Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #101
Tembo wameanza lini kuzaa? Tembo si huwa wanataga mayai?Mimi niliambiwa ni tembo anazaa[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembo wameanza lini kuzaa? Tembo si huwa wanataga mayai?Mimi niliambiwa ni tembo anazaa[emoji1787]
Mwingine ni "acha waisome namba ehhh sisiyemu mbele kwa mbele" kumbe namba inasomwa na sisiyemu kwanzaBaadhi ya mambo hayo ni nyimbo zifuatazo
1. Hyena hyena hyena CCM ni nambari wani
2...
Tuna laana ya uwongo. Hebu fikiria taifa limedanganywa kwamba mwenge unaleta amani, kwenye mbio za mwenge ndio watu huwa wanagombana hadi kuumizana kwasababu ya wanawake.Mtoto wa kike kuvunja ungo, niliambiwa ukiukalia ungo ukavunjika ndiyo tayari umeuvunja... Nafikiri Tz ndiyo nchi inayodanganya watoto zaidi.
Kuhusu Radi, nina uzoefu kidogo kwa nilichoshuhudia Utotoni.....Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo.
Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa.
Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu
Hii ni kweliUkiskia harufu ya wali alafu uko porini ujue nyokaa yupo maeneo,hv ni kwel?
Naogopa hata kujaribu[emoji16]Kumbe unafanyaje....[emoji848][emoji848]
Endelea hivyo hivyoNaogopa hata kujaribu[emoji16]
Hii kitu hadi saivi na uzee huu ikitokea najikuta tu nishasema 'Simba anazaa'Mvua ikiwa inanyesha na Jua linawaka basi ujue Simba ana zaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah nyie ni jasiri kweli, yaani pamoja na vitisho vya kifo lakini bado mlijaribu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anawateteaje?Kuhusu Radi, nina uzoefu kidogo kwa nilichoshuhudia Utotoni.....
Kondoo na Baadhi ya Wanyama wanajua Radi itapiga dakika chache kabla, na kukiwa na Kondoo na Wanyama wengine pamoja, Wanyama wote Wanajua Kondoo ndo mtetezi wao kwenye Radi!
Wanawake majasiri sana babuDah nyie ni jasiri kweli, yaani pamoja na vitisho vya kifo lakini bado mlijaribu🤣🤣🤣🤣
NaogopaEndelea hivyo hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake majasiri sana babu
Wee uwongo ni kuhusiana na wanaume tuu🤣🤣🤣🤣Ukikaa dawati moja na mwanaume utapata mimba
Uwongo wa shule huo bana[emoji16]Wee uwongo ni kuhusiana na wanaume tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakuwa mama alijua kwa tako skonsi uliokuwa nalo lazima wanaume watake kukukula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii Ni kweli chatu ana harufu ya waliUkiskia harufu ya wali alafu uko porini ujue nyokaa yupo maeneo,hv ni kwel?