KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Hapana, Nyerere alimruka Kawawa ndio maana akawa mfupiMtu akikuruka utakuja kua mfupi
Nyerere aliwahi kushuka juu ya ndege angani na mwavuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Nyerere alimruka Kawawa ndio maana akawa mfupiMtu akikuruka utakuja kua mfupi
Nyerere aliwahi kushuka juu ya ndege angani na mwavuli
Nikifa nitazaliwa tena mie kama mie??Hii ni kweli kabisa
Kwani kale katoto kaliko kojolea msahafu Mbagala kanasemaje?Ukichana au kukanyaga kitabu cha msahafu basi hapo hapo utakufa au kuwa kichaa.
Sasa kulikuwa na mwamba mmoja tukiwa primary, kwenye ubishani kuhusu hilo yeye huo mkwara akaamua kuuvunja, akachana kitabu na kukikanyaga hicho kitabu kwa hasira, hakuna kitu kilitokea na maisha yakaendelea mpaka leo.
Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kifimbo cha Nyerere hakibebeki, hata kwa crane
Kumbe wanadinyana ndaniWatoto wachanga wanaletwa na ndege
So tukiona ndege inapita angani tunapiga kelele huku tunapunga ....tuletee mtotoooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niangusage.... Zambi zote zako mwenyeweMTU akifa kwa kuuliwa na mtu au kulogwa anakuwa hana dhambi,
Dhambi za marehemu zote anabaki nazo muuaji[emoji16]
Wakati nyani wanageuka kuwa binadamu, ng'ombe walikuwa wanageuka kuwa nini?Binadamu alitokana na nyani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi hii ishu ilitokea kweli maana nmewahi kuisikia zaidi ya watu watanoNyerere na Kawawa walienda UK [emoji636], chai ikawa inajiongeza automatically kwenye kikombe, hadi ufunike kikombe. Kawawa akapiga kama vikombe 70 hivi, Nyerere akamwambia kwa Kiswahili Rashidi funika kikombe
Kumbe kwenye kipochi nyoyaaMtoto ana nunuliwa
Na baadae nikaambiwa kuwa mtoto akizaliwa anatokea pale kwapani[emoji2299]
Anavaa ya mbaoRais huwa anavaa vest ya chuma kifuani kuepessha asidunguliwe...sijui kama.samia Naye anavaa hizi.😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23]nilivyo vunja ungo niliambiwa ukifanya unakufa[emoji16]Zamani kina mama walikuwa wanakwambia ukifanya matusi unachanika chanika na kidonda hakiponi, kinaoza hadi unakufa