Kalikenye_91
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 217
- 589
NIDA ni kichefuchefuNaona NIDA imeongoza kuwa kero kwa wananchi! kuna haja ya kuifanyia marekebisho.
Na ni rahisi tu! kuna ofisi zinazofanya almost kazi wanazofanya NIDA, hivyo ilipaswa NIDA iwe sehemu tu ya OFISI inayotoa vyeti vya kuzaliwa!
Ndhani ingekuwa rahisi sana maana wale wana uzoefu mkubwa katika tasnia hiyo.
Bunge1. BUNGE
2. DAWASA
3. TANESCO
4. Bodi Bodi zoote kuanzia ya Nyama, Ngozi, Mpira, sijui..
Zitafutiwe mbadala
BASATA ni uozoHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Wewe NI kilaza1. BUNGE
2. DAWASA
3. TANESCO
4. Bodi Bodi zoote kuanzia ya Nyama, Ngozi, Mpira, sijui..
Zitafutiwe mbadala
Kilaza namba 2TIC, GST, TAMISEMI, CCM, UDOM, MAHAKAMA ZA ARDHI ZA WILAYA, NAFASI ZA UTEUZI
Kilaza namba 31.NIDA haraka sana
2.CCM ifutwe na Wana chama waolewe wote.
Uhamiaji watiwe bakora pia
Wewe NI kilaza namba 4Moruwasa
Ewura
Latra
Tbs
Tbc
Bunge
Wewe NI kilaza namba 5Tcra na tanesco hizi taasisi zielewagi nini kinaendeleaga huko.
Wewe NI kilazaKuna siku nilienda ofisi moja ya Kata baada ya muda nikawakuta hao jamaa kutoka NIC,baada ya kuwasikiliza nikaomba kuongea.
Niliwachana, mpaka wakakasirika. Hawakupata MTU.
Muda huo walikuwa wameshatoka kata nyingine wameshakupa a baadhi ya watu wakaingia king.
Meza P2 Maza F@KAWewe NI kilaza
Wewe NI kilaza namba 5
How?TEMESA ifutwe ni kitanzi iliyojinyonga serikali bila kujua.
Haya kafirwe ukalaleWewe NI kilaza
Niliwahi pia kushauri hawa yange yange wa barabarani wote warudishwe kwao ili waongeze nguvu kwenye ulinzi wa raia na mali zao. Usalama barabarani uundiwe wakala wake mpya unaojitegemea.Jeshi la naniliu,hasa Hawa wa barabarani