Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NIDA wameupiga mwingi.NIDA
NIDA ni kichomi Cha mbavuni. Uko poa wewe?NIDA
Hakuna kazi wanafanya wanakula mshahara wa bure kabisaNIDA wameupiga mwingi.
Kila mtu kajeruhiwa na NIDA
Niko poa fundi mkuu.NIDA ni kichomi Cha mbavuni. Uko poa wewe?
Asante, barikiwa sana fundi wanguNiko poa fundi mkuu.
Urais ufutweHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Kuna siku nilienda ofisi moja ya Kata baada ya muda nikawakuta hao jamaa kutoka NIC,baada ya kuwasikiliza nikaomba kuongea.NIC.
Walimu wanaijua vizuri hasa wale wa ndani ndani.
Kichwa cha uzi umekielewa kweli au ndoo akili kisodaTaasisi zote za walimu
Adi UDOM...Mbona ghafla sana mkuuTIC, GST, TAMISEMI, CCM, UDOM, MAHAKAMA ZA ARDHI ZA WILAYA, NAFASI ZA UTEUZI
Najua tu umesema idara ya polisi ifutwe...Tupe Kinga kwanza tusiropoke