Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Ule ujumbe ulionipa siku ile ukurudie na wewe.
Kuna tofauti kubwa ya ukali na kiburi au kinyongo, mimi nikikukoromea na a hasira zikiisha tunacheka, wewe sasa ndio tatizo unapaswa uombe sana ubadilikeπŸ˜‚
 
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€πŸ€“ kumbe wee hata huwelewi ni harakati zako tuuu....
Daaah sema ni good ndo inavyotakiwa ila usizoidishe sana kujifungia mkuu...
Maana kuna uhitaji mkubwa sana wa kuwa socialize na wengine
 
Juzi nilichukua pikipiki tvs kwenda kumtega manzi fulani maeneo ya sinza mapambano sasa pale kuna washkaji huwa wanapenda sana kuchoma karibuni na mtoni pale aisee nilivofika tu nikatia brek kuna mwana mmoja akanisalimia kwa heshima sana karibu mkuu zikawa nyingi nikamwambia ahsante kiongozi nikaendelea na mambo yangu ghafla nashangaa wana wanaondoka mmoja mmoja kuja kustuka mpaka yule alienikaribisha pia ashasepa kitambo kijiwe kimebaki empty aisee nilicheka sana
 
Kama wewe siyo mwanasiasa,ingia kwenye siasa,kunakufaa huko.
 
Usalama wa mchongo...
Sasa wewe hapo unaweza pia ku take advantage kwa muonekano wako mkuu...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€πŸ€“ kumbe wee hata huwelewi ni harakati zako tuuu....
Daaah sema ni good ndo inavyotakiwa ila usizoidishe sana kujifungia mkuu...
Maana kuna uhitaji mkubwa sana wa kuwa socialize na wengine
Hilo najitahidi sana kuliacha mkuu japo faida zake kiac ni kubwa coz naheshimiwa na watu wote coz sina mazoea ya ovyo na watu
 
Humpendi kutoka ndani, unajilazimisha tu
 
Hilo najitahidi sana kuliacha mkuu japo faida zake kiac ni kubwa coz naheshimiwa na watu wote coz sina mazoea ya ovyo na watu
Ngoja siku watoto wa kwa aziz wavurugwe...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Watakuwashia moto
 
Usalama wa mchongo...
Sasa wewe hapo unaweza pia ku take advantage kwa muonekano wako mkuu...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Sijui muonekano wangu huwa upoje coz wale jamaa awanijui kwanini wasinifikirie kama boda boda niliekuja kumsubili abiria ila wao moja kwa moja wamenichukulia mie kama shushushu
 
Mbona hii ni stress, imagine tabia za watu watatu au wanne zilizotajwa unazo mtu mmoja 😁😁
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“ ni shidah hyo
 
andaa clip za kuchekesha upge hela
 
Ngoja siku watoto wa kwa aziz wavurugwe...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Watakuwashia moto
Huko naenda kufanya nini mkuu mi maisha yangu sinza, makumbusho, kijitonyama nikitoka hapo naenda ukanda wa ununio na kunduchi huko ndiko machimbo yangu yangu ya stareh yalipo
 
Ni stress 😁
Weee ni komoaaa kwa kweliπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“...
Zitaje zote tuone
 
Huko naenda kufanya nini mkuu mi maisha yangu sinza, makumbusho, kijitonyama nikitoka hapo naenda ukanda wa ununio wa kunduchi na ununio huko ndiko machimbo yangu yangu ya stareh yalipo
Sawa sawa sasa hao hao wanaweza wanaweza kukuungia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…