Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliambiwa ni tembo anazaa[emoji1787]Mvua ikiwa inanyesha na Jua linawaka basi ujue Simba ana zaa.
Usije kujiua tuu.. Ishi maisha yako ya sasa vizuri, hayo yajayo ya mbele hayatambuliki kwa akili za binadamu wa kawaida.Nikifa nitazaliwa tena mie kama mie??
Hii inanifanya nisiogope kifo
Hii hata mimi nikiona transforma napita mbali[emoji23]Nikisimama chini ya transformer nitapigwa shot nife
Nilikuwa nikipita chini ya transformer nakimbia. Hadi leo hii napitaga kwa kukazana sana, sijawahi kuamini kama si kweli
Mama bhana
Hii ni kweli.. ila ukisikia harufu hiyo ujue anajivua gamba.Ukiskia harufu ya wali alafu uko porini ujue nyokaa yupo maeneo,hv ni kwel?
Ukiskia harufu ya wali alafu uko porini ujue nyokaa yupo maeneo,hv ni kwel?