Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
CWT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.NIDA haraka sanaHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
UDOM imekukosea nn mkuu wanguTIC, GST, TAMISEMI, CCM, UDOM, MAHAKAMA ZA ARDHI ZA WILAYA, NAFASI ZA UTEUZI
Tatu mzuka wamekukula nini?Bodi ya michezo ya kubahatisha
Wamekulimbikizia bill si bureMwauwasa
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wakikumata, watakugawana!1.NIDA haraka sana
2.CCM ifutwe na Wana chama waolewe wote.
Uhamiaji watiwe bakora pia
Haiingii akilini Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na lililo na chanzo cha maji kama ziwa Victoria mnakaa hadi wiki 2 bila majiWamekulimbikizia bill si bure
Ni uhuni kabisaHaiingii akilini Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na lililo na chanzo cha maji kama ziwa Victoria mnakaa hadi wiki 2 bila maji
Kwani bado ipo?ile taasisi ya kuzuia rushwa
Ipo ila watumishi wake wameenda kula sikukuuKwani bado ipo?
Kwanini ?😅 Sijasema mwenyekiti wangu peke yangu...ila mwenyekiti ni wetu anayetuongoza[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu wakikumata, watakugawana!
BungeHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Serikali ya Tanzania yenyewe mizengwe mitupu.Habari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.