Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Naona NIDA imeongoza kuwa kero kwa wananchi! kuna haja ya kuifanyia marekebisho.
Na ni rahisi tu! kuna ofisi zinazofanya almost kazi wanazofanya NIDA, hivyo ilipaswa NIDA iwe sehemu tu ya OFISI inayotoa vyeti vya kuzaliwa!
Ndhani ingekuwa rahisi sana maana wale wana uzoefu mkubwa katika tasnia hiyo.
NIDA ni kichefuchefu
 
Habari!

Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.

Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.

Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.

Binafsi BASATA ifutwe haraka.
BASATA ni uozo
 
1.NIDA
2. NIC
3. TCRA
4. BODI YA TUMBAKU
5.BODI YA MAZIWA
6. NARCO
7.NAFCO
8. BUNGE
9. BODI YA PAMBA
10. BODI YA PARETO
11. BODI YA NYAMA
12. WIZARA YA MIFUGO
13. NHIF
14. TANESCO.
 
Jeshi la naniliu,hasa Hawa wa barabarani
Niliwahi pia kushauri hawa yange yange wa barabarani wote warudishwe kwao ili waongeze nguvu kwenye ulinzi wa raia na mali zao. Usalama barabarani uundiwe wakala wake mpya unaojitegemea.
 
Back
Top Bottom