Umenichekesha sana bodi ya maziwa hahahaBosi umesubiri mgao wa maziwa bila mafanikio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha sana bodi ya maziwa hahahaBosi umesubiri mgao wa maziwa bila mafanikio?
🤣🤣🤣🤣 Sijui wata waajiri wao..??Mnataka mfute nafasi za watu sio😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Haya Sasa ni makasiriko. Eti "waswekwe" ndani daaah. Umeongea kwa hisia saanaNIDA ni ya kufutwa na watendqji wake wasweke ndani kama Serikali itakuwa imewapa kila kitu na wao kushindwa kutupa kadi zetu..
Maji ya Moruwasa yana harufu ya punda na mbuziMoruwasa
Ewura
Latra
Tbs
Tbc
Bunge
Hao ni hasara kwa Taifa wangefutwa kiundwe kikosi kazi ambacho kinaingia popote kwenye harufu ya upigaji bila kuambiwa kama sasa hivi wezi watakua na hofu sio hii kila kukicha CAG anatoa report ya Upigaji na hakuna kinachofanyika...tunaletewa daraja la B moja wahuni wanasema 7 na point sijui na picha wanapiga na mgeni rasmi anaitwa kulifungua muda mwingine unaona Sanaa eti kiongozi anagoma kufungua kwa hiyo anasafiri umbali mrefu kwa gharama asijue kitu atakachokwenda kukifungua...Takukuru.
Hawafanyi lolote mpaka waambiwe.
Sasa kuna faida gani ya kuwa na watu wanasubiri waambiwe??
Ni wala rushwa sana hasa wanasheria waoTakukuru.
Hawafanyi lolote mpaka waambiwe.
Sasa kuna faida gani ya kuwa na watu wanasubiri waambiwe??
TANESCO ikifutwa tutaishije wewe1. BUNGE
2. DAWASA
3. TANESCO
4. Bodi Bodi zoote kuanzia ya Nyama, Ngozi, Mpira, sijui..
Zitafutiwe mbadala
Kwahiyo Katibu Mkuu Kiongozi kakwambia Tanzania kuna Taasisi 450?Kila mwajiriwa ana maboss 3 tu katika nchi hii, hao ndio huweza hata kumfukuza kazi
1. Rais
2. Katibu mkuu kiongozi na
3. Mkuu wa taasisi yako .
Mwenye taarifa zote na aliyekasimishwa mamlaka juu ya watumishi wote na RAIS ni katibu mkuu kiongozi.
Tena tutaishi vizuri sana, kwasasa tunaishi kwa bajeti ya pesa ambayo haipo mkononi, "mchongo ukikaa sawa nanunua kiwanja" afu mchongo unaruka kijiji, sawa na tenesko, unasema umeme ukirudi nitapona, unapumua kwa tabu mpka unakufa yenyewe yamekaa tu kama uji unasubiri kumiminwa [emoji36]TANESCO ikifutwa tutaishije wewe
Kwahiyo zilianzishwa kwa lengo la kusaidia wananchi au kusaidia mzunguko wa fedha?Hakuna haja ya kufutwa. Zinasaidia mzunguko wa fedha kitaa kupitia mishahara na posho. Pia zinapunguza jobless. Zikifutwa kuna mchwa watapata ulaji wa bure