mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Mafua[emoji23]Pole mrembo unaumwa nini tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafua[emoji23]Pole mrembo unaumwa nini tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mama Ana pray party[emoji7]Sasa hiyo kaz unipe mm .....kwa muda
Kama Simba walivyotafuta coacher kwa muda[emoji3][emoji3]
Shida tupu bin upweke[emoji16]Nimecheka kibabe
Ndoa vile vile hazifanani kama walivyo watu hawafanani.Walishakuwaga single! Huwezi mpa experience, alishapita usingle sasa ana ndoa, mnajudanganyaga tu, bado ndoa ni jambo jema, Nina 15 kwenye ndoa, sijawahi kujuta
Khaaaaa jmn mbona makasiriko kijana, Uzuri ni kwamba Pesa nilirudisha kwa muhusika usiku ule uleeeeeKmmmmk [emoji23][emoji23][emoji23] nmekutumia nauli unawaza ule!!!!!!!!!
Mimi wa kwanza sasa...... Mpaka mwenyeweee kashangaaaaa yaan hajaamini kabisaHamjawahi rudisha pesa nyie[emoji23][emoji23]
Haya ni PM uone maajabu ya Esther kwa MfalmeEbu nitumie no yako ....niku m-pesa then nirudishie nione Kama kweli...
Kwa mwanamke hyo Ni nature yake mkuu ...Maswala ya kuulizwa uko wapi?
Unafanya nini?
Uko na nani?
Unarudi saa ngapi?
Mbona umechelewa sana kurudi?
Ndoa ni utumwa...
Mwanamke wa kwanza kuamka,afanye usafi,akupikie chai,akutandikie kitanda aandae watoto na yeye ajiandae aende kazini...
Mkirudi wote mmechoka,akupikie n.k
Hachoki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1435][emoji1435]Hapana ...huo ugonjwa Kuna kitu umekikosa[emoji23][emoji23]
Na wengine wanakuwa wagonjwa afya mgogolo hivyo hujifariji tu, nimeongezea kidogo hapo.Amani , Uburu , Ni rahisi kupangilia bajeti kama ni mtu wa malengo , Wako focused , Wengi walio single ni wale ambao walipitishwa ubatizo wa moto na wapenzi wao.. hii inawapa nafasi ya kijijua zaidi na kurelflect what went Wrong kwenye previous relationship .
Wengine wataongezea....
NB :Hakuna mtu anaependa kuwa single kama amekamilika ni hali tu ya kukosa mtu sahihi at right time
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app