi mume hupikia pishi maalum huitwa kombe, linakua kama n pilau chini kunawekwa kisosi na nyama tele ila ubwabwa wa moto sana sasa bwana harusi anatakiwa aingize mkono bila kutoa akitoe hiko kisos kupimwa urijali wake
mama yako akikusemea maneno ya kukulaani huyaondoa kwa kuchota maj kwenye kata kopo lenye mkono wa kushikia akiyaonda huku umempa mgongo ukiwa umesimama kizingitini kisha anakumwagia hayo maji mgongo tena ukitoka ukae nje dk kadhaa ndipo uingie inaaminika hiolaana ameivunja
ni mwiko kuvaa nusu uchi kwa mwanamke au msichana ambaye hajaolewa utavaa hivyo kwa mumeo
ni mwiko kusonga ugali ile sufuria ikawa inatoa sauti haitakiw
mimi sio mkwereHizi ndiyo mila za wakwere?
Kwa hizo ulizoziorodhesha zina refer kwa kabila gani?mimi sio mkwere
Kwa hiyo watu wa pwani bado mnaendekeza huo ujinga au mmeacha?Mkuranga, Kisiju na Kaole.
Pwani 300%
Ujinga upi huo?Kwa hiyo watu wa pwani bado mnaendekeza huo ujinga au mmeacha?
Kama mtoto wa miaka 13 akiwa haendi shule mnamfukuza nyumbani, mnataka aende wapi?Ujinga upi huo?
Pwani ndipo ustaarabu ulipotokea.
Mjinga ni wewe, hata unavyoandika unaandika kijinga.
Ukioa munyamahanga, it's your own risk.Makabila yote hapa Afrika au nchi nyingine za Ulaya, Asia na Marekani, wanayo miiko, mila au desturi zilizozoeleka kiasi cha kurithiwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Hapa Tanzania, kwa mfano, kuna mambo fulani ambayo ni mwiko kufanyika katika jamii na ikitokea mmoja wa wanajamii akaenda kinyume na mwiko huo anaweza kupata balaa au kuwasababishia wanajamii wengine balaa.
Baadhi ya mambo/matendo hayo ni kama ifuatavyo:
1. Jogoo akiwika usiku kabla ya mapambazuko huchukuliwa kuwa ni laana ama uchuro. Adhabu yake ni kuchinjwa na kufanywa kitoweo.
2. Bundi akilia usiku karibu na maskani ni balaa. Ili kuepukana na hiyo balaa, unatakiwa kuamka ukoke moto na kuchoma punje za mtama kwenye moto huo hadi punje hizo zilipuke.
3. Kwa kabila letu, hairuhusiwi mtu kutupa tula (Sodom apple) kumvuka msichana au mvulana ambaye bado yupo jandoni. Kufanya hivyo kunaweza kusababisha kifo au kuleta balaa kwa mhusika.
4. Ukiwa unapita porini na kukuta uyoga (edible mushroom) usiuache hapo ulipo. Hata kama huutaki au hujisikii kuula, ungo’e na kuuweka sehemu iliyoinuka ili mtu mwingine anayeuhitaji akipita auchukue akale. Kuuacha bila kuung’oa inaweza kukusababishia matatizo au mikosi.
5. Maisha ya kijijini ni ya kijamaa na watu huishi kwa kusaidiana. Kuna wakati unaweza kukosa unga ukaenda kuomba kwa jirani. Hata kama huyo jirani uliyemuendea naye hana unga wa kukugawiwa, chombo ulichoenda nacho hakirudi bure. Angalau akuwekee unga kisoda kimoja kwenye chombo hicho ili kisirudi tupu. Ni mwiko chombo hicho kurudi tupu.
6. Ukitembelewa na mgeni ambaye hajakutembelea baada ya muda mrefu hata kama huna chakula mmegee ukoko kutoka kwenye sufuria atafune au hata fundo la maji anywe. Ni mwiko mgeni huyo kuondoka kwako bila kula chochote.
Hii ni baadhi ya miiko ninayoweza kukumbuka kwa haraka haraka. Nitaongezea mingine wasaa mwingine. Je, wewe kwenye kabila lako au mahali ulipokulia, ni miiko gani umewahi kuishuhudia na mpaka inaheshimiwa? Tupia mmoja hapa tujifunze kitu.
Nawasilisha.
Ndio ndio mkuu 😎Hariiiikaaa teudenga? Mi nndengie avae