Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

kwetu

ukifagia usiku ndani usitupe matakataka nje yaache kwenye kona ya mlango utamwaga asbh

ukifagiwa uwanja hakikisha umezoa mataka unavyoacha kuku akayachakua ndio riziki yako itakavyokua utaikisanya usijue imeenda wapi

ni mwiko mjamzto kukaa kizingitini akiwa leba mtoto atakwama

mjamzito haruhusiwi kuchungulia nje akiwa ndani mtoto atakua anachungulia na kurud wakat wa kuzaliwa

siku ya harusi mume hupikia pishi maalum huitwa kombe, linakua kama n pilau chini kunawekwa kisosi na nyama tele ila ubwabwa wa moto sana sasa bwana harusi anatakiwa aingize mkono bila kutoa akitoe hiko kisos kupimwa urijali wake

mama yako akikusemea maneno ya kukulaani huyaondoa kwa kuchota maj kwenye kata kopo lenye mkono wa kushikia akiyaonda huku umempa mgongo ukiwa umesimama kizingitini kisha anakumwagia hayo maji mgongo tena ukitoka ukae nje dk kadhaa ndipo uingie inaaminika hiolaana ameivunja

ni mwiko kuvaa nusu uchi kwa mwanamke au msichana ambaye hajaolewa utavaa hivyo kwa mumeo

ni mwiko kusonga ugali ile sufuria ikawa inatoa sauti haitakiw
 
Impinge hata mnyaji.

Mradi sisi inatupa fursa kubwa sana ya kuonesha na kufundisha mila na desturi za Kisslam, tosha kabisa.
Muda wote unawaza kutoa vitu KWA njia ya haja kubwa jana ulisema ukiijua dunia utahara. Wakati sisi tunapambana kuijua dunia wewe unasema utahara ukiijua that's y mnapinga elimu.
 
Hii miiko ni ya kabila gani, boss
 
Kwenu ni wapi?
 
Muda wote unawaza kutoa vitu KWA njia ya haja kubwa jana ulisema ukiijua dunia utahara. Wakati sisi tunapambana kuijua dunia wewe unasema utahara ukiijua that's y mnapinga elimu.
Kanisome tena. Usini "misquote".
 
Hizi ndiyo mila za wakwere?
 
Ujinga upi huo?

Pwani ndipo ustaarabu ulipotokea.

Mjinga ni wewe, hata unavyoandika unaandika kijinga.
Kama mtoto wa miaka 13 akiwa haendi shule mnamfukuza nyumbani, mnataka aende wapi?

Jukumu la kumsomesha huyo mtoto ni lake au la mzazi?

Kama hamna uwezo wa kumsomesha huyo mtoto kwa nini mlimzaa?
 
Ukioa munyamahanga, it's your own risk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…